Empirically
JF-Expert Member
- Oct 27, 2019
- 238
- 87
TanoMsaada tafadhari: hivi unaruhusiwa kuchagua shule ngapi maana kwenye sytem naona inaruhusu shule moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TanoMsaada tafadhari: hivi unaruhusiwa kuchagua shule ngapi maana kwenye sytem naona inaruhusu shule moja
Mimi nime upload baruwa, everything iko ok lakini hapo kwenye machaguo bado hapafungukiHapawezi fanya kazi mpk uupload barua ya maombi mkuu
Umeweka yazamani au umeandika nyingine?Mimi nime upload baruwa, everything iko ok lakini hapo kwenye machaguo bado hapafunguki
Inatakiwa mpya?Umeweka yazamani au umeandika nyingine?
Sijui hao waliofanikiwa wamepitaje aisee, au hii kujaza pia inahitaji connection? 😀Sio wewe tu ni wote
Hata sielewi ndio maana nimeulizaInatakiwa mpya?
Hahahaha du Hadi kujaza connection,. 😂😂😂😂😂Sijui hao waliofanikiwa wamepitaje aisee, au hii kujaza pia inahitaji connection? 😀
Poa nadhan mpya mm mwenyew cjuiHata sielewi ndio maana nimeuliza
Ni mpya, account nimeifunguwa leoUmeweka yazamani au umeandika nyingine?
Inatakiwa zisome 100% kote au nimepigwachangamoto aise, nimetumia account ya zamani kuingia nikakuta kwenye masomo ya kufundisha inasom 150%. Nikasema nifute then niadd upya, kila nikirudi kuchagua somo halipo tena. Somo ni Mathematics
[emoji3][emoji3][emoji3] wakat ww kabla ya kutuma maombi unahakikisha hakuna sehem umekoseaYaap tena unabembelezwa pa kwenda unambiwa tukupangie wizarani unasema hapana, unaulizwa Muhimbili, unasema hapana, mpaka kesho yake ndo unatoa majibu
Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
Somo la Mathematics kama umetoa kwa bahati mbaya sidhani kama utalikuta tena sijui mfumo wao hauko vizuri, na hata ukijaribu kuweka masomo mawili kuna baadhi yanakataa kukaa mawili.changamoto aise, nimetumia account ya zamani kuingia nikakuta kwenye masomo ya kufundisha inasom 150%. Nikasema nifute then niadd upya, kila nikirudi kuchagua somo halipo tena. Somo ni Mathematics
nilikuta inasoma 150% maana mara ya kwanza nilijaza masomo matatu, nilichofanya nikaondoa ili nijaze upya masomo lengo isome 100% tatizo nikirudi kwenye kuchagua masomo mathematics haipo kwenye machaguo , masomo yapo biology, chemistry na physicsInatakiwa zisome 100% kote au nimepigwa
Isome 100% kote, asilimia zikizidi au zikiwa pungufu maombi hayatumwi.Inatakiwa zisome 100% kote au nimepigwa
Haijakusumbua hata kidogo boss?Niliyemfanyia kafanikiwa
Je, barua ya maombi unatuma mpya eeKuna ambaye amefanikiwa kuapload barua ya kujitolea kwa upande wa walimu??
hivi barua tunaandika kwa mkono alafu kwa Kiswahili eti???Barua inaandikwa nyingine au naweza kutumia yamwanzo?