Doubleg Malafyale
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 2,733
- 3,561
Unakutambua mkuu,watu wameweka mpaka vyeti vya phd mbona na mfumo unakuruhusu kuomba level zote za degree ata kama huko na mastersLakini huu mfumo wa kihuni,kwanini wasiufanye ukawa na uwanda mpana kwa mwombaji kufanya atakacho,sasa mfumo kama nilijisajili nina diploma baadae nikajiendeleza hadi masters unashindwa kunitambua basi kuna shida sehemu.
Wahusika waurekebishe
Unaweza kuomba masomo mawili tofauti kwakuwa kila somo lina sifa zake lakini utaitwa kwa somo moja ambalo wataona unafaa zaidi!Limits ya kuomba ni mwisho mikoa mingapi? Na je unaweza kuomba Kwa masomo mawili tofauti?
Yani wanataka mfumo wa kupeana ajira kishamba na kwa bahati halafu waanze kumlilia Rais! Kisa wanaogopa usahiliVijana mna matatizo sana, usahili ndiyo ponapona yenu, ukiachwa unaachwa with tangible reasons siyo watu wanatoa majina tu bila taarifa za kueleweka.
Ndio hivyoKumbe Kuna na mambo ya kupeleka vyeti Kwa mwanasheria
Mtu anawezaje kubadilisha documents alizoweka ilia aweke mpya? Mfumo hauna sehemu ya deleteHuu mfumo wa ajira portal ni mfumo wa kibabe Sana kwa hyo vijana wanaoomba ajira hizi wa ualimu wawe nao makini . Usipogonga vyeti vyako kwa mwanasheria huitwi kwenye interview, usipoweka passport vizuri kwenye mfumo huitwi kwenye usaili Yan Mambo madogo yanakutoa mchezoni kizembe. Vijana wa education wawe makini Sana maana ni wageni wa mfumo.
Vijana mna matatizo sana, usahili ndiyo ponapona yenu, ukiachwa unaachwa with tangible reasons siyo watu wanatoa majina tu bila taarifa za kueleweka.
Mhuri wa mwanasheria unakaa kwenye copy au originalhakikisha vyeti vyako vna muhuri wa mwanasheria na tangazo limeeleza hili
Vijana mna matatizo sana, usahili ndiyo ponapona yenu, ukiachwa unaachwa with tangible reasons siyo watu wanatoa majina tu bila taarifa za kueleweka
Kwenye copyMhuri wa mwanasheria unakaa kwenye copy au original
We nawe ni mwalimu??Mhuri wa mwanasheria unakaa kwenye copy au original
Toa copy vyeti vyako harafu hizo copy ndo uka'certify Kwa mwanasheria.Mhuri wa mwanasheria unakaa kwenye copy au original
Hivi kweli? AaaaaahMhuri wa mwanasheria unakaa kwenye copy au original
Mkuu tuwahurumie tu Hawa wadogo zetu.We nawe ni mwalimu??
Hatari sana... Hili swali nililitegemea kule Facebook ila sio hapa JfMkuu tuwahurumie tu Hawa wadogo zetu.
Vipya kwa maana Gani?Mfumo hauruhusu kutoa vyeti vya zamani ili kuweka vipya? Mwenye kufahamu tafadhali
Hahahaaa,hata mie nimeshitukaa....au basi.We nawe ni mwalimu??
Certificate AKA TZA😃🤣🤣Hivi kweli? Aaaaaah