kante mp2025
JF-Expert Member
- Nov 11, 2022
- 631
- 1,192
Ila kumbuka pia ww ulianzisha uzi kuwa ajira za afya sasa ni mwendo wa interview au wameghairi mawazoJana nimetoka kuongea na mtu mkubwa wa utumishi ameniambia serikali haina hela ya kuendesha usaili wataita tu
Kumbe Kuna na mambo ya kupeleka vyeti Kwa mwanasheriaHuu mfumo wa ajira portal ni mfumo wa kibabe Sana kwa hyo vijana wanaoomba ajira hizi wa ualimu wawe nao makini . Usipogonga vyeti vyako kwa mwanasheria huitwi kwenye interview, usipoweka passport vizuri kwenye mfumo huitwi kwenye usaili Yan Mambo madogo yanakutoa mchezoni kizembe. Vijana wa education wawe makini Sana maana ni wageni wa mfumo.
hakikisha vyeti vyako vna muhuri wa mwanasheria na tangazo limeeleza hiliKumbe Kuna na mambo ya kupeleka vyeti Kwa mwanasheria
Vijana mna matatizo sana, usaili ndiyo ponapona yenu, ukiachwa unaachwa with tangible reasons siyo watu wanatoa majina tu bila taarifa za kueleweka.Wewe ndie mfariji wetu taarifa hizi zikawe za kweli Amina🙏📌📌
Kwamba wanahitaji walimu wa advance level pkee?Wanaangalia uhqba uko wapi hizi nafasi kila halmashauri au mkoa umetoa takwimu za upungufu wake na zimetangazwa kulingana na uoungufu wa m
oa husika,hivyo pia zingatia ngazi ya elimu stashahada (diploma) nq shahada (degree)
hapana mkuu hapo zipo nafasi za walimu ngazi zoteKwamba wanahitaji walimu wa advance level pkee?
Nilichogundua hawa waalimu wanatetemeka ata kabla ya usaili😁😁😁Kuna mwalimu hapo nmemuelekeza halafu tena anarudi tena kusema tofaut na nilivomwambia
Kama kila kitu umeweka na kiko sawa lakini bado inagoma check na wataalamu psrs kwa email yao yawezekana kuna jambo haliko sawaNilishaweka mkuu hata tangazo linahitaji qualification ya postgraduate ila Bado
Lakini huu mfumo wa kihuni,kwanini wasiufanye ukawa na uwanda mpana kwa mwombaji kufanya atakacho,sasa mfumo kama nilijisajili nina diploma baadae nikajiendeleza hadi masters unashindwa kunitambua basi kuna shida sehemu.Hiyo postgraduate asiiweke kwenye mfumo wake .. akiiewaka tu hatawahi Tena kuomba nafasi za degree kupitia ajira portal
Lazima waanze na Pepa then taratibu zingine za ajira zitafaata.Hawa walimu sio tu usaili wapewe na mitihani watakaofaulu ndo wapewe hiyo ajira tuna kundi kubwa la walimu Tanzania
Naomba viongozi msome hii sms na muifanyie kazi
Piga simu PSRS watakuja kusaidia. Au waimeli IPO hivyo miaka yote.Lakini huu mfumo wa kihuni,kwanini wasiufanye ukawa na uwanda mpana kwa mwombaji kufanya atakacho,sasa mfumo kama nilijisajili nina diploma baadae nikajiendeleza hadi masters unashindwa kunitambua basi kuna shida sehemu.
Wahusika waurekebishe
CC Lucas MwashambwaWanasema hayawi hayawi yamekuwa sasa .TAMISEMI wametangaza Ajira za walimu 11,015.
TANGAZO LINASEMA HIVI:
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi 11,015.
NAFASI ZILIZOPO NI HIZI:
1. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA BIASHARA (COMMERCE) NAFASI 23
2. .MWALIMU DARAJA LA III B – KILIMO (AGRICULTURE) NAFASI 29
3. MWALIMU DARAJA LA III B – KIFARANSA (FRENCH) NAFASI 2
4. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA LISHE (FOOD AND HUMAN NUTRITION) NAFASI 2
5. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA USHONAJI (TEXTILE) NAFASI 2
6. MWALIMU DARAJA LA III C – KEMIA (CHEMISTRY) NAFASI 544
7. MWALIMU DARAJA LA III C – FIZIKIA (PHYSICS) NAFASI 633
8. MWALIMU DARAJA LA III C – HISABATI (MATHEMATICS) NAFASI 662
9. MWALIMU DARAJA LA III C – BAIOLOJIA (BIOLOGY) NAFASI 515
10. MWALIMU DARAJA LA III C – JIOGRAFIA (GEOGRAPHY) NAFASI 310
11. MWALIMU DARAJA LA III C – HISTORIA (HISTORY) NAFASI 211
12. MWALIMU DARAJA LA III C – KIINGEREZA ( ENGLISH) NAFASI 412
13. MWALIMU DARAJA LA III C – KISWAHILI NAFASI 184.
Kazi kwenu walimu mmeletewa Ajira mikononi mwenu.
##Mama Samia Hoyeeeeee
View attachment 3047555
Anaomba aende kwenye program aweke inayoendana na yakeDogo langu amesoma literature in english kweny tangazo wameandika English literature, je anaweza omba hapo au hiz ni tofaut kabisa?
Haya madaraja yanamaanisha niniSerikali imatengaxa ajira za ualimu 2024 zaidi ya nafasi 11,000 fungua PDF kuona
View attachment 3047683
---
TAMISEMI wametangaza Ajira za walimu 11,015.
TANGAZO LINASEMA HIVI:
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi 11,015.
NAFASI ZILIZOPO NI HIZI:
1. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA BIASHARA (COMMERCE) NAFASI 23
2. .MWALIMU DARAJA LA III B – KILIMO (AGRICULTURE) NAFASI 29
3. MWALIMU DARAJA LA III B – KIFARANSA (FRENCH) NAFASI 2
4. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA LISHE (FOOD AND HUMAN NUTRITION) NAFASI 2
5. MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA USHONAJI (TEXTILE) NAFASI 2
6. MWALIMU DARAJA LA III C – KEMIA (CHEMISTRY) NAFASI 544
7. MWALIMU DARAJA LA III C – FIZIKIA (PHYSICS) NAFASI 633
8. MWALIMU DARAJA LA III C – HISABATI (MATHEMATICS) NAFASI 662
9. MWALIMU DARAJA LA III C – BAIOLOJIA (BIOLOGY) NAFASI 515
10. MWALIMU DARAJA LA III C – JIOGRAFIA (GEOGRAPHY) NAFASI 310
11. MWALIMU DARAJA LA III C – HISTORIA (HISTORY) NAFASI 211
12. MWALIMU DARAJA LA III C – KIINGEREZA ( ENGLISH) NAFASI 412
13. MWALIMU DARAJA LA III C – KISWAHILI NAFASI 184.
Mimi sio mlengwa,mimi nina ajira yangu nasasa nina miaka 15 kazini,nilikuwa najaribu kutoa maoni yangu binafsiPiga simu PSRS watakuja kusaidia. Au waimeli IPO hivyo miaka yote.
A, certificate, B, Diploma, C, BachelorHaya madaraja yanamaanisha nini
A ni watu gani
B ni watu gani
C ni watu gani
Ubarikiwe kiongoziA, certificate, B, Diploma, C, Bachelor