Ile nafasi kubwa katikati ulifikiri ni mapambo?Kwahiyo kipande cha Morocco Mwenge kitavunjwa kwa mara nyingine
- Wakati wa JK kilivunjwa kikaongezwa lane ya 3
- Mwendazake akavunja na kujenga kwa fedha ya Uhuru
- Majuzi majuzi kilivunjwa na kuwekwa mitaro mipana chini ya ardhi
- Na sasa kinavunjwa kuweka miundombinu ya mwendokasi
Kushauri pia ndo msingi wa kazi na unasomewa..... huo uchawi unausomea shule ipi!!?Omba tenda hiyo sio tu unashauri wasitumie mtu fulani, huo ni uchawi.
Zisipo katwa barabara itapita wapiPale Lugalo wanajeshi wamejitahidi sana kuitunza ile garden katikati ya barabara. Nashauri zile Palm tree zisikatwe.
Mtazamo wakoIle nafasi kubwa katikati ulifikiri ni mapambo?
Ni kweli tunakwenda kujenga kwa mara nyingine kwa pesa ya mkopo ila bila kuathiri ile tuliyojenga kwa fedha zilizotangulia.... itajengwa katikati bila kuvunja ile ya pembeniBarabara ya Mwenge tunaenda kuijenga mara ya tatu sasa ndani ya kipindi kifupi. Tulijenga kwa pesa za maadhimisho ya Uhuru, tukaijenga tena kwa ufadhili wa Japan, tunaenda tena kuijenga kwa pesa za mkopo... Ukosefu wa mipango na watu kutafuta asilimia zao...
Madesa yamekuharibu unaamini kila kitu ni 'kusomea' tu, bure kabisa.Kushauri pia ndo msingi wa kazi na unasomewa..... huo uchawi unausomea shule ipi!!?
Post no. 15 ya Tajiri Kichwa inatoa ushauri mzuri zaidi kwamba zikatwe ila zipandwe upya.Zisipo katwa barabara itapita wapi
Sio mtazamo kama unaijua hio barabara ungejua kuna nafasi kubwa imeachwa katikati kwa ajili ya mwendokasi. Muwe mnaangalia vitu kwa macho na akili, umeona flyover ya tazara,chang'ombe na uhasibu? pale katikati kuna nafasi kubwa kwa ajili ya mwendokasiMtazamo wako
Ukipita ile njia utaona kabisa kuwa mradi wa awali ulilenga njia za magari ya kawaida na kwa mpango wa mbele wakaacha nafasi ya ujenzi wa Barabara ya mwendokasi!Barabara ya Mwenge tunaenda kuijenga mara ya tatu sasa ndani ya kipindi kifupi.
Ulipoudharau na kuubeza ushauri na kuutukuza uchawi nilikuona ni empty head...... ushauri ni elimu Na lazima uende shule, labda huo ushauri wenu wa fitnaMadesa yamekuharibu unaamini kila kitu ni 'kusomea' tu, bure kabisa.
Replica hii habari imenishtua na kunishangazaBarabara ya Mwenge tunaenda kuijenga mara ya tatu sasa ndani ya kipindi kifupi. Tulijenga kwa pesa za maadhimisho ya Uhuru, tukaijenga tena kwa ufadhili wa Japan, tunaenda tena kuijenga kwa pesa za mkopo... Ukosefu wa mipango na watu kutafuta asilimia zao...
π π πKwahiyo kipande cha Morocco Mwenge kitavunjwa kwa mara nyingine
- Wakati wa JK kilivunjwa kikaongezwa lane ya 3
- Mwendazake akavunja na kujenga kwa fedha ya Uhuru
- Majuzi majuzi kilivunjwa na kuwekwa mitaro mipana chini ya ardhi
- Na sasa kinavunjwa kuweka miundombinu ya mwendokasi
Hutaki wamtumie SINOHYDRO? hahaha Wakati ndio hao hao wamepewa na kile kipande kingine Cha Reli!! Sijui hawa jamaa wanatumia dawa Gani, Wana miradi mingi Tanza-nia ila yote haikosi kasoroNimeona katika gazeti Serikali inatafuta kampuni ya ujenzi wa barabara ya mwendokasi pamoja na vituo vyake.
Kutoka maktaba ya taifa to Mwenge/Ubungo 13.5 km utakuwa na vituo visivyopungua 20
Kutoka Mwenge to Tegeta Dawasa 15.63 km itakua na vituo visivyopungua 19.
View attachment 2363211
Ujenzi wa phase 4 katika jiji la Dar es Salaam unasimamiwa Na tanroads. Ngoja tuone pindi utakapokamilika.
Ila ingewafaa wasitumie yule mkandarasi wa Mbagala to Kariakoo na Mbagala tu Magomeni. Naona design na ujenzi huko chini kidogo ya viwango tofauti na hii phase one ya mwendokasi tunayotumia
Ccm hii hawatokaa wakusikie. Sio kipaumbele chao kuinua maisha ya wananchi.KWA MOYO MWEUPE KABISA WAACHANE NA HAYA MAKITU,TUMALIZE MIRADI ILIYOPO!,NGUVU KUBWA ITUMIKE KUWAINGIZA WATANZANIA KATIKA KILIMO CHA KISASA,KWA KUTAYARISHA MIUNDO MBINU YA KILIMO YAANI RURAL ROADS ZOTE,MAKAMBI YA AJIRA ZA WAKULIMA,ILI VIJANA WAENDE HUKO KUENDESHA KILIMO CHINI YA USIMAMIZI FULANI HATA WA MAKABURU,HUKU TUKIALIKA AGRO-INDUSTRY COMPANIES,KUBWA KUBWA.
Sioni sababu kuanza mrad huu Sasa HV wangeanza by 2030Wamrudishe strabag zaidi ya hapo ni upigaji tu....na kwanini tuhangaike wakati tunatakiwa kujifunza kwa walioendelea....Ujerumani ndio nchi inayoongoza kwa miundombinu mizuri duniani. Lakini kwa kuwa watu wanaangalia percent zao utaona anapewa mchina.
Hii nchi inahitaji kuongozwa na mtu mwenye kichwa kama changu. Halafu kwa nini wanahangaika wakati hii miradi mingine haijaisha bado.... Pia ni wakati wa kuangalia mbadala wa petrol, mwendokasi waweke za kutumia umeme au gesi.
Hutaki wamtumie SINOHYDRO? hahaha Wakati ndio hao hao wamepewa na kile kipande kingine Cha Reli!! Sijui hawa jamaa wanatumia dawa Gani, Wana miradi mingi Tanza-nia ila yote haikosi kasoro