ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Yeah lengo limetimia Sawa Sawa poapoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mlitaka ziitwe Nyerere Express.Hii nchi hii 😎
Machawa mngejua hili, kuwa Raisi ni mtumishi wa wananchi. Mngecha hizi ngonjera za kusifia ujinga.
Nimekumbuka hii ndiyo ajira yenu.
Uchawa kila kona, Samia anapenda sifa kuliko kichaa Magufuli
Ni hili hapa EMU👇👇Samia express ndio dubwana gani hilo?
Kwa nini isiitwe Samia mataaluma ya Treni?
Tunayoitambua hapo ni Magufuli express tu hilo lingine choma motoMy Take
Kilichonifurahisha no jina la treni hiyo ya haraka yenye kichwa Mchongoko (Electric Multiple Unit) kuitwa "Samia Express "
Kazi iendelee,Samia anaweza na chenji inabaki
---
Shirika la Reli Tanzania - TRC linautaarifu umma kuwa Seti mbili (2) za treni ya kisasa inayotumia nishati ya umeme EMU (Electric Multiple Unit) na vichwa nane (8) vya treni vya umeme vimewasili Tanzania kutoka nchini Korea ya Kusini.
Serikali kupitia TRC ilifanya manunuzi ya Seti kumi (10) za treni za EMU zinazotengenezwa na kampuni ya Hyundai Rotem ya nchini Korea Kusini, Seti moja ya EMU ina jumla ya mabehewa nane yakijumuisha kichwa kimoja mbele na kingine nyuma ikiwa na uwezo wa kubeba abiria 589 na kutembea kwa kasi ya kilomita 160 kwa saa.
Seti mbili (2) za EMU zinafikisha idadi ya seti tatu zilizowasili nchini mpaka sasa, seti ya kwanza iliyowasili mwezi Aprili 2024 inaendelea na majaribio.
Shirika la Reli Tanzania limeshapokea jumla ya mabehewa 65 ya abiria, vichwa 17 vya umeme na Seti tatu za EMU. Upokeaji wa vifaa vya uendeshaji vya reli ya kiwango cha SGR unaendelea kwa awamu tofauti, vifaa vipya vilivyowasili vitaendelea kufanyiwa majaribio kwaajili ya kujiridhisha. kabla ya kuanza kutoa huduma.
Shirika linaendelea na uendeshaji wa awali na utoaji huduma ya usafiri wa treni za umeme kupitia
reli ya kiwango cha kimataifa kati ya Dar es Salaam na Morogoro, uendeshaji rasmi kati ya Dar es Salaam hadi Dodoma unatarajiwa kuanza Julai 25, 2024.
We babu kizee 😁😁Mlitaka ziitwe Nyerere Express.
Wacheni uroho wa majina mpaka mkaiita meli mbovu MV Nyerere.
Walio hai ndio huandika historia.Wewe ndio unaitambua hivyo Kwa nini hukuizindua?Tunayoitambua hapo ni Magufuli express tu hilo lingine choma moto
Hata kutamka lipi linanoga mdomoni? Magufuli ndio amejenga?Hilo jina la Samia express halijapendeza hata kidogo.jina linatakiwa lisome mzalendo Magufuli kipenzi Cha watanzania
Utatoweka na hii hii samia expressHii nchi hii nikipata mchongo tu natoweka