Seti Mbili za Treni ya Umeme na vichwa 8 vya Umeme "Samia Express" vyawasili Nchini

Nimezoom hapo nimeona SAMIA EXPRESS πŸ™Œ

Kweli 2025 is Loading ..........
Alieamua ziitwe Samia Express ni nani, Abdul na Mwigulu? Samia anatafuta kuwaudhi Watanzania, hasa wa bara

Hizi kampeni kuna wakatii zitamrudi Samia zimfanye watu ndio wasimtake kabisa. Aliyefanya hili hakuwaza sawasawa, this is too much
 
Aliyethubutu kuanzisha mradi mkubwa kabisa, aliyethubutu kuziba masikio kusikiliza wapuuzi, aliyeanzisha mega projects...

This man, the one and only!
Wanajaribu kila njia lakini wapi mwamba yupo midomoni mwa watu. Si treni si bwawa la umeme! Mgao wa umeme umeisha kwasababu ya bwawa walilopinga na kumtukana aliekomaa nalo. Hixi treni nazo walisema hazina maana leo wanahangaika kuziita majina yao. Ndege nazo bado wanaendelea kununua vyote hivyo alieanzisha alipondwa sana.
 
Amka ukakojoe dogo
 
izi makitu zote alistahili kupewa jina magufuli. samia hajaanzisha huu mradi, jasho la magufuli hili.
 
Tatizo nini Mbona tuliwahi kuwa na Treni ya Mwakyembe, na sasa haipo na hakuna anayejali. Mjidai hamlioni jina hilo.
 
KAZI INAENDELEA KWA KASI,
SHUKRANI KWA RAIS WETU SAMIA
 
Alieamua ziitwe Samia Express ni nani, Abdul na Mwigulu? Samia anatafuta kuwaudhi Watanzania, hasa wa bara

Hizi kampeni kuna wakatii zitamrudi Samia zimfanye watu ndio wasimtake kabisa. Aliyefanya hili hakuwaza sawasawa, this is too much
Itakuwa washauri wake waliopo Ikulu πŸ™Œ

Kuna watu wanaweza kukushauri jambo baya kama mtego wa kukunasa, nawe usipokuwa na hekima kuling'amua hakika utaanguka kweli

Ngoja tuone mwisho wa hili jambo
 
Alieamua ziitwe Samia Express ni nani, Abdul na Mwigulu? Samia anatafuta kuwaudhi Watanzania, hasa wa bara

Hizi kampeni kuna wakatii zitamrudi Samia zimfanye watu ndio wasimtake kabisa. Aliyefanya hili hakuwaza sawasawa, this is too much
Tunasubr CHADEMA mkifurahi na kupga picha safi ndani ya SAMIA EXPRESS
 
Ahsante sana Mama Samia.

Tutaona muda wa kusubiri treni za abiria unapunguwa kila siku zinatokwenda.

Naamini siku za usoni itafikia kila one-hour treni moja inaondoka na nyingine inaingia, za mizigo mbali.

Kuishi Morogoro kufanya kazi Dar itakuwa jambo la kawaida.

Sisi wa kusini tunaisubiri reli ya Dar Mtwara.
 
Kweli Samia express hongera sana kwa kuupiga mwingi
 
Mchongoko haujafika 100%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…