Serikali yatoa Tsh. Bilioni 66 Kurekebisha Miundombinu iliyoharibiwa na mvua

Rais wa JMT Dr Samia ametoa Jumla ya shilling billion 66 Ili kurekebisha Miundombinu iliyoharibiwa na mvua

Fedha hizo zimegawanywa Kwenye mikoa Yote iliyoathirika

Source: Clouds TV
Ametoa wapi hizi hela bi kizimkazi?
 
Hahahaha! mkuu najaribu kumlinda mleta mada. Unajua haya mambo hayakutakiwa kusemwa nayeye bali akina chawa kama L.M. isipokuwa kama Yohanambatizaji naye amekuwa..
Nimekuelewa Mkuu ila watanzania wengi tunajichanganya sana kwenye matumizi ya lugha! 😀
 
Hahahaha! mkuu najaribu kumlinda mleta mada. Unajua haya mambo hayakutakiwa kusemwa nayeye bali akina chawa kama L.M. isipokuwa kama Yohanambatizaji naye amekuwa..
Nimenukuu Kwenye Source ambao ni Clouds media
 
Rais wa JMT Dr Samia ametoa Jumla ya shilling billion 66 Ili kurekebisha Miundombinu iliyoharibiwa na mvua

Fedha hizo zimegawanywa Kwenye mikoa Yote iliyoathirika

Source: Clouds TV
Anafanya biashara gani Samia. Mbona anatoa hela nyingi sana kusaidoa Wadanganyika?
 
kwa fikra zako mkuu hilo ni tatizo la kutojua kiswahili au wewe ndio umechelewa mjini?
Ndio nimetoka kijijini ili nami nione maisha ya mjini, katika kupitia JF nikakutana na huu uzi, sasa nashindwa kuelewa anaetoa pesa ni mama au serikali?
 
Kazitoa mfukoni mwake
Safi sana,rais kaonesha moyo

Ova
 
Kumbe Samia ni bilioneaaa! Sikujua. Sijui nimwombe???!
 
Huyo mama tajiri kiasi hicho?
 
"Ametoa",Neno silioendi hili basi yaani.
Huu uchawa wa kujikomba sijui utaisha lini Tanzania
 
Hvi nyie watu mnaodedicate kila kitu kwa Mh Rais hvi mko na akili zenu ama mmekatwa vichwa....kwamba kazama mfukoni mwake kafanya hisani ama mnamaanisha nini???
 


Raisi hatoe pesa ana idhinisha pesa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…