Empirically
JF-Expert Member
- Oct 27, 2019
- 238
- 87
Ndio nadhan kwa English au kiswahili then unascan na kuaploadhivi barua tunaandika kwa mkono alafu kwa Kiswahili eti???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio nadhan kwa English au kiswahili then unascan na kuaploadhivi barua tunaandika kwa mkono alafu kwa Kiswahili eti???
English tamisemi????Ndio nadhan kwa English au kiswahili then unascan na kuapload
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijui hao waliofanikiwa wamepitaje aisee, au hii kujaza pia inahitaji connection? [emoji3]
Oya anuani ya mwandikiwa ni ipi anijuze anayejua
Mimi nime upload baruwa, everything iko ok lakini hapo kwenye machaguo bado hapafunguki
Sijui mkuu nadhan watuambie wanaojuaEnglish tamisemi????
Ni shida aise sijui watashughulikia hilo tatizo, na kwenye shule za kujitolea nazo hazipoSomo la Mathematics kama umetoa kwa bahati mbaya sidhani kama utalikuta tena sijui mfumo wao hauko vizuri, na hata ukijaribu kuweka masomo mawili kuna baadhi yanakataa kukaa mawili.
Mi nimesaidia watu watano mpaka sasa shda tu ni kwangu somo la kufundisha halitokei baada ya kuliondoa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Nini tatizoEnglish tamisemi????
ShukraniIko kwenye tangazo pale inaanza na Katibu Mkuu
mbona nasikia inabidi iandikwe kwa mkono kwa Kiswahili??Nini tatizo
Shukrani
Mi nadhani TAMISEMI hawajamsahau huyu mwalimu wa book keeping na commerce. Labda wanataka naye aombe tu, atapangiwa kufundishA kiswahiliSwala nililoliona kuna mnganganyiko mkubwa sana wakimasomo ndani ya nchi yetu .
Kuna makundi haya
1) masomo ya science hapa kuna biology , physics mathematics, engeenering physics e.t.c
- lakini ndani ya kundi hili tuna somo la kilimo ambalo pia kwa jicho lingine watu huliita pia la science
2) Masomo ya biashara . hapa kuna commerce, bookeeping , accounts economics ( haya mawili yapo kuanzia level ya advance kwenda juu chuo nakuendelea) . hivyo shule zinazofundisha haya ni chache na kupelekea wanajamii na hata wadau wengi wa elimu kutoyatambua , na wengine huyaona kama masomo ya arts tu.
3 ) masomo ya arts hapa kiswahili language , history jographia e.tc haya yanafundishwa katika shule nyingi hivyo na masomo yenye umaarufu kwa wanajamii na hata wadau mbali mbali wa elimu .
Sasa basi mkanganyiko huja hapa.
ajira nyingi zinapotolewa , huwa na kigezo hichi .
- walimu wa arts huambiwa waombe shule za msingi na walimu wa science secondary . vizuri lakini wanaposema walimu wa arts hapa hujumuisha ndani na lile kundi la pili la walimu wa biashara ambao wengi masomo yao hayapo katika ngazi ya o - level hivyo hata ndani ya mfumo huwa yawekwi vile vile . nakupelekea wengi washindwe kuomba au hata wakiomba waombe kwa kutumia somo moja.
Mfano
Mwalimu ambaye teaching subjects zake ni comerce na bookeeping akiingia kwenye huu mfumo unakuta masomo yake hayapo . hivyo anashindwa kuomba
Au
Mwalimu ambaye teaching subjects zake ni Economics na Geography akiingia kwenye mfumo atalazimika kuombea Geography na moja kwa moja anajikuta analazimika kuombea somo moja la geography ambalo lina wadau wengi na kujikuta kaingia katika ushindani mkubwa . wakatika kama somo lake la uchumi pia lingekuwepo lingemsaidia akaombea yote mawili pengine ingeongeza nguvu akapata nafasi .
Mwalimu ambaye teaching subjects zake ni Economics na Account huyu ikiingia kwenye mfumo basi moja kwa moja mfumo unamuondoa kwasababu masomo tajwa hapo juu hayapo kwenye mfumo kabisaa.
Kwa namna fulani wadau wa elimu wanaohusika ni kama wameyashau baadhi ya masomo hivi ( ingawa sijui kama nipo sahihi nikisema hivi ni mawazo yangu tu )
Mtusaidie tu jamani mliofanikiwa kupita kwenye hiko kizingiti[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Mkuu barua inaandikwa kwa lugha ganiNi shida aise sijui watashughulikia hilo tatizo, na kwenye shule za kujitolea nazo hazipo
Mi nimesaidia watu watano mpaka sasa shda tu ni kwangu somo la kufundisha halitokei baada ya kuliondoa
Nimeandika kikristo sidhani kama kuna masharti ya lughaMkuu barua inaandikwa kwa lugha gani
tumia computer usitumie simuWakuu hii hali ya kutofungua page inawatokea na ninyi?View attachment 1779787
Hata simu haina tatizo mi nimetumia simu na nimefanikiwa kwa 100% kutumatumia computer usitumie simu