Serikali yazomewa msibani baada ya kutaka waombelezaji waachie vyombo vya dola mauaji ya Ally Kibao

Serikali yazomewa msibani baada ya kutaka waombelezaji waachie vyombo vya dola mauaji ya Ally Kibao

Mwenye ujinga tu ndiye asiyependa kusikiliza.
Sorry kukwambia kwenye msiba kuna suala moja tu. Uchungu, uchungu huibua hasira, si ujinga ni natural human response
Hakuna excuse this time
 
Wewe unadanganyywa na unadanganyika kirahisi sana.

Nyie ndiyo mnaojazana kwa mwamposa na kiboko ya wachawi.

Wajinga ndiyo waliwao.

Kama wewe ndio hua unanipitia kwenda Kwa Mwamposa, sina neno, vinginevyo nitake radhi. Hizo ni tuhuma nzito sana kwangu. Naomba, uthibitishe uendaji wangu Kwa Mwamposa na Kiboko ya wachawi.

Na huo mstari wa mwisho unamaanisha Mimi ni mjinga ama?
 
Sasa watamuachia nani maana Chadema wanataka Serikali ilete maji hao waombolezaji hawataki Sasa watapata wapi uhakika wa kilichotokea?

Lazima wakatoe ufafanuzi wao msibani? Ikumbukwe ni jukumu lao kulinda raia na mali zao. Ni wajibu wao kutoa majibu ya nini kimetokea na akina nani wamehusika iwe wamezomewa au hawajazomewa, kwa ufupi hata wananchi wakisema hatutaki kuambiwa chochote, serikali inatakiwa kufanya kazi yake.

Kwahiyo kelele zimevuruga mwenendo wa upelelezi wa waliohusika na hili tukio?
 
Lazima wakatie ufafanuzi wao msibani? Ikumbukwe ni jukumu lao kulinda raia na mali zao. Ni wajibu wao kutoa majibu ya Nini kimetokea na akina nani wamehusika iwe wamezomewa au hawajazomewa, Kwa ufupi hata wananchi wakisema hatutaki kuambiwa chochote, serikali inatakiwa kufanya kazi Yao.

Kwahiyo kelele zimevuruga utaratibu wa kupeleleza wahusika wa hili tukio?
Sasa mnawazomea huo ufafanusi watolee kwenye vyombo vya habari na wasishieiki msiba au?

Ikumbukwe hakuna Serikali hapa Duniani Huwa haikumbwi na kashfa za mambo haya ya utekaji na mauaji so hata wangekuwa Machadema mambo ni Yale Yale.

Ndio maana Huwa Sina huruma na Wanasiasa wote ni matapeli na washenzi so mtajuana huko huko.
 
Sasa mnawazomea huo ufafanusi watolee kwenye vyombo vya habari na wasishieiki msiba au?

Ikumbukwe hakuna Serikali hapa Duniani Huwa haikumbwi na kashfa za mambo haya ya utekaji na mauaji so hata wangekuwa Machadema mambo ni Yale Yale.

Ndio maana Huwa Sina huruma na Wanasiasa wote ni matapeli na washenzi so mtajuana huko huko.

Na ndio maana tokea awali nilisema uchunguzi ufanyike, wahusika wachukuliwe hatua Kali bila kujali wanatoka Chama gani.

Kwa kukuweka sawa, mimi sio mwana siasa wala mwana chama wa chama chochote cha siasa.

Waziri, Polisi, Serikali wanaweza kuita vyombo vya habari wakati wowote wakatoa taarifa Kwa umma. Kulazimisha kutoa taarifa msibani imeishia kuwa fedheha.

Nashangaa Kwa watu wenye weledi wanashindwaje kujua kwamba Kuna wachache hua wanapenda kutembea na matukio kutimiza ajenda zao.

Naamini wahusika au ndugu wa karibu wa marehem hawakua sehem ya wazomeaji.
 
Katika hali isiyo ya kawaida wawakilishi wa Serikali katika msiba wa Ally Mohammed Kibao uliofanyika jijini Tanga wamekumbana na zomea zomea wakati wakitoa hotuba zao.

Zomea zomea hiyo ilianzia kwa mkuu wa mkoa wa Tanga, Batilda Buriani baada ya kusema kifo cha Ally kimewahuzunisha kama Serikali.

View attachment 3091423
Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Batilda Buriani akitoa hotuba kwa niaba ya Serikali kwenye msiba wa Ally Mohammed Kibao​

Waombolezaji walianza kupiga kelele baada ya Batilda kutaka waombolezaji waachie vyombo vya dola vije na majibu ya nani aliyehusika kwenye mauaji hayo. Batilda alitoa mfano wa kisa cha ng'ombe kilichopo kwenye sura ya Al Baqara kinachoelezea mtu aliyefariki mpaka kupatikana mhusika akisema kinafundisha ikitokea huzuni kama iliyoyotokea watu wasiwe wa kwanza kunyoosha vidole na kuacha vyombo vifanye kazi kama Rais alivyoelekeza. Wananchi walizidisha zomeazomea.

Hali ilikuwa mbaya zaidi Waziri Masauni alipopokea kipaza sauti na waombolezaji walizidisha sauti ya kumtaka waziri Masauni ajiuzulu kiasi cha kushindwa kuendelea na dua yake mpaka aliposaidiwa na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kutuliza hali kisha kumalizia hotuba yake.

Pia, soma=> Tafrani yazuka msibani Tanga: Waombolezaji wakataa dua ya Waziri Masauni wakimtaka ajiuzulu
Andika wafuasi wa chadema na wengine wamevaa mpaka tisheti zenye nyekundu na blue
 
Katika hali isiyo ya kawaida wawakilishi wa Serikali katika msiba wa Ally Mohammed Kibao uliofanyika jijini Tanga wamekumbana na zomea zomea wakati wakitoa hotuba zao.

Zomea zomea hiyo ilianzia kwa mkuu wa mkoa wa Tanga, Batilda Buriani baada ya kusema kifo cha Ally kimewahuzunisha kama Serikali.

View attachment 3091423
Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Batilda Buriani akitoa hotuba kwa niaba ya Serikali kwenye msiba wa Ally Mohammed Kibao​

Waombolezaji walianza kupiga kelele baada ya Batilda kutaka waombolezaji waachie vyombo vya dola vije na majibu ya nani aliyehusika kwenye mauaji hayo. Batilda alitoa mfano wa kisa cha ng'ombe kilichopo kwenye sura ya Al Baqara kinachoelezea mtu aliyefariki mpaka kupatikana mhusika akisema kinafundisha ikitokea huzuni kama iliyoyotokea watu wasiwe wa kwanza kunyoosha vidole na kuacha vyombo vifanye kazi kama Rais alivyoelekeza. Wananchi walizidisha zomeazomea.

Hali ilikuwa mbaya zaidi Waziri Masauni alipopokea kipaza sauti na waombolezaji walizidisha sauti ya kumtaka waziri Masauni ajiuzulu kiasi cha kushindwa kuendelea na dua yake mpaka aliposaidiwa na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kutuliza hali kisha kumalizia hotuba yake.

Pia, soma=> Tafrani yazuka msibani Tanga: Waombolezaji wakataa dua ya Waziri Masauni wakimtaka ajiuzulu
Heading yako umemaliza yote.

Tuforward Cienieni na Bibici
 
Katika hali isiyo ya kawaida wawakilishi wa Serikali katika msiba wa Ally Mohammed Kibao uliofanyika jijini Tanga wamekumbana na zomea zomea wakati wakitoa hotuba zao.

Zomea zomea hiyo ilianzia kwa mkuu wa mkoa wa Tanga, Batilda Buriani baada ya kusema kifo cha Ally kimewahuzunisha kama Serikali.

View attachment 3091423
Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Batilda Buriani akitoa hotuba kwa niaba ya Serikali kwenye msiba wa Ally Mohammed Kibao​

Waombolezaji walianza kupiga kelele baada ya Batilda kutaka waombolezaji waachie vyombo vya dola vije na majibu ya nani aliyehusika kwenye mauaji hayo. Batilda alitoa mfano wa kisa cha ng'ombe kilichopo kwenye sura ya Al Baqara kinachoelezea mtu aliyefariki mpaka kupatikana mhusika akisema kinafundisha ikitokea huzuni kama iliyoyotokea watu wasiwe wa kwanza kunyoosha vidole na kuacha vyombo vifanye kazi kama Rais alivyoelekeza. Wananchi walizidisha zomeazomea.

Hali ilikuwa mbaya zaidi Waziri Masauni alipopokea kipaza sauti na waombolezaji walizidisha sauti ya kumtaka waziri Masauni ajiuzulu kiasi cha kushindwa kuendelea na dua yake mpaka aliposaidiwa na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kutuliza hali kisha kumalizia hotuba yake.

Pia, soma=> Tafrani yazuka msibani Tanga: Waombolezaji wakataa dua ya Waziri Masauni wakimtaka ajiuzulu
Safi vijana wq ki-Tanga mmeonesha njia, ni mwendo wa zomea zomea.
 
Sasa wanazomea zomea ili iweje?? Mnamhukumu nani??
SERIKALI lazima izomewe sababu watu wengi kutoka UPINZANI wametekwa, baadhi wameuliiwa na wengine wemeteswa na kupata vilema vya maisha na hao wote hakuna uchunguzi uliofanyika.

TUNATAKA TIMU HURU YA UCHUNGUZI ILIYOBOBEA KWENYE MAMBO YA UCHUNGUZI KUTOKA NJE YA TANZANIA.

God Bless Tanganyika
 
Back
Top Bottom