Serikali yatangaza tenda ya ujenzi wa mwendokasi kutoka Maktaba ya Taifa Posta- Mwenge- Ubungo-Tegeta

Ile nafasi kubwa katikati ulifikiri ni mapambo?
 
Ni kweli tunakwenda kujenga kwa mara nyingine kwa pesa ya mkopo ila bila kuathiri ile tuliyojenga kwa fedha zilizotangulia.... itajengwa katikati bila kuvunja ile ya pembeni
 
Huu mradi unavyopuyanga hivi bado wanaendelea tu kuongeza sehemu zingine.Si bora watanue tu barabara ziwe nyingi lakini si BRT maana wameonesha ufanisi wao ni sifuri kabisa.kama serikali mnania ya kurahisisha usafiri Dsm ongezeni barabara ziwe sita au nane kama nafasi inaruhusu na siyo hiyo mi BRT ambayo imeonesha uendeshaji wake ulivyo wa ovyo.
 
Barabara ya Mwenge tunaenda kuijenga mara ya tatu sasa ndani ya kipindi kifupi.
Ukipita ile njia utaona kabisa kuwa mradi wa awali ulilenga njia za magari ya kawaida na kwa mpango wa mbele wakaacha nafasi ya ujenzi wa Barabara ya mwendokasi!
tuwe realistic tusibeze kila jambo, Mradi kama wa mwendokasi una mahitaji yake ya msingi ili ku- accomodate!
 
Madesa yamekuharibu unaamini kila kitu ni 'kusomea' tu, bure kabisa.
Ulipoudharau na kuubeza ushauri na kuutukuza uchawi nilikuona ni empty head...... ushauri ni elimu Na lazima uende shule, labda huo ushauri wenu wa fitna
 
Replica hii habari imenishtua na kunishangaza

Serikali ya wapigaji kila wakati wanawaza fursa
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Hutaki wamtumie SINOHYDRO? hahaha Wakati ndio hao hao wamepewa na kile kipande kingine Cha Reli!! Sijui hawa jamaa wanatumia dawa Gani, Wana miradi mingi Tanza-nia ila yote haikosi kasoro
 
Ccm hii hawatokaa wakusikie. Sio kipaumbele chao kuinua maisha ya wananchi.
 
Sioni sababu kuanza mrad huu Sasa HV wangeanza by 2030

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hutaki wamtumie SINOHYDRO? hahaha Wakati ndio hao hao wamepewa na kile kipande kingine Cha Reli!! Sijui hawa jamaa wanatumia dawa Gani, Wana miradi mingi Tanza-nia ila yote haikosi kasoro

Haha itakua ni wavumilivu tukiwa tunawalipa kidogo kidogo. Tunaweza kulaza deni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…