Synthesizer
Platinum Member
- Feb 15, 2010
- 12,699
- 22,598
Alieamua ziitwe Samia Express ni nani, Abdul na Mwigulu? Samia anatafuta kuwaudhi Watanzania, hasa wa baraNimezoom hapo nimeona SAMIA EXPRESS π
Kweli 2025 is Loading ..........
Wanajaribu kila njia lakini wapi mwamba yupo midomoni mwa watu. Si treni si bwawa la umeme! Mgao wa umeme umeisha kwasababu ya bwawa walilopinga na kumtukana aliekomaa nalo. Hixi treni nazo walisema hazina maana leo wanahangaika kuziita majina yao. Ndege nazo bado wanaendelea kununua vyote hivyo alieanzisha alipondwa sana.Aliyethubutu kuanzisha mradi mkubwa kabisa, aliyethubutu kuziba masikio kusikiliza wapuuzi, aliyeanzisha mega projects...
This man, the one and only!
wengi ni vilaza mkuuMods wa jf ni wapuuzi sana, yaani mada imefika ukurasa wa 4 mnakuja kuunganisha na Uzi unaoanza? Hovyo kabisa
KabisaHii train itaanza lini safari za kwenda Mtwara, tunaisubiri
Amka ukakojoe dogoWanajaribu kila njia lakini wapi mwamba yupo midomoni mwa watu. Si treni si bwawa la umeme! Mgao wa umeme umeisha kwasababu ya bwawa walilopinga na kumtukana aliekomaa nalo. Hixi treni nazo walisema hazina maana leo wanahangaika kuziita majina yao. Ndege nazo bado wanaendelea kununua vyote hivyo alieanzisha alipondwa sana.
Itakuwa washauri wake waliopo Ikulu πAlieamua ziitwe Samia Express ni nani, Abdul na Mwigulu? Samia anatafuta kuwaudhi Watanzania, hasa wa bara
Hizi kampeni kuna wakatii zitamrudi Samia zimfanye watu ndio wasimtake kabisa. Aliyefanya hili hakuwaza sawasawa, this is too much
Tunazisubiri waziingize kwenye mzunguko mitaani.Wajanja wameshapata 10β yao
""Akili zao huwa zinawaza uchafu kila uchwao hawana jema, kila jambo huona wameibiwa tu"""Wajanja wameshapata 10β yao
Tunasubr CHADEMA mkifurahi na kupga picha safi ndani ya SAMIA EXPRESSAlieamua ziitwe Samia Express ni nani, Abdul na Mwigulu? Samia anatafuta kuwaudhi Watanzania, hasa wa bara
Hizi kampeni kuna wakatii zitamrudi Samia zimfanye watu ndio wasimtake kabisa. Aliyefanya hili hakuwaza sawasawa, this is too much
Kweli Samia express hongera sana kwa kuupiga mwingiSETI MBILI ZA TRENI ZA EMU (ELECTRIC MULTIPLE UNIT) ZAWASILI
Dar es Salaam, Tarehe 02 Julai, 2024
Shirika la Reli Tanzania - TRC linautaarifu umma kuwa Seti mbili (2) za treni ya kisasa inayotumia nishati ya umeme EMU (Electric Multiple Unit) na vichwa nane (8) vya treni vya umeme vimewasili Tanzania kutoka nchini Korea ya Kusini.
Serikali kupitia TRC ilifanya manunuzi ya Seti kumi (10) za treni za EMU zinazotengenezwa na kampuni ya Hyundai Rotem ya nchini Korea Kusini, Seti moja ya EMU ina jumla ya mabehewa nane yakijumuisha kichwa kimoja mbele na kingine nyuma ikiwa na uwezo wa kubeba abiria 589 na kutembea kwa kasi ya kilomita 160 kwa saa.
Seti mbili (2) za EMU zinafikisha idadi ya seti tatu zilizowasili nchini mpaka sasa, seti ya kwanza iliyowasili mwezi Aprili 2024 inaendelea na majaribio.
Shirika la Reli Tanzania limeshapokea jumla ya mabehewa 65 ya abiria, vichwa 17 vya umeme na Seti tatu za EMU. Upokeaji wa vifaa vya uendeshaji vya reli ya kiwango cha SGR unaendelea kwa awamu tofauti, vifaa vipya vilivyowasili vitaendelea kufanyiwa majaribio kwaajili ya kujiridhisha kabla ya kuanza kutoa huduma.
Shirika linaendelea na uendeshaji wa awali na utoaji huduma ya usafiri wa treni za umeme kupitia reli ya kiwango cha kimataifa kati ya Dar es Salaam na Morogoro, uendeshaji rasmi kati ya Dar es Salaam hadi Dodoma unatarajiwa kuanza Julai 25, 2024.
Jamila Mbarouk Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano
As usualWajanja wameshapata 10β yao
Lazima watu wajipendekezeKweni Pesa ni zake au mumekosa Jina?!
Mchongoko haujafika 100%SETI MBILI ZA TRENI ZA EMU (ELECTRIC MULTIPLE UNIT) ZAWASILI
Dar es Salaam, Tarehe 02 Julai, 2024
Shirika la Reli Tanzania - TRC linautaarifu umma kuwa Seti mbili (2) za treni ya kisasa inayotumia nishati ya umeme EMU (Electric Multiple Unit) na vichwa nane (8) vya treni vya umeme vimewasili Tanzania kutoka nchini Korea ya Kusini.
Serikali kupitia TRC ilifanya manunuzi ya Seti kumi (10) za treni za EMU zinazotengenezwa na kampuni ya Hyundai Rotem ya nchini Korea Kusini, Seti moja ya EMU ina jumla ya mabehewa nane yakijumuisha kichwa kimoja mbele na kingine nyuma ikiwa na uwezo wa kubeba abiria 589 na kutembea kwa kasi ya kilomita 160 kwa saa.
Seti mbili (2) za EMU zinafikisha idadi ya seti tatu zilizowasili nchini mpaka sasa, seti ya kwanza iliyowasili mwezi Aprili 2024 inaendelea na majaribio.
Shirika la Reli Tanzania limeshapokea jumla ya mabehewa 65 ya abiria, vichwa 17 vya umeme na Seti tatu za EMU. Upokeaji wa vifaa vya uendeshaji vya reli ya kiwango cha SGR unaendelea kwa awamu tofauti, vifaa vipya vilivyowasili vitaendelea kufanyiwa majaribio kwaajili ya kujiridhisha kabla ya kuanza kutoa huduma.
Shirika linaendelea na uendeshaji wa awali na utoaji huduma ya usafiri wa treni za umeme kupitia reli ya kiwango cha kimataifa kati ya Dar es Salaam na Morogoro, uendeshaji rasmi kati ya Dar es Salaam hadi Dodoma unatarajiwa kuanza Julai 25, 2024.
Jamila Mbarouk Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano
Samia Express tena Sio TRC? nchi ina wanafki hii.
Alieamua ziitwe Samia Express ni nani, Abdul na Mwigulu? Samia anatafuta kuwaudhi Watanzania, hasa wa bara
Hizi kampeni kuna wakatii zitamrudi Samia zimfanye watu ndio wasimtake kabisa. Aliyefanya hili hakuwaza sawasawa, this is too much