Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
- #121
Tumpe maua yakeFainali mbili mfululizo kwa timu yenye Madeni kibao inakombeleza tu wachejazi wa bure bure na mikopo bado unahisi kaishiwa mbinu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumpe maua yakeFainali mbili mfululizo kwa timu yenye Madeni kibao inakombeleza tu wachejazi wa bure bure na mikopo bado unahisi kaishiwa mbinu?
Juve walimuacha vipi huyu jamaa?Sevilla wawe makini Dybala wamoto sana leo akiwa kwenye fomu ana balaa siyo poa...
Goli litapatikana, wanaweza enda matuta hawaMkuu raraa reree bado una matumaini na wanao Sevilla?
Yah nakubali mkuuGoli litapatikana, wanaweza enda matuta hawa
Roma ya Mou au nyingine?Roma wakiendelea kukaa nyuma watapigwa chuma tatu kipindi cha pili
Hamjui mou huyo unaweza shangaaa ngoma i aisha moja bilaRoma ya Mou au nyingine?
Mkeka umekufa 0-0 first half 🤣🤣HT' Sevilla 0-1 AS Roma
Anatengeneza historia tu,akirudi anarudi Makontena ya kutoshaMorinho hatakagi kabisa Mambo ya Simba na yanga ya kupiga sijui mpira birian sijui kachumbari sijui sambusa afu mwisho unapigwa wewe
Yeye ni kupaki basi mwanzo mwisho na kombe anabeba
Hahaha deposit tenaMkeka umekufa 0-0 first half 🤣🤣
Hakuwa kwenye mipango ya Massimiliano Allegri dogo naye majeruhi yalimuharibia..Juve walimuacha vipi huyu jamaa?
Hii hiiRoma ya Mou au nyingine?