Je last name unaweka lipi ukiwa unabdili Password mfano hapo je iyo C au PAULKama kwenye cheti chako kuna initial yani jina limewekwa kifupi mfano Juma C. Paul..hiyo C iweke hivyo hivyo kwenye middle name na sio Chalamila au Clement
Mkuu ndio unagundua leo?.Jiwe alitengeneza tatizo la Karne Kama sio miongo kadhaa ijayo.Tatizo wote Wanasifa yaan hapo kuna mwanya mkubwa Sana wa rushwa , Labda wangeajiri mwaka Kwa mwaka au miaka miwili miwili ....!! Watu zaidi ya laki ajira 6000+🙄 .....kazi ipo , Jiwe alitengeneza tatizo kubwa Sana
Noo mkuu nmejarbu kumfanyia appl mtu wa 2020 system inamkataaWajinga hao wanabadilika badilika. Kulikuwa na mistake kibao huenda wamerekebisha..!!
Maana yake ni hio hio 2019.Noo mkuu nmejarbu kumfanyia appl mtu wa 2020 system inamkataa
Hapohapo unapokutana na ujumbe kama wangu ndipo unapojisajiliaMi nimekutana nao pia! Ila ninaswali kwani unajisajilia wapi na password ni zipi zinatumika hapo
YawezekanaMaana yake ni hio hio 2019.
Labda pia hawajaupdate system.
Hiv ni kwa nini wameonewa hivi?Mwisho waliohitimu 2019
Ngoja wajuvi waje...ila nakusihi tafuta ya vijijini kabisa kama unataka usalama[emoji23]Msaada tafadhari: hivi unaruhusiwa kuchagua shule ngapi maana kwenye sytem naona inaruhusu shule moja
Labda mtandao unasumbua na ukumbuke kuweka barua
Daa!kazi kweli kweliMsaada Kwneye MACHAGUO YA MUOMBAJI hapafanyi kazi
View attachment 1779636
Kama ulikuwa na akaunti zamani basi ime expire(fungua nyingine)..au unakosea passwordNaambiwa hivi nikilogin,shida ni niniView attachment 1779654
Niliyemfanyia kafanikiwaHello Kuna aliefanikiwa hiki kipengereView attachment 1779637