EricMan
JF-Expert Member
- Oct 5, 2017
- 3,050
- 5,420
Hivi huyu mwalim aliepata 0 ana GPA ya ngapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi huyu mwalim aliepata 0 ana GPA ya ngapi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wajomba wanauliza kuanzia form one hadi chuo kikuu huyo mwalimu atakae master content zote izo atakuwa roboti hakiamungu
Hatariii tupuu.Haya walimu Wa kiswahili Waliopata kuanzia 70 watu 775 kati ya 23,426
Kweli Mtihani hauna cha professional wala students
Afu ni Kiswahili, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa hadi baas. MweeehHivi huyu mwalim aliepata 0 ana GPA ya ngapi?
Mkuu bifu lako na walimu litaisha lini?
Kama mwalimu anapata score '0', hapo mwanafunzi ategemee ku score "negative zero" 🤓🤓🤓
Sina bifu na waalimu, ila nna bifu na wale ambao walikuwa hawataki usaili, sasa matokeo yao tumeyapata n kwann hawakutaka usaili kumbe ni vilaza wanapata 0% 😂Mkuu bifu lako na walimu litaisha lini?
Kama mwalimu anapata score '0', hapo mwanafunzi ategemee ku score "negative zero" 🤓🤓🤓
Hao ndo wale walikuwa hawataki usaili 😂Afu ni Kiswahili, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukisikiliza utetezi wa waalimu n kwann hawatakiwi kufanya usaili wanasema kuwa wamepitia michujo mingi mpaka kuwa na uwezo wa kuwa waalimu, lkn cha kushangaza huyo huyo aliyepitia michujo mingi bado anaogopa usaili wa kupata kazi 😂Hivi huyu mwalim aliepata 0 ana GPA ya ngapi?
Kuwa makini, waalimu watakuchukia kisa unasapoti usaili 😂Usaili ni muhimu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hao ndo wale walikuwa hawataki usaili [emoji23]
Utumishi shikilieni hapo hapo [emoji23]
Sikia mkuu, Hawa jamaa wa psrs hawasahihishi. Wanakadiria tu jaribu kupitia matokeo wanayoyatoa utathibitisha hili. Watu Wana uwezo mzuri tu ila ndo hivyo hawasahihishi. Imagine watu 28000+ wamesahihishwa ndani ya siku Moja kitu ambacho hakiwezekani.Hivi huyu mwalim aliepata 0 ana GPA ya ngapi?
Utumishi wanakanda sana Aise, kama una Roho ndogo, utakuwa unalia kila kukicha... 🤓🤓🤓🤓🤓.Hao ndo wale walikuwa hawataki usaili 😂
Utumishi shikilieni hapo hapo 😂
Ww una matatizo yako binafsi na utumishi kisa walikunyoosha, sasa kama wanakadiria bc bado wapo sahihi kwa sababu sio rahisi kumkadiria mtu afu uumpe 90% afu hapo hapo mwngn umkadirie then uumpe 20%.Sikia mkuu, Hawa jamaa wa psrs hawasahihishi. Wanakadiria tu jaribu kupitia matokeo wanayoyatoa utathibitisha hili. Watu Wana uwezo mzuri tu ila ndo hivyo hawasahihishi. Imagine watu 28000+ wamesahihishwa ndani ya siku Moja kitu ambacho hakiwezekani.
Yah hakuna kazi bila usaili 😂Utumishi wanakanda sana Aise, kama una Roho ndogo, utakuwa unalia kila kukicha... 🤓🤓🤓🤓🤓.
Naona utumishi waendelee tu na mikando hivi hivi mpaka kieleweke 🤓🤓
Utumishi matapeli tu kna matapeli mengine. Wanajali perdiem zao tu. Hata uwatetee vipi Bado haiwafanyi kuwa SI matapeli.Ww una matatizo yako binafsi na utumishi kisa walikunyoosha, sasa kama wanakadiria bc bado wapo sahihi kwa sababu sio rahisi kumkadiria mtu afu uumpe 90% afu hapo hapo mwngn umkadirie then uumpe 20%.
Kwahy kwa ulichosema hapo bado utumishi wapo sahihi, ww Kubali tuu kuwa h haikuwa nafasi yako na umefeli kwahy kuwa mpole na ukubali hiyo hali mana mwisho wa siku utakufa kwa stress
Bado hujasema 😂Utumishi matapeli tu kna matapeli mengine. Wanajali perdiem zao tu. Hata uwatetee vipi Bado haiwafanyi kuwa SI matapeli.