Serikali yazomewa msibani baada ya kutaka waombelezaji waachie vyombo vya dola mauaji ya Ally Kibao

Serikali yazomewa msibani baada ya kutaka waombelezaji waachie vyombo vya dola mauaji ya Ally Kibao

Katika hali isiyo ya kawaida wawakilishi wa Serikali katika msiba wa Ally Mohammed Kibao wamekumbana na zomea zomea wakati wakitoa hotuba zao.

Zomea zomea hiyo ilianzia kwa mkuu wa mkoa wa Tanga, Batilda Buriani baada ya kusema kifo cha Ally kimewahuzunisha kama Serikali.

View attachment 3091388


Waombolezaji walianza kupiga kelele baada ya Batilda kutaka waombolezaji waachie vyombo vya dola vije na majibu ya nani aliyehusika kwenye mauaji hayo. Batilda alitoa mfano wa kisa cha ng'ombe kilichopo kwenye sura ya Al Baqara kinachoelezea mtu aliyefariki mpaka kupatikana mhusika akisema kinafunsha ikitokea huzuni kama iliyoyotokea watu wasiwe wa kwanza kunyoosha vidole na kuacha vyombo vifanye kazi kama Rais alivyoelekeza.
Wananchi walizidisha zomeazomea.

Hali ilikuwa mbaya zaidi Waziri Masauni alipopokea kipaza sauti na waombolezaji walizidisha sauti kiasi cha Masauni kushindwa kuendelea na hotuba yake.
Sasa pale pa Masauni mbona umepakata, na zomea zomea kwa Patilda mbona ilikuwa ya chini chini haisikiki?
 
Hu
Katika hali isiyo ya kawaida wawakilishi wa Serikali katika msiba wa Ally Mohammed Kibao wamekumbana na zomea zomea wakati wakitoa hotuba zao.

Zomea zomea hiyo ilianzia kwa mkuu wa mkoa wa Tanga, Batilda Buriani baada ya kusema kifo cha Ally kimewahuzunisha kama Serikali.

View attachment 3091388


Waombolezaji walianza kupiga kelele baada ya Batilda kutaka waombolezaji waachie vyombo vya dola vije na majibu ya nani aliyehusika kwenye mauaji hayo. Batilda alitoa mfano wa kisa cha ng'ombe kilichopo kwenye sura ya Al Baqara kinachoelezea mtu aliyefariki mpaka kupatikana mhusika akisema kinafunsha ikitokea huzuni kama iliyoyotokea watu wasiwe wa kwanza kunyoosha vidole na kuacha vyombo vifanye kazi kama Rais alivyoelekeza.
Wananchi walizidisha zomeazomea.

Hali ilikuwa mbaya zaidi Waziri Masauni alipopokea kipaza sauti na waombolezaji walizidisha sauti kiasi cha Masauni kushindwa kuendelea na hotuba yake.
Masauni
Katika hali isiyo ya kawaida wawakilishi wa Serikali katika msiba wa Ally Mohammed Kibao wamekumbana na zomea zomea wakati wakitoa hotuba zao.

Zomea zomea hiyo ilianzia kwa mkuu wa mkoa wa Tanga, Batilda Buriani baada ya kusema kifo cha Ally kimewahuzunisha kama Serikali.

View attachment 3091388


Waombolezaji walianza kupiga kelele baada ya Batilda kutaka waombolezaji waachie vyombo vya dola vije na majibu ya nani aliyehusika kwenye mauaji hayo. Batilda alitoa mfano wa kisa cha ng'ombe kilichopo kwenye sura ya Al Baqara kinachoelezea mtu aliyefariki mpaka kupatikana mhusika akisema kinafunsha ikitokea huzuni kama iliyoyotokea watu wasiwe wa kwanza kunyoosha vidole na kuacha vyombo vifanye kazi kama Rais alivyoelekeza.
Wananchi walizidisha zomeazomea.

Hali ilikuwa mbaya zaidi Waziri Masauni alipopokea kipaza sauti na waombolezaji walizidisha sauti kiasi cha Masauni kushindwa kuendelea na hotuba yake.
Masauni na bi chura wanahusika na hili...mtu anakuua then abakuja kukuzika bila aibu
 
Katika hali isiyo ya kawaida wawakilishi wa Serikali katika msiba wa Ally Mohammed Kibao wamekumbana na zomea zomea wakati wakitoa hotuba zao.

Zomea zomea hiyo ilianzia kwa mkuu wa mkoa wa Tanga, Batilda Buriani baada ya kusema kifo cha Ally kimewahuzunisha kama Serikali.

View attachment 3091388


Waombolezaji walianza kupiga kelele baada ya Batilda kutaka waombolezaji waachie vyombo vya dola vije na majibu ya nani aliyehusika kwenye mauaji hayo. Batilda alitoa mfano wa kisa cha ng'ombe kilichopo kwenye sura ya Al Baqara kinachoelezea mtu aliyefariki mpaka kupatikana mhusika akisema kinafunsha ikitokea huzuni kama iliyoyotokea watu wasiwe wa kwanza kunyoosha vidole na kuacha vyombo vifanye kazi kama Rais alivyoelekeza.
Wananchi walizidisha zomeazomea.

Hali ilikuwa mbaya zaidi Waziri Masauni alipopokea kipaza sauti na waombolezaji walizidisha sauti kiasi cha Masauni kushindwa kuendelea na hotuba yake.
Sasa watamuachia nani maana Chadema wanataka Serikali ilete maji hao waombolezaji hawataki Sasa watapata wapi uhakika wa kilichotokea?
 
Katika hali isiyo ya kawaida wawakilishi wa Serikali katika msiba wa Ally Mohammed Kibao wamekumbana na zomea zomea wakati wakitoa hotuba zao.

Zomea zomea hiyo ilianzia kwa mkuu wa mkoa wa Tanga, Batilda Buriani baada ya kusema kifo cha Ally kimewahuzunisha kama Serikali.

View attachment 3091388


Waombolezaji walianza kupiga kelele baada ya Batilda kutaka waombolezaji waachie vyombo vya dola vije na majibu ya nani aliyehusika kwenye mauaji hayo. Batilda alitoa mfano wa kisa cha ng'ombe kilichopo kwenye sura ya Al Baqara kinachoelezea mtu aliyefariki mpaka kupatikana mhusika akisema kinafunsha ikitokea huzuni kama iliyoyotokea watu wasiwe wa kwanza kunyoosha vidole na kuacha vyombo vifanye kazi kama Rais alivyoelekeza.
Wananchi walizidisha zomeazomea.

Hali ilikuwa mbaya zaidi Waziri Masauni alipopokea kipaza sauti na waombolezaji walizidisha sauti kiasi cha Masauni kushindwa kuendelea na hotuba yake.
Bora angeishia kutoa pole na kwenda zake, kuliko kugusia mambo amabayo tayari yanajulikana na wao wanafanya kupindua ukweli.
 
Ngoja tuone Samia atatoa milioni ngapi za Rambirambi.

Kupozeo cha Sativa kilikuwa 35 Mills aisee Dunia hii...
 
Wameenda kutafuta kitu gani kwenye msiba? Si Hawa Hawa walitaka kuzuia watu wasishuhudie postmortem hospital?
Wewe unadanganyywa na unadanganyika kirahisi sana.

Nyie ndiyo mnaojazana kwa mwamposa na kiboko ya wachawi.

Wajinga ndiyo waliwao.
 
Sasa wanazomea zomea ili iweje?? Mnamhukumu nani??
Kwani mwenye mamlaka n nini??

Si huyo Waziri wa mambo ya ndani ikiwemo hili??

Kama anaona kiatu ni kikubwa si ajiuzuru aje mwingine atakayeweza kupambana na hawa watekaji ambao mara nyingi wamejitambulisha kama Polisi.
 
Kuna karibia kupambazuka! Asanteni sana watu wa tanga.
 
Katika hali isiyo ya kawaida wawakilishi wa Serikali katika msiba wa Ally Mohammed Kibao wamekumbana na zomea zomea wakati wakitoa hotuba zao.

Zomea zomea hiyo ilianzia kwa mkuu wa mkoa wa Tanga, Batilda Buriani baada ya kusema kifo cha Ally kimewahuzunisha kama Serikali.

View attachment 3091388


Waombolezaji walianza kupiga kelele baada ya Batilda kutaka waombolezaji waachie vyombo vya dola vije na majibu ya nani aliyehusika kwenye mauaji hayo. Batilda alitoa mfano wa kisa cha ng'ombe kilichopo kwenye sura ya Al Baqara kinachoelezea mtu aliyefariki mpaka kupatikana mhusika akisema kinafunsha ikitokea huzuni kama iliyoyotokea watu wasiwe wa kwanza kunyoosha vidole na kuacha vyombo vifanye kazi kama Rais alivyoelekeza.
Wananchi walizidisha zomeazomea.

Hali ilikuwa mbaya zaidi Waziri Masauni alipopokea kipaza sauti na waombolezaji walizidisha sauti kiasi cha Masauni kushindwa kuendelea na hotuba yake.
Haya majitu ni mauaji tu, hayaaminiki.
 
nadhani haina umuhimu wala maana yoyote kuzomea au kutozomea..

lile ambalo linatakikana zaidi ni ukweli wa mambo kuhusu tukio lenyewe na wahusika wote kupatikana na kuwajibishwa kwa mujibu wa sheria na kisha haki na stahiki za kamanda Ally Kibao zipatikane..

watu hupigana kwenye misiba sembuse kuzomea?🐒

R.I.P kamanda Ally Mohamed Kibao
Hapo usije tegemea Kuna jpya ,,kama alichukuliwa na jeshi la polis alaf wanasema mweny ushaid apeleke polis ,!!! Sio dharau hizo ?? Bora polis wakae kimya kulko kufanya kejeli ,,,ushaid upi wanataka wakat wao ndo walismamisha bas na kutoka naye? Waende kweny bas huska waulize dereva na kondokta wake kuhusu ilo basi , lakin sku wananchi wakichoka sana,,, sijui itakuaje
 
Ningekuepo msibani ningekua wa kwanza kuwatupia mawe;
 
Back
Top Bottom