Sex is Gateway to your soul kuwa makini

Point is, let's not fvck around like whores. Naamini pia sex inahusisha body, mind and soul. Connection yake ni kubwa, haivunjiki kirahisi, mabalaa na mikosi related to sex iko evident, japo pia kuna wenye positive impact ukikutana nao kimwili. I once met a girl, we did once, that week I got everything I wished. So, iko positive na negative pia.
 
Doctor!!Vipi ile hali unaona mwanamke akili inakwambia huyu ipo siku utamto..mba tu.Inapita hata miaka unashangaa kuna kitu kinawaunganisha unamkula tu kimasihara.Hii ni nini?
Mawazo ya mara kwa mara (Affirmations) huingia kwenye subconsious na Huweka Uthubutu wa Hicho kitu Kuna energy ambayo Huwa Inatengenezwa Nje ya mwili kwa ajili ya Kusupport hiyo affirm unayoitaja au kuiwaza mara kwa mara..

Na ndo maana Vitabu vya Dini zote Zinatuonya kuwa makini na Ulimi na Mawazo yetu..

Kwa mfano mimi nikiwaza Mara zote kila nikiamka kwamba Siwezi kitu bhasi ni kweli nitakuwa Siwezi..

Ila nikiwa naamka na kujipa Moyo napata nguvu za Kufanya kama zio kujaribu..

Affirmations Is the key
 
Yeah uko sahihi kabisa
 
Kwa wale tunaomwaga wazungu nje hii inatuhusu nayo? Maana connection lazma mtoto wa kike ashike mimba hata kama ataitoa ila hapo mnakuwa tayari mshajiunganisha.

Bila hivyo swala la connections ni soga tu. Ili kuwe na soultie lazima kuwe na strong emotions baina yenu na mchanganye damu. Mtu kachomeka ili akojoe apunguze stress af akamwagia kwenye condom au nje we unaita kuna connection hapo?
 
Mzee wangu connection ipo km unabisha jichukue video kisha ivujishe ndio utajua kulikuwa na connection au haikuwepo
 
Uzi mzuri na unaenda kasi sana,ngoja nitulie ntausoma vizuri,ila mtoa mada una hoja ya msingi,unapaswa kupigiwa makofi...
 
Hili swala Niliwahi Kulizungumzia Hapo nyuma Kidogo..

Swala Hili lilo Proved scientifically japo Bado lipo kwenye Mijadala Ya Kisayansi ila Ilikuw proved na nitakuwekea Studies hapo Chini..

Kisayansi..

Unapofanya mapenz na mwanaume wewe mwanamke una Micro DNA information iliyojaa taarifa na karma na Mapito ya Huyo mwanaume..
Kitalaamu Transfer hii huitwa male microchimerism. (Ingawaje bado ipo Kwenye Discussion kama Nilivyosema)..

Japo Mpaka Sasa Inakubalika kwa asilimia chache kwamba Mkifanya mapenzi wote mnaachiana some sort of Micro Information ambazo ndo huitwa Microchimerism..

Kwa sasa Microchimerism au Kuhamisha DNA kwenda kwa mwingine inakuwa Regarded sana na imekubalika kwa research Nyingi sana na Haina Mjadala ni Pregnancy Microchimerism (Ambayo wewe Umeitaja)

Kwamba mwanamke akibeba mimba ya mwanaume bhasi baadhi ya DNA kutoka kwa Mwanaume Humwingia na Hazitoki Mpaka anapokufa ..

Baadhi ya Studies za kisayansi Zilizofanyika mpaka Sasa Ambazo zimeacha Discussion kuhusu Microchimerism ambazo hazijatokana na Mimba..Yaani Y chromo..

Tusome jamani Science inakuwa na Kuthibitisha Vingi ambavyo wengi bado tuna Update ya Zamani..
 
Mimi ni wako pekeyako huku unakojolea shimo hapo ndipo shida zinapoanzia😂! Kuweka committment na viapo vya ajabu ajabu ndio shida zinapoanzia ila kama unapooza rim mimi siamini kama kuna connections zozote. Demu mwenyewe kaja kukupa tobo ili umpe hela ya saluni.🤣
 
Utakuwa Bora sana Kwenye Kila kitu hata Akili yako itakuwa inafanya kazi vizuri sana
Labda akili mnemba ila sio hii inayokaa kwenye ubongo wa binadamu. Utagombana sana na watu kwa vitu vya kijinga kumbe unasumbuliwa na nyegezi Mwanza😂
 
Mkuu hili kisayansi limekaaje ,kwa sababu kwa ulivyo elezea ni kiimani , bado haithibitishi kuwa ni sahihi , vipi kuhusu DNA za wanaume wengi zinaathiri vipi mwili wa mwanamke nikimaanisha sperms DNA?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…