Sex after menstruation period, unaweza kupata mimba?

Sex after menstruation period, unaweza kupata mimba?

call m J

Member
Joined
Mar 28, 2017
Posts
13
Reaction score
7
Wakuu habari ya jioni,

Niende kwenye swali moja kwa moja, "Je inawezakana mwanamke akapata ujauzito kama atafanya mapenzi mara tu baada ya period kuisha? Mfano period imeisha usiku wa kuamkia Jumapili 16/4 na yeye akafanya mapenzi tarehe 17/4.
 
Mkuu mbona una haraka hivyo? Si usubiri k ijisafishe kwanza maana kuna stains za damu bado. Watu hamna kinyaa? Mbaya zaidi utakuta mtu anazama chumvini kulamba mabaki ya damu ya period, wtf!!!!

Hawezi kupata mimba maana hizo ni siku salama kwake.
 
Mkuu mbona una haraka hivyo? Si usubiri k ijisafishe kwanza maana kuna stains za damu bado. Watu hamna kinyaa? Mbaya zaidi utakuta mtu anazama chumvini kulamba mabaki ya damu ya period, wtf!!!!

Hawezi kupata mimba maana hizo ni siku salama kwake.
Bora umesema wewe sijasema mimi..[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
kwanza inabd ujue period inasababishwa na nini...ukijua hvyo huwezi uliza kamwe...




Period inatokea pale Yai likiwa limeshaharibika baada ya kukaa kwenye uterus bila kurutubishwa



sasa Hiyo Mimba inaenda kurutubishwa kwenye Yai gan??
 
Mwanammke huenda Hedhi siku7
Haijalishi imeisha siku ya kwanza hio hio au ya 3..
lazima akae 7days....
7days hizo kuna baadhi ya mambo haruhusiwi wana dini mnajua wote... mambo asilia wanajua pia, na nyinyi wanaume hamtakiwi kuwaingilia ndani ya siku7 hizo!

hivi nyinyi wanaume msoenda jandoni mna nini? [emoji22][emoji22]
 
Mwanammke huenda Hedhi siku7
Haijalishi imeisha siku ya kwanza hio hio au ya 3..
lazima akae 7days....
7days hizo kuna baadhi ya mambo haruhusiwi wana dini mnajua wote... mambo asilia wanajua pia, na nyinyi wanaume hamtakiwi kuwaingilia ndani ya siku7 hizo!

hivi nyinyi wanaume msoenda jandoni mna nini? kila siku mnapishana kutibu henia[emoji22][emoji22]
Ninaiomba hii elimu madame, nahisi kuna ujumbe mzito hapa!
 
Mkuu mbona una haraka hivyo? Si usubiri k ijisafishe kwanza maana kuna stains za damu bado. Watu hamna kinyaa? Mbaya zaidi utakuta mtu anazama chumvini kulamba mabaki ya damu ya period, wtf!!!!

Hawezi kupata mimba maana hizo ni siku salama kwake.
Nimelipenda jibu hili. Binafsi nikimaliza zangu nakaa siku 2 bila kufanya kitu. Kwanza kuna kaharufu flank kanabaki ambacho binafs nakisikia Haya nikisex na mtu bivi kutakuwa na raha gani Hapo etiii. Aaghaaa. Muwe na kinyaa buana time zingine
 
Mwanammke huenda Hedhi siku7
Haijalishi imeisha siku ya kwanza hio hio au ya 3..
lazima akae 7days....
7days hizo kuna baadhi ya mambo haruhusiwi wana dini mnajua wote... mambo asilia wanajua pia, na nyinyi wanaume hamtakiwi kuwaingilia ndani ya siku7 hizo!

hivi nyinyi wanaume msoenda jandoni mna nini? kila siku mnapishana kutibu henia[emoji22][emoji22]

Baelezeeee baelezeeee hawa vijana wasokua na mila. Sasa kungwi muda gani ni muafaka kuanza kukutana huku mimba zisizotarajiwa zikiepukwa?
 
Inawezekana ila nimarachache sana. Nasema ni marachache ilishawahi tokea Dr mmoja alipanga Tarehe zote akakosa kupata mtoto, baadae wakagundua kuwa mzunguko wake nimfupi wakati ule yupo kwenye hedhi na yai linapevuka ndipo akapata mtoto
 
Back
Top Bottom