Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Mbaya zaidi yeye anamiliki kampuni wakati wewe upo lumumba unakata kiuno.Huyu Seth tumecheza naye chandimu pale Chama garage alikuwa boya tu
Lakini leo ndio msumbufu wa watawala
Nchi ngumu
cc: Kinyungu, Daudi Mchambuzi
Wahindi wanacheza chandimu na waswahili tangu lini?Huyu Seth tumecheza naye chandimu pale Chama garage alikuwa boya tu
Lakini leo ndio msumbufu wa watawala
Nchi ngumu
cc: Kinyungu, Daudi Mchambuzi
Tena huyu hata plii bageini aliigomea, atatupiga parefu sanaHaya sasa...kumekucha.
Bado Rugemarila naye anapiga jaramba la kufungua kesi
Huyu alijichinja lkn Rugemalira atatupiga parefu sanaHuyu si ali plead guilty?
Mataahira ya mama ndio yanaona jiwe alileta hasara!
Sikia dogo! Jiwe ndio alitaka kututoa huko kwenye hizo hasara ila nyie mataahira mkagoma kutoka huko!
Kiufupi hao kina seth walikuwa wakupigwa risasi wafe tu kuliko kuendelea na huu upumbavu.
Hahaha atashika ndege huko njeHuyu inabidi apigwe marufuku kukanyaga Tanzania
Wahindi wa Iringa wanakunywa hadi ulanziWahindi wanacheza chandimu na waswahili tangu lini?
Acha uongo.
Wahindi wa Iringa wanakunywa hadi ulanziWahindi wanacheza chandimu na waswahili tangu lini?
Acha uongo.
Jiwe ndio alitaka kukutoa kwenye hasara ila nyie wapumbavu mkagoma kutoka huko
Sasa hili ndio tulikua tunaliogopa toka wahuni walioko madarakani sasa. Nadhani moja ya masharti kuwaachia hao fisadi ilikus kukubali makosa na kutofungua mashitaka dhidi ya serikali.Seth, aliyekuwa mmliki wa kampuni ya kufua umeme kwa jenereta almaarufu IPTL anatarajia kuishitaki Serikali ya Tanzania ili imrejeshee u miliki wa mitambo ile.
Pia, imlipe fidia ya hasara aliyoipata kwa kipindi chote ambacho mitambo yake ilizimwa na kutaifishwa.
Jiwe alikua na huruma sana aiseeWale ilitakiwa watungwe sumu tu wakitoka hapo wakafie mbele huko
You are too young kumuelewa JK, the masterminder himselfWatu bwana kwa hiyo hii nchi Kila tajiri na mbaya ni wa jk tu hebu acheni kutenda dhambi
Wamewatoa na wanatengeneza mchongo wa kutupiga tena pesa, msoga msoga mungu anakuona.Seth na Rugemalila ni watu wa JK
Kabisa mkuu.You are too young kumuelewa JK, the masterminder himself
Yeye amekuwa kama nakala, kuna yule mtu wa pwani ndio anadurufu, ukimuona anakuchekea unajua huyu ndio mtu safi kumbe mnafiki hatari.Hii nchi bado haijafikia umri wa kuongozwa na Mama
Bi KIZIMKAZI alimtoa CHATU lupango kwa vimemo vya MSOGA, wamekaa wanatengeneza sebene la kutupiga.Matahira ya jiwe yanamlaumu mama,wakati jiwe ndio chanzo Cha yote na kukurupuka kwake bila kutumia akili na sheria, Kuna wengi wataifungulia serikali kesi ambao walizurumiwa na jiwe na kupewa kesi,
Wengi Sana,ni suala la muda tu
Na kesi itaisha haraka haraka.Watafungua kesi haraka haraka ili walipwe kabla awamu hii haijaisha.