Serikali yatangaza ajira mpya 9,675 kada za Ualimu na Afya

Serikali yatangaza ajira mpya 9,675 kada za Ualimu na Afya

1620498413500.png

msaada wa kuu no mathematics, mwenye uelewa
 
mbona nasikia inabidi iandikwe kwa mkono kwa Kiswahili??
Nani kasema na wapi maana PDF imesema barua tu

Kimsingi tupo kwenye Mhaho pressure kubwa mwaka jana rafiki yangu aliandika barua kwa kiingereza na typed kapata ajira.

Mimi sijajua niweke yepi ila nikiiangalia hii ya kiingereza typed inavutia.
 
Wakuu kwenye anuani ya tamisemi tunaweka na hii no 41118 DODOMA?
Kwakuwa ni online barua haiwezi kupotea labda ingekuwa kutuma maombi kwa njia ya posta ndio ungeweka hizo posti kodi ili kusaidia barua ifike sehemu husika na isipotee
 
NECTA candidate Particulars does not match
Manake nini inanisumbua sana
 
Back
Top Bottom