Samaya
Senior Member
- Oct 24, 2012
- 127
- 165
Ivi ni General secretary au secretary general?
Hapo nami sjui maana me nmeandika kiswahil tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ivi ni General secretary au secretary general?
ElimuElimu au Afya Mkuu
I think unachagua Kati ya English au kiswahili haina shida,manake zote hizi ni lugha zetu officialMkuu barua inaandikwa kwa lugha gani
Hata mimi imegoma hapo
Nahisi ni wewe tuwatu wa afya option ya kuchagua mkoa na kituo cha kazi naona bado inagoma kufunguka… au ni mimi tu?
NECTA candidate Particulars does not match
Manake nini inanisumbua sana
Weka jina jinsi linavyosomeka kwenye vyeti(form 4/6)Kwenye majina jina la kati usiweke lote weka herufi tu
Jaribu uone kama itakubali au laKama ulikuwa na Account ukifungua tena kuna tatizo
Nahisi ni wewe tu
itakuwaNahisi ni wewe tu
Weka jina jinsi linavyosomeka kwenye vyeti(form 4/6)
Kama jina lako lina majina mawili, sehemu ya jina la kati haujazi kitu
Kama jina lina majina matatu, jaza sehemu zote(jina la kwanza, kati na mwisho).
Mfumo utascan namba yako ya mtihani(kama ni form 4 au 6) halafu utadisplay jina lako kamili, jina la shule pamoja na namba ya mtihani. Hadi hapo utahakiki kama vipo sawa na kuendelea mbele
Nauliza ukishachagua chuo ulichosoma alafu uweke level ya elimu inagoma kuweka bachelor inaishia tu diploma
Ni mimi tu au kuna mwingine anakutana na hiki?
Permanent secretaryIvi ni General secretary au secretary general?
Duuh sasa mbona jau mkuu...Hata mm pia ila kuna wadau wanadai waliuliza wakaambiwa waweke dip then uweke vyet uendelee
Subra muhimuNgoja tuzidi kufuatilia..may be mbeleni atafanya maajabu
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Duuh sasa mbona jau mkuu...