Serikali yatangaza ajira mpya 9,675 kada za Ualimu na Afya

Serikali yatangaza ajira mpya 9,675 kada za Ualimu na Afya

Alie fanikisha kujisajili afya jmn, nimekwama kipengele cha NACTE / EQUIVALENT, quote hapa
Km unatumia cheti cha form four weka NECTA ,Sema ukifka kwenye kipengele cha kuhakiki ndoshida inakua hapo wanasema taarifa sio sahihi.
 
Km unatumia cheti cha form four weka NECTA ,Sema ukifka kwenye kipengele cha kuhakiki ndoshida inakua hapo wanasema taarifa sio sahihi.
Na tunafanyeje ili iwe sahihi, maana inajirudisha nyuma
 
Serikali haiwezi ajili walimu wote ....ulishauriwa jitolee kuna faida yake wewe ukakomaa boda boda sasa leo unalalamika tukusaidiaje????
 
Ohooo sawa ngoja watu wapige simu kesho watamka nalo
 
We jamaa kwani ulitakaje? Kusiwe na vigezo vya kuajiri au kuomba?.

Sometimes kuwa positive mwalimu!
 
Alie fanikisha kujisajili afya jmn, nimekwama kipengele cha NACTE / EQUIVALENT, quote hapa
Kwa wale wa afya hapo shida nn make nakwamia hapo kukamilisha usajili kwenye icon ya Hifadhi
JPEG_20210509_202959_7195780679406096765.jpg


Sent from my SM-J400F using JamiiForums mobile app
 
Huyo marehemu unasema ni bora aliajiri hata mwalimu mmoja? Shukuru hata zimetoka hizo hata kama wewe usipopata wenzako wakipata sio sawa na wote mkiwa hamna ajira.

Angalau hata rafiki yako akipata unaweza kumpiga vimizinga vya hapa na pale. Kuwaga na shukrani mda mwingine bwashee.
 
Swala nililoliona kuna mnganganyiko mkubwa sana wakimasomo ndani ya nchi yetu .
Kuna makundi haya

1) masomo ya science hapa kuna biology , physics mathematics, engeenering physics e.t.c
- lakini ndani ya kundi hili tuna somo la kilimo ambalo pia kwa jicho lingine watu huliita pia la science

2) Masomo ya biashara . hapa kuna commerce, book keeping , accounts economics ( haya mawili yapo kuanzia level ya advance kwenda juu chuo nakuendelea) . hivyo shule zinazofundisha haya ni chache na kupelekea wanajamii na hata wadau wengi wa elimu kutoyatambua , na wengine huyaona kama masomo ya arts tu.

3 ) masomo ya arts hapa kiswahili language , history jographia e.tc haya yanafundishwa katika shule nyingi hivyo na masomo yenye umaarufu kwa wanajamii na hata wadau mbali mbali wa elimu .

Sasa basi mkanganyiko huja hapa.
ajira nyingi zinapotolewa , huwa na kigezo hichi .
- walimu wa arts huambiwa waombe shule za msingi na walimu wa science secondary . vizuri lakini wanaposema walimu wa arts hapa hujumuisha ndani na lile kundi la pili la walimu wa biashara ambao wengi masomo yao hayapo katika ngazi ya o - level hivyo hata ndani ya mfumo huwa hayawekwi vile vile . nakupelekea wengi washindwe kuomba au hata wakiomba waombe kwa kutumia somo moja.
Mfano
Mwalimu ambaye teaching subjects zake ni commerce na book keeping akiingia kwenye huu mfumo unakuta masomo yake hayapo . hivyo anashindwa kuomba
Au
Mwalimu ambaye teaching subjects zake ni Economics na Geography akiingia kwenye mfumo atalazimika kuombea Geography na moja kwa moja anajikuta analazimika kuombea somo moja la geography ambalo lina wadau wengi na kujikuta kaingia katika ushindani mkubwa . wakatika kama somo lake la uchumi pia lingekuwepo lingemsaidia akaombea yote mawili pengine ingeongeza nguvu akapata nafasi .

Mwalimu ambaye teaching subjects zake ni Economics na Account huyu ikiingia kwenye mfumo basi moja kwa moja mfumo unamuondoa kwasababu masomo tajwa hapo juu hayapo kwenye mfumo kabisaa.
Kwa namna fulani wadau wa elimu wanaohusika ni kama wameyashau baadhi ya masomo hivi ( ingawa sijui kama nipo sahihi nikisema hivi ni mawazo yangu tu )
 
Swala nililoliona kuna mnganganyiko mkubwa sana wakimasomo ndani ya nchi yetu .
Kuna makundi haya

1) masomo ya science hapa kuna biology , physics mathematics, engeenering physics e.t.c
- lakini ndani ya kundi hili tuna somo la kilimo ambalo pia kwa jicho lingine watu huliita pia la science

2) Masomo ya biashara . hapa kuna commerce, bookeeping , accounts economics ( haya mawili yapo kuanzia level ya advance kwenda juu chuo nakuendelea) . hivyo shule zinazofundisha haya ni chache na kupelekea wanajamii na hata wadau wengi wa elimu kutoyatambua , na wengine huyaona kama masomo ya arts tu.

3 ) masomo ya arts hapa kiswahili language , history jographia e.tc haya yanafundishwa katika shule nyingi hivyo na masomo yenye umaarufu kwa wanajamii na hata wadau mbali mbali wa elimu .

Sasa basi mkanganyiko huja hapa.
ajira nyingi zinapotolewa , huwa na kigezo hichi .
- walimu wa arts huambiwa waombe shule za msingi na walimu wa science secondary . vizuri lakini wanaposema walimu wa arts hapa hujumuisha ndani na lile kundi la pili la walimu wa biashara ambao wengi masomo yao hayapo katika ngazi ya o - level hivyo hata ndani ya mfumo huwa yawekwi vile vile . nakupelekea wengi washindwe kuomba au hata wakiomba waombe kwa kutumia somo moja.
Mfano
Mwalimu ambaye teaching subjects zake ni comerce na bookeeping akiingia kwenye huu mfumo unakuta masomo yake hayapo . hivyo anashindwa kuomba
Au
Mwalimu ambaye teaching subjects zake ni Economics na Geography akiingia kwenye mfumo atalazimika kuombea Geography na moja kwa moja anajikuta analazimika kuombea somo moja la geography ambalo lina wadau wengi na kujikuta kaingia katika ushindani mkubwa . wakatika kama somo lake la uchumi pia lingekuwepo lingemsaidia akaombea yote mawili pengine ingeongeza nguvu akapata nafasi .

Mwalimu ambaye teaching subjects zake ni Economics na Account huyu ikiingia kwenye mfumo basi moja kwa moja mfumo unamuondoa kwasababu masomo tajwa hapo juu hayapo kwenye mfumo kabisaa.
Kwa namna fulani wadau wa elimu wanaohusika ni kama wameyashau baadhi ya masomo hivi ( ingawa sijui kama nipo sahihi nikisema hivi ni mawazo yangu tu )
Jibu rahisi ni

Ajira nizime base kimahitaji yaliyopo na si walimu waliopo/masomo yaliyopo.
 
Hivi hii nchi wanaotakiwa kuajiriwa ni walimu pekee? huku kwengine hakuna ajira mpya hadi kazi zinakuwa nyingi na kufanywa na wale wanaojitolea, halafu utegemee ufanisi....
 
Back
Top Bottom