Serikali yatangaza ajira mpya 9,675 kada za Ualimu na Afya

Serikali yatangaza ajira mpya 9,675 kada za Ualimu na Afya

Kama kwenye cheti chako kuna initial yani jina limewekwa kifupi mfano Juma C. Paul..hiyo C iweke hivyo hivyo kwenye middle name na sio Chalamila au Clement
Je last name unaweka lipi ukiwa unabdili Password mfano hapo je iyo C au PAUL
 
Apana so Hilo ingia kwenye web Yao ukacheki hiyo limit Yao ya 2012-2019 haipo
 
Tatizo wote Wanasifa yaan hapo kuna mwanya mkubwa Sana wa rushwa , Labda wangeajiri mwaka Kwa mwaka au miaka miwili miwili ....!! Watu zaidi ya laki ajira 6000+🙄 .....kazi ipo , Jiwe alitengeneza tatizo kubwa Sana
Mkuu ndio unagundua leo?.Jiwe alitengeneza tatizo la Karne Kama sio miongo kadhaa ijayo.
 
Msaada tafadhari: hivi unaruhusiwa kuchagua shule ngapi maana kwenye sytem naona inaruhusu shule moja
 
Msaada tafadhari: hivi unaruhusiwa kuchagua shule ngapi maana kwenye sytem naona inaruhusu shule moja
Ngoja wajuvi waje...ila nakusihi tafuta ya vijijini kabisa kama unataka usalama[emoji23]

Watakaochagua mijini sidhan kama watawafikiria
 
hivi Ummy anakumbuka wizara ya afya ipo na wizara gari nyingine!?
 
Hello jamani ivi Kuna aliefanikiwa kujaza completion year ya chuo
 
Hello Kuna aliefanikiwa hiki kipengere
Screenshot_20210510-122241.jpg
 
Back
Top Bottom