Serikali yatangaza ajira mpya 9,675 kada za Ualimu na Afya

Serikali yatangaza ajira mpya 9,675 kada za Ualimu na Afya

Nani anakutana na huu ujumbe wakati wa kuapply please tusaidiane
Screenshot_20210510-092405_Kiwi Browser.jpg
Screenshot_20210510-092405_Kiwi Browser.jpg
 
AJIRA ZA WALIMU NA AFYA TAMISEMI 2021
Click below to download PDF: Kudownload pdf bofya chini hapo:
TANGAZO LA KAZI TAMISEMI UALIMU NA AFYA PDF


APPLICATION INSTRUCTIONS

1. If you are a new applicant, kindly click below to apply (Kwa Wanoanza Usajili):
https://ajira.tamisemi.go.tz/#/authentication/register


2. If you have already registered in the TAMISEMI system, click below to apply (Kwa Tayari Waliojisajili):
https://ajira.tamisemi.go.tz/#/authentication/login

NOTE: The TAMISEMI application system might not be opened yet, so kindly visit this page more often to apply.

Deadline for applications: 23rd May 2021
Utaratibu kwa ambao hawajawai jisali upoje
 
Tatizo wote Wanasifa yaan hapo kuna mwanya mkubwa Sana wa rushwa , Labda wangeajiri mwaka Kwa mwaka au miaka miwili miwili ....!! Watu zaidi ya laki ajira 6000+[emoji849] .....kazi ipo , Jiwe alitengeneza tatizo kubwa Sana
Bora kidg kuliko hakuna! Hata km ni wewe ndo ungekua mwenye nchi usingeajili watu laki! Labda km mshahara ungekua mandazi
 
Hivi hii nchi wanaotakiwa kuajiriwa ni walimu pekee? huku kwengine hakuna ajira mpya hadi kazi zinakuwa nyingi na kufanywa na wale wanaojitolea, halafu utegemee ufanisi....
Kwingine wapi boss! Kuwa specific? Kwenye nchi hii ukiambiwa utaje watu waliojazana mtaani bila ajira afu usitaje walimu! Watu lazma wakupige mawe
 


Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi, Ummy Mwalimu ametangaza ajira za walimu 6,949 wa shule za msingi na sekondari pamoja na watumishi wa Afya 2,726

Nafasi hizi ni kujaza nafasi wazi kutokana na vifo, kustaafu, kuacha kazi au kuhamia sekta nyingine. Waombaji wanatakiwa kuomba kupitia tovuti ya tamisemi, ajira.tamisemi.go.tz kuanzia leo tarehe 9-23 mei, 2021

Maelekezo.
  • Maombi ya ajira za UALIMU , yamefunguliwa kuanzia tarehe 2021-05-09 hadi tarehe 2021-05-23
  • Maombi ya ajira za AFYA, yamefunguliwa kuanzia tarehe 2021-05-09 hadi tarehe 2021-05-23
  • Kama ni muombaji mpya bofya kiunganishi cha juu kulia "Jisajili" kuanza kuomba
  • Ingiza namba ya kidato cha Nne ikiwa na mwaka wa kuhitimu kama jina la mtumiaji na uingize nywila yako kuingia ndani ya mfumo.
  • Baada ya kufanikiwa kuingia ndani, tafadhali kamilisha maombi yako kabla ya tarehe ya mwisho
  • Maombi yasiyokamilika hayatafanyiwa kazi
  • Hakikisha kabla ya kutuma maombi umesoma na kuelewa vizuri tangazo lilotolewa
  • Bofya hapa ili ujisajili kwa ajili ya kutuma maombi
Kwa Msaada
Tafadhali piga simu namba : 026-2160210

mfumo wa hovyo kwanini kila saa inasemeka

Unauthorized User​

 
Hakuna ajira zinazo toka bila criteria.na huwezi kuajiri hovyo bila utaratibu wala vipaombele eti kisa tu kwa vile kuna uhaba wa walimu
Bila utaratibu na vipaumbele kivipi, kama kozi zinatolewa huko vyuoni maana yake kuna mahitaji mashuleni, na kama kuna uhaba wa walimu lazima hizo nafasi zijazwe sio kila siku kuziba mapengo, naona una mawazo mafupi ndio maana elimu ya Tz ni shida watoto wanamaliza std 7 hawajui kusoma na kuandika.
 
Km unatumia cheti cha form four weka NECTA ,Sema ukifka kwenye kipengele cha kuhakiki ndoshida inakua hapo wanasema taarifa sio sahihi.
Kama kwenye cheti chako kuna initial yani jina limewekwa kifupi mfano Juma C. Paul..hiyo C iweke hivyo hivyo kwenye middle name na sio Chalamila au Clement
 
#HABARI Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Ummy Mwalimu, ametangaza nafasi za ajira kwa walimu 6,949 wa shule za Msingi na Sekondari pamoja na ajira 2,726 kwa kada mbalimbali za Afya. Watu wenye sifa wanatakiwa kuomba kuanzia leo Mei 9 hadi 23, 2021.
Source ya Hilo tangazo uliloweka Ni wapi Mana minikiingia tamisemi nakuta tangazo tofauti na Hilo ambalo halina limit ya muda Yani hata waliomaliz chuo 2020 wanaruhusiwa kuomba
 
Back
Top Bottom