Interview zote ni kwa kingerezaNyie wa English Language kwenye interview mtakua mnaulizwa Kwa kiswahili mtatakiwa mjibu kwa kiingeza
Interviewer: Kwema ndugu mwalimu?
Mwalimu: I'm fine
Interviewer: Wewe ni shabiki wa timu gani hapa Tanzania?
Mwalimu: Simba, I like Simba very much. I'm a Simba fan, Sir!
Interviewer: Aaaah safi sana, Sasa Ile ubaya ubwela, hivi ubwela ni nini kwa kiingereza ndugu mwalimu?
Mwalimu: Ubwela is theee ubwela is thee,,, theee
Kwani wengine wanafanyaje? Wewe ni mgeni wa interview? Hapo kuna written mchujo na zinafanyika kwa kanda halafu inakuja ya kuongea inafanyika kwa kanda pia! Hongera sana Simba chawene sasa walimu wanafanya interview😂😂😂😂😭Au sio , interview ya ualimu sijui watafanya Namna gani kuhakikisha wote wamepita kwenye mchujo 😂
Hapa malalamiko yatapunguaKwani wengine wanafanyaje? Wewe ni mgeni wa interview? Hapo kuna written mchujo na zinafanyika kwa kanda halafu inakuja ya kuongea inafanyika kwa kanda pia! Hongera sana Simba chawene sasa walimu wanafanya interview😂😂😂😂😭
Hapa maana kama una degree weka mambo yasiwe mengi mkuuNiki apply
Kwani awali walikua wanachaguliwa tu???Nazijua mkuu na nimeomba na kufanya usaili mara kadhaa,but sikuwahi sikia usaili kwa kada ya ualimu. Itakuwa ni utaratibu mpya umeanza.
SafiSasa ni mwendo wa kukandwa hakuna mambo ya kupangiwa bila interview 😂😂😂😂
Me mwenyewe nimefurahiSafi
Kama kasoma na ualimu anaweza ku9mba ila kama hajasoma ualimu kasoma tu literature in english akae mbali😂Dogo langu amesoma literature in english kweny tangazo wameandika English literature, je anaweza omba hapo au hiz ni tofaut kabisa?
Umejaza vizuri pale kwenye postgratuate in education? Check vzr taarifa zako za elimuNiki apply
Hapana iko hviHiyo postgraduate certificate itakuwa kama ni added advantage kwenye nafasi uliyoomba.
Mathalani wanahitajika Walimu wa Shahada ya kwanza, wewe unaweza kuomba kwakuwa una degree tayari lakini hiyo postgraduate certificate yako itakusaidia mbele ya safari Kazini
Bachelor ulisomea nini?Ndio mkuu ukirudi hapo kwenye post namba 92 utaona viambatanisho nadhani mfumo haijakaa sawa
Shukrani Kwa Elimu.Hapana iko hvi
Wapo waliosoma shahada ambazo si za ualimu mfano comupter sciemce au bachelor ya mathematics n.k ambazo si za ualimu ila akasoma na postgratuate diploma in education anaruhusiwa kuomba na ata Tangazo limeweka wazi
Kama hunaelewa u aruhusiwa kuuliza
Sio sahihiKama kasoma na ualimu anaweza ku9mba ila kama hajasoma ualimu kasoma tu literature in english akae mbali😂
Hujui kitu usimpotoshe mwenzako,atoe vipi wakati hicho ndo kinampa sifa ya ualimu?Kama ni hivyo kiondoe kwenye mfumo hicho cheti.
Utakionesha ukishaingia Kazini na kuthibitishwa baada ya Mwaka mmoja wa ajira
IT mkuu postgraduate nikafanya education kwenye Masomo ya ITBachelor ulisomea nini?
Unaruhusiwa kueleza usichoelewa kuliko kusema si sahibi,how?Sio sahihi
Unaomba soma TangazoIT mkuu postgraduate nikafanya education kwenye Masomo ya IT
Umekidhi vigezo,check tu ulivojaza hapo kwenye quarification za elimu ila pia hiyo PDE uweke na transcript yakeIT mkuu postgraduate nikafanya education kwenye Masomo ya IT