Serikali yatangaza ajira mpya 9,675 kada za Ualimu na Afya

Serikali yatangaza ajira mpya 9,675 kada za Ualimu na Afya

changamoto aise, nimetumia account ya zamani kuingia nikakuta kwenye masomo ya kufundisha inasom 150%. Nikasema nifute then niadd upya, kila nikirudi kuchagua somo halipo tena. Somo ni Mathematics
 
changamoto aise, nimetumia account ya zamani kuingia nikakuta kwenye masomo ya kufundisha inasom 150%. Nikasema nifute then niadd upya, kila nikirudi kuchagua somo halipo tena. Somo ni Mathematics
Inatakiwa zisome 100% kote au nimepigwa
 
changamoto aise, nimetumia account ya zamani kuingia nikakuta kwenye masomo ya kufundisha inasom 150%. Nikasema nifute then niadd upya, kila nikirudi kuchagua somo halipo tena. Somo ni Mathematics
Somo la Mathematics kama umetoa kwa bahati mbaya sidhani kama utalikuta tena sijui mfumo wao hauko vizuri, na hata ukijaribu kuweka masomo mawili kuna baadhi yanakataa kukaa mawili.
 
Inatakiwa zisome 100% kote au nimepigwa
nilikuta inasoma 150% maana mara ya kwanza nilijaza masomo matatu, nilichofanya nikaondoa ili nijaze upya masomo lengo isome 100% tatizo nikirudi kwenye kuchagua masomo mathematics haipo kwenye machaguo , masomo yapo biology, chemistry na physics
 
Kuna ambaye amefanikiwa kuapload barua ya kujitolea kwa upande wa walimu??
 
Back
Top Bottom