shamimuodd
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 1,188
- 2,113
Hahahaha wahasibu wengi ndiyoHasa wahasibu wanakula mpaka Hela za staff wenzao
Hakika, na ukitaka utibiwe vizuri hospital za serikali hasa zahanati mpe kidogo daktari uone anavyokutibu huku akitoa tabasamu muda, hii nchi ngumu acha tuishi humo humo.Mwanangu bora umeusema ukweli kuliko kujifanya mnafiki km wanafiki wengine... eti fungua mradi sijui nn wakati ndo wezi no moja.Bongo wafanya kazi wengi ni wapigaji huo ndo ukweli ww nenda hata hosptal ukitaka ndugu yako apate huduma kwa raha ww cheza na manes wa shift mgonjwa ataishi km yuko u swizi.Sasa jifanye kauzu km hata ndugu yako hajavuta .
Wanasema kitengo chake kina fursa kuliko cha x,sasa kama watu wanajua ni nani wewe usiamini kuwa nchi hii ni ya michakato,just said,Hii DP world na nishati lazima February ana percentage yake,unaona hizo case za trillion 3.1 zimetoka.wapiAcha wizi mkuu ,sio kila mtu anaiba bwashee.
Sio kwel , chance zipo na hatuibi😁Ila kweli, ukute tunaolalamika ni kwavile hatujapata tu chance ya kupiga!
Sawa mkuu😁Mkuu vifaaa vya hospital hapo hapana.
Hebu tuambie Mimi mwalimu wa darasa form 3C naiba nini!? Punguza kugeneralise,think from simple to complex
Tanzania bila wizi inawezekana , nyie ndio mnafuga na kuwapa sapoti wezi kwa kuwafariji.Mwanangu bora umeusema ukweli kuliko kujifanya mnafiki km wanafiki wengine... eti fungua mradi sijui nn wakati ndo wezi no moja.Bongo wafanya kazi wengi ni wapigaji huo ndo ukweli ww nenda hata hosptal ukitaka ndugu yako apate huduma kwa raha ww cheza na manes wa shift mgonjwa ataishi km yuko u swizi.Sasa jifanye kauzu km hata ndugu yako hajavuta .
Thubutuuuuu!Sio kwel , chance zipo na hatuibi😁
Wewe ndo huna comprehension skills hata robo,michango ya taaluma , capitation,michango ya chakula ya watoto wanachochanga,siwezi kupiga!?You seem to lack comprehension skills na ni mwalimu. Sijui unaowafundisha kama wanakuelewa. Mwenye uzi kaeleza hapo walimu hamna sehemu ya kupiga.
Mbona unachouliza kakielezea kwenye post!! Au mimi ndio kichwa kigumu!Hebu tuambie Mimi mwalimu wa darasa form 3C naiba nini!? Punguza kugeneralise,think from simple to complex
Wewe ndo huna comprehension skills hata robo,michango ya taaluma , capitation,michango ya chakula ya watoto wanachochanga,siwezi kupiga!?
Think from simple to complex
Sasa hapo ni walimu wangapi shuleni wana access na hiyo michango? Na hata wenye access nayo, bado hawawezi kupiga hela ya maana. Bado hoja yake iko valid.Wewe ndo huna comprehension skills hata robo,michango ya taaluma , capitation,michango ya chakula ya watoto wanachochanga,siwezi kupiga!?
Think from simple to complex
Dunderhead wewe ,nawaonea huruma walimu Wako,Kwahiyo na nyie mnaiba? Hueleweki kama unakubaliana na mleta uzi au unapinga. You must be as smart as a brick wall, dummy.
Wanaiba na kutetea wizi kwa nguvu zote ukiwakuta makanisani kama sio wao yani😁😁😁😁Kwahiyo na nyie mnaiba? Hueleweki kama unakubaliana na mleta uzi au unapinga. You must be as smart as a brick wall, dummy.