Sexless: Ukiona mchumba wako anaumwa sana wakati wa hedhi basi ujue-katumika sana, katumia sana Vidonge vya kuzuia mimba ama amechoropoa sana

Kwa kweli inabidi uwache uongo uliokithiri.
Hoja hupanguliwa kwa hoja. Na ktk hii mada nitafurahi nikipambana na daktari mwenzangu. Wauza magazeti na mbege muishie kuisoma tu hii mada
 
Hoja hupanguliwa kwa hoja. Na ktk hii mada nitafurahi nikipambana na daktari mwenzangu. Wauza magazeti na mbege muishie kuisoma tu hii mada
Mimi nakubali ni muuza tembo la mnazi (mwenyeji wa pwani) lakini kwa daktari wewe hapana.
 
Mimi nakubali ni muuza tembo la mnazi (mwenyeji wa pwani) lakini kwa daktari wewe hapana.
Hahaha! Mkuu hapa utakuwa unanionea bure. Kama siyo daktari sasa mamlaka ya kupinga hoja ya daktari unayatoa wapi?
 
Umeandika pumba haswa....

πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
 
Umeandika pumba haswa....

πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
Lete wako mchele tumlinganishe. Mm msomi wa udaktari na nimesomea ng'ambo
 
Kuna tendency ya watu kuanzisha attacking thread ili kupata support kwenye kundi la watu fulani.
 
Kuna tendency ya watu kuanzisha attacking thread ili kupata support kwenye kundi la watu fulani.
Ni kweli nimeona hivyo. Na kuna wanaoshabikia ambao hawana uelewa wowote wa kidaktari. Tumewazoea
 
Naelewa, nimewahi pitia hayo maumivu nilikua nakunywa Goden kipakti kizima siku moja. Namshkuru Mungu nilivyozaa tu yakapotea
Wanasema ukizaa inapotea lkn kwangu ilikuwa tofauti..maumivu yaliendelea hadi sasa hivi. Bila kunywa dawa hiyo siku nitakoma
 
Wanasema ukizaa inapotea lkn kwangu ilikuwa tofauti..maumivu yaliendelea hadi sasa hivi. Bila kunywa dawa hiyo siku nitakoma
Mh polee, I hope siku utapata tiba na utapona kabisa
 
Wale wenye chango je yupo dem bikra ila anapata maumiv wakat wa hedhi tena haswa
 
Wale wenye chango je yupo dem bikra ila anapata maumiv wakat wa hedhi tena haswa
Hao pia hutokea kwamba anapata maambukizi kutokana na matumizi yasiyo sahihi ya visafishio kama maji machafu, sabuni iliyobeba uchafu ama yenye kemikali nyingi. Hii hupelekea sehemu zake za siri kushambuliwa na vimelea

Sexless the doctor.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…