Iwe printed kvp, kwan c unaweka softcopy kwenye system au sijakuelewa?Heey! wakuu samahani naomba kuuliza hivi ni laazma CV iwe printed!!? Au katika kuongeza ufanisi inatakiwa iwe hivyo msaada plzππ
Yaani niiprint kwanza ndo niiscan au manake ndo naandika hapaππππππππππNilikua sinaIwe printed kvp, kwan c unaweka softcopy kwenye system au sijakuelewa?
Mwaka huu tutaona Mengi πππMhuri wa mwanasheria unakaa kwenye copy au original
Sasa mkuu, yamepita masaa 17 tangu ajira zitangazwe na ww umeshafikia kuomba kazi ndani ya huo muda, una uhakika umekamilisha mambo yote yanayohitajika kwenye mfumo?Nakutana na rungu moja zito "application failed " ππ
Kwan hapo hapo ulipotype huwezi kuipost moja kwa moja kwenye system mpaka ukaiprint?Yaani niiprint kwanza ndo niiscan au manake ndo naandika hapaππππππππππNilikua sina
Nilivyopitia mimihapana mkuu hapo zipo nafasi za walimu ngazi zote
yaani msingi na sekondari,walimu wa grade IIIA ,Diploma na degree labda hujapitia vzr Tangazo ndugu mwalimu
Lipi jema sasa? Wakipangwa kwa miaka mnalalmika,wakikaribishwa woote mnalalamika!! Ipi bora?Lakin bado nina kigugumiz juu ya usaili. Kuna mtu kamaliza 2015 na hata sehem ya kujitolea kufundishq alikosa akaamuq kujikita kwenye bodaboda, Leo unatangaza ajira na unamuingiza kwenye usaili na Graduate wa 2023 fresh kabisaa kutoka chuo, kichwa bado cha moto. Freshers ananafasi nzuri zaidi ya kupita kwenye usaili na kupata ajira huku yule wa 2015 akiendelea kufukuza upepo
Mitano tenaSerikali imatengaxa ajira za ualimu 2024 zaidi ya nafasi 11,000 fungua PDF kuona
View attachment 3047683
---
TAMISEMI wametangaza Ajira za walimu 11,015.
TANGAZO LINASEMA HIVI:
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi 11,015.
NAFASI ZILIZOPO NI HIZI:
1. MWALIMU DARAJA LA III B β SOMO LA BIASHARA (COMMERCE) NAFASI 23
2. .MWALIMU DARAJA LA III B β KILIMO (AGRICULTURE) NAFASI 29
3. MWALIMU DARAJA LA III B β KIFARANSA (FRENCH) NAFASI 2
4. MWALIMU DARAJA LA III B β SOMO LA LISHE (FOOD AND HUMAN NUTRITION) NAFASI 2
5. MWALIMU DARAJA LA III B β SOMO LA USHONAJI (TEXTILE) NAFASI 2
6. MWALIMU DARAJA LA III C β KEMIA (CHEMISTRY) NAFASI 544
7. MWALIMU DARAJA LA III C β FIZIKIA (PHYSICS) NAFASI 633
8. MWALIMU DARAJA LA III C β HISABATI (MATHEMATICS) NAFASI 662
9. MWALIMU DARAJA LA III C β BAIOLOJIA (BIOLOGY) NAFASI 515
10. MWALIMU DARAJA LA III C β JIOGRAFIA (GEOGRAPHY) NAFASI 310
11. MWALIMU DARAJA LA III C β HISTORIA (HISTORY) NAFASI 211
12. MWALIMU DARAJA LA III C β KIINGEREZA ( ENGLISH) NAFASI 412
13. MWALIMU DARAJA LA III C β KISWAHILI NAFASI 184.
Kaka Mungu akutie nguvu kuwaelekeza walimu ni Kazi sanaSasa mkuu, yamepita masaa 17 tangu ajira zitangazwe na ww umeshafikia kuomba kazi ndani ya huo muda, una uhakika umekamilisha mambo yote yanayohitajika kwenye mfumo?
Hawa jamaa utumishi wanaweza aisee usiwachukulie poa . Wana comp lab za vyuo vyote kila mkoa,na saa zingine wanafanyisha saili kwa awamu.Kubabaabake kwa hiyo hata wakiwa laki moja wote wataweza kuwafanyia interview au kuna option
system inawashwa keshoππππSasa mkuu, yamepita masaa 17 tangu ajira zitangazwe na ww umeshafikia kuomba kazi ndani ya huo muda, una uhakika umekamilisha mambo yote yanayohitajika kwenye mfumo?
Hawafanyishi interview tar 1 9 watu wanatakiwa kaziniHawa jamaa utumishi wanaweza aisee usiwachukulie poa . Wana comp lab za vyuo vyote kila mkoa,na saa zingine wanafanyisha saili kwa awamu.
Mimi nilikuwa na account ajira portal mkuu ,sio kwamba Leo ndio naanza kufanya registration..Sasa mkuu, yamepita masaa 17 tangu ajira zitangazwe na ww umeshafikia kuomba kazi ndani ya huo muda, una uhakika umekamilisha mambo yote yanayohitajika kwenye mfumo?
sawa sawa mzee wetu uliejiajiri kumaanisha weweVijana mkajiajili achaneni nahizi ajira
Hhha unakataa uShauri waburesawa sawa mzee wetu uliejiajiri maamaaee wewe