Killa Cam
JF-Expert Member
- Jun 12, 2022
- 2,264
- 6,679
Huyu kweli kungwiiiii 😂Jibu ni moja tu wamechezea huko kwa bibi mpk basi! Wameingiza midole, ulimi, midawa, chupa, mate, n.k. Atakosa maambukizi???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu kweli kungwiiiii 😂Jibu ni moja tu wamechezea huko kwa bibi mpk basi! Wameingiza midole, ulimi, midawa, chupa, mate, n.k. Atakosa maambukizi???
Hoja hupanguliwa kwa hoja. Na ktk hii mada nitafurahi nikipambana na daktari mwenzangu. Wauza magazeti na mbege muishie kuisoma tu hii madaKwa kweli inabidi uwache uongo uliokithiri.
Mweh!Vimelea vikiingia sehemu vikakaa muda mrefu hata siku ukiviua vinakuwa tayari vimeacha madhara yasiyoisha. Madaktari wanaelewa nasema nn
Watu wanakawaida ya ku generalize vitu, japo katka some cases haitakiwi kuwa hivyoBora utusaidie watu wanazaa na matumbo yanauma pale pale
Mimi nakubali ni muuza tembo la mnazi (mwenyeji wa pwani) lakini kwa daktari wewe hapana.Hoja hupanguliwa kwa hoja. Na ktk hii mada nitafurahi nikipambana na daktari mwenzangu. Wauza magazeti na mbege muishie kuisoma tu hii mada
😅😅😅😅 AnagugoKungwi anajiita daktari mbobezi wa mambo ya kina mama halafu nondo zake nae anatoa google kama sisi tuliosomea mpira
Hahaha! Mkuu hapa utakuwa unanionea bure. Kama siyo daktari sasa mamlaka ya kupinga hoja ya daktari unayatoa wapi?Mimi nakubali ni muuza tembo la mnazi (mwenyeji wa pwani) lakini kwa daktari wewe hapana.
Umeandika pumba haswa....Kibayolojia kuna sababu zifuatazo zinazosababisha maumivu wakati wa hedhi:
(Kajisomee mwenyewe hukunilipia ada)
- 1. Endometriosis.
- 2. Uterine fibroids.
- 3. Adenomyosis.
- 4. Pelvic inflammatory disease.
- 5. Cervical stenosis.
Katika sababu zote hizo ni moja tu (no.5) ndiyo huwezi kumlaumu mwanamke kwa kutokujitunza.
Zilizobakia zote zinasababishwa ama na maambukizi wakati wa kujamiiana au kutumia madawa ya kuzuia mimba mara kwa mara..
Na nyingine husababishwa na utoaji mimba.
Kwahiyo ukiona huyo unayemuita bebi anagugumia mpk kulzwa wakati wa hedhi ujue umepigwa. Katumika mpk kachakaa. Homoni za kike pamoja na mifumo ya via vya uzazi imeparaganyika.
Wewe ktk makuzi yako ushawahi hata kusikia kuwa mamako yuko kwenye hedhi? Au kalazwa kwasbb ya hedhi? Sasa kwann hawa viumbe wa leo? Jibu ni moja tu wamechezea huko kwa bibi mpk basi! Wameingiza midole, ulimi, midawa, chupa, mate, n.k. Atakosa maambukizi???
Na kwa wanawake wa hivi mtoto utamtafuta kwa tochi.
Kataa uhuni wa mapenzi, achana na midada iliyotumika.
Chukua ushauri huu toka kwa kungwi na daktari mbobezi Sexless
Hiyo ni supportiive evidence ambayo kwa jicho la kidaktari nimeona inafaa kuwapatia😅😅😅😅 Anagugo
Lete wako mchele tumlinganishe. Mm msomi wa udaktari na nimesomea ng'amboUmeandika pumba haswa....
🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Kuna tendency ya watu kuanzisha attacking thread ili kupata support kwenye kundi la watu fulani.Yaani nimetafakari hadi nikashindwa kucomment...
Binafsi naumwa tumbo tangu nimevunja ungo, naumwa ile haswa.
Sijawahi kutumia vidonge vya uzazi ndo nawaza maambukizi aliyoyasema...yaani zaidi ya 30 yrs nina maambukizi yasiyoonekana kwa vipimo vya madaktari.
Kwa kiswahili yanaitwaje?
- 1. Endometriosis.
- 2. Uterine fibroids.
- 3. Adenomyosis.
- 4. Pelvic inflammatory disease.
- 5. Cervical stenosis
Naelewa, nimewahi pitia hayo maumivu nilikua nakunywa Goden kipakti kizima siku moja. Namshkuru Mungu nilivyozaa tu yakapoteaMay be. Nimeshazoea ingawa haizoeleki[emoji28][emoji28]
Ni kweli nimeona hivyo. Na kuna wanaoshabikia ambao hawana uelewa wowote wa kidaktari. TumewazoeaKuna tendency ya watu kuanzisha attacking thread ili kupata support kwenye kundi la watu fulani.
Wanasema ukizaa inapotea lkn kwangu ilikuwa tofauti..maumivu yaliendelea hadi sasa hivi. Bila kunywa dawa hiyo siku nitakomaNaelewa, nimewahi pitia hayo maumivu nilikua nakunywa Goden kipakti kizima siku moja. Namshkuru Mungu nilivyozaa tu yakapotea
Reply post zangu huko juu. Achana na hii ambayo nachat na huyu jamaaHiyo ni supportiive evidence ambayo kwa jicho la kidaktari nimeona inafaa kuwapatia
Mh polee, I hope siku utapata tiba na utapona kabisaWanasema ukizaa inapotea lkn kwangu ilikuwa tofauti..maumivu yaliendelea hadi sasa hivi. Bila kunywa dawa hiyo siku nitakoma
Chukulia kawaida tu. Pia pole kwa hayo maumivuNi kweli nimeona hivyo. Na kuna wanaoshabikia ambao hawana uelewa wowote wa kidaktari. Tumewazoea
Hao pia hutokea kwamba anapata maambukizi kutokana na matumizi yasiyo sahihi ya visafishio kama maji machafu, sabuni iliyobeba uchafu ama yenye kemikali nyingi. Hii hupelekea sehemu zake za siri kushambuliwa na vimeleaWale wenye chango je yupo dem bikra ila anapata maumiv wakat wa hedhi tena haswa