SGR ndiyo project ya kwanza Black Kenya!


Now you going bonkers just like the other crazy guys from tz. are you a teen just from high school. I highly guess you are. In in your crazy world you don't know the use and importance of data I am done with you. Good luck!!

lake turkana wind farm!!


























Nick Hailey
 

Taratibu mtafaulu kujikomboa na kutoka kwenye dark age kama tulivyokua miaka 20 iliyopita. Usilinganishe isolated cases za kwetu na mahali mlipo. Fahamu matukio ya polisi kujisahau hutendeka hata Marekani.

Mimi nimefuatilia sana siasa za EAC yote na kweli Kenya tumepiga hatua kubwa. Hakuna size yetu kwenye huu ukanda wote. Tumetoka mbali.
 

I seek to refresh your mind. hawa polisi ni wa nchi gani. huyu mwana habari matumbo yake yalimwagua nje kinyama na nani!


 
Sasa nyinyi iyo project ya umeme wa jua. Apa Tanzania tulishafanya kitambo sana.
Nyinyi ngojea mwaka kesho katika uchaguzi Lazima damu imwagike ya kutosha.
 
Umenena sana kiongozi, viongozi wa nchi wana impact kubwa sana katika maendeleo ya Taifa kwasababu wao ndiyo wafanya maamuzi wa mwisho katika kila jambo liwe la manufaa ama lah!!. Nilikua nina imani sana na uongozi uliopo sasahivi lakini nimejikuta nakatishwa sana tamaa na maamuzi ya kushtukiza ya kila kukicha kwa mfano unaamua tu kuanzia leo tufanye jambo A,B na C bila mpango mkakati wowote bila hata uchambuzi wa matokeo yake kiuchumi, Nimeshangazwa sana na matamko ya Viongozi wakuu kabisa kuamua Serikali yote ihamie Dodoma haraka iwezekanavyo as if kuhamia Dodoma ni suala la kuwasha magari na kuelekea huko, Wamesahau kwamba pamoja na miundombinu ya Dar ambayo ipo advanced kuliko Dodoma bado imekua haitosherezi wizara zote kutekeleza majukumu yake, itakuwaje kwa Dodoma iwapo tutahamia ndani ya hii miezi kadhaa kama nilivyo muelewa Waziri mkuu? Rais alisema ndani ya kipindi chake kilicho baki atajitahidi Serikali yake iwe imehamia Dodoma, aliyekuja kuvuruga kabisa ni huyu wa pili akadai ndani ya miezi kadhaa bila kujali kwamba suala hili linahitaji mipango ya kifedha(Bajeti) iliyojikita kwa kuangalia faida na hasara za maamuzi haya ya ghafla kwa kipindi cha mda mfupi na mrefu.

Mimi binafsi Kuanzia sasa nimeacha hata kufikiria ishu zangu kubwa za kimaendeleo nasubiri kuusoma upepo kwanza maana sijui kesho wataamkaje na watasemaje, maana wasije wakadai kuanzia sasa ni marufuku ufugaji wa kuku kufanyika karibu na makazi ya watu na atakaye kamatwa atiwe ndani haraka. Hii ni kwa mtu mdogo kama mimi vipi kwa wawekezaje wakubwa? nani anaweza ku-riskisha uwekezaji wa mabilioni ya fedha katika nchi ambayo uongozi wa juu hautabiriki kesho utaamua nini?
 
i have now seen the difference btwn kenya and tz...ati kwa sasa hatuhitaji project izo.iyo statement sijawai isikia kabisa huku,how i wish hiyo land yenu yenye rotuba tungepewa sisi.mngeshangaa
 
i have now seen the difference btwn kenya and tz...ati kwa sasa hatuhitaji project izo.iyo statement sijawai isikia kabisa huku,how i wish hiyo land yenu yenye rotuba tungepewa sisi.mngeshangaa
Amateurism inakusumbua wewe,

Mngepewa mngewapa mabwana zenu wazungu as usual, that's why God didn't give you,
Ardhi yetu yenye rutuba iache ikae hata 100 years wajukuu wetu watakuja ifaidi.

And the difference is that,
Tz mahindi tunalisha nguruwe while kenya wengi wenu mnapata mlo mmoja/day.
 
hujui waongea nini wewe..baki apo ukiongelea mabwana tu wakati nchi yako hakuna lolote inafanya kufikia sasa.bado ni LDC na hiyo rotuba mnayojisifia.ingekuwa mnajielewa msingejilimbikizia ulimbukeni wa sifa za ovyo hati mahindi mnalisha nguruwe....ndio iweje.tumia hiyo ardhi mkuze mimea mingine itakayowasukuma mbele kama taifa.ni heri tuwe na jangwa letu tujizatiti kadri ya uwezo wetu,nguvu zikituishia tutanunua,ukikataa kuuza lisha nguruwe tutanunua kwingine.wachina wamewafanya shamba la bibi alafu wajidai waona wenzako....bwege sana hebu enda shambani ulime uache uvivu na justifications kuwa hamuhitaji project za uzalishaji chakula
 
Alietangulia katangulia tu,, acha kutupa maneno ya kujipa moyo, Tupo nyuma kupita kiasi,,,, huwezi kulinganisha na Kenya... Labda tunachowazidi ni rasilimali na amani tu
 
Wachana na huo Barabosa is a big idiot.....Tanzania bado iko nyuma sana....we are competing with S.Africa, Egypt and Nigeria achana na hawa washamba who cannot even speak one sentence in English.
 
Alietangulia katangulia tu,, acha kutupa maneno ya kujipa moyo, Tupo nyuma kupita kiasi,,,, huwezi kulinganisha na Kenya... Labda tunachowazidi ni rasilimali na amani tu
Wachana na huo Barabosa is a big idiot.....Tanzania bado iko nyuma sana....we are competing with S.Africa, Egypt and Nigeria achana na hawa washamba who cannot even speak one sentence in English.
 
Wachana na huo Barabosa is a big idiot.....Tanzania bado iko nyuma sana....we are competing with S.Africa, Egypt and Nigeria achana na hawa washamba who cannot even speak one sentence in English.
 
Wachana na huo Barabosa is a big idiot.....Tanzania bado iko nyuma sana....we are competing with S.Africa, Egypt and Nigeria achana na hawa washamba who cannot even speak one sentence in English.

 
your

I don't really get the bottom line calling me out but I will give it to you, you seem to be a guy who has a good grasp of words and debate decorum!!
Tanzania bado iko nyuma sana....Kenya is competing with S.Africa, Egypt and Nigeria achana na hawa washamba who cannot even speak one sentence in English.
 
Tanzania bado iko nyuma sana....Kenya is competing with S.Africa, Egypt and Nigeria achana na hawa washamba who cannot even speak one sentence in English.
Hahahaha, which SA jamaa, nyie huwa mnachekesha sana,
Eti Egypt, you seem not to have any idea of what you are saying,
Anyway hongera kwa kuwa developed country,
Tz iko poor na hakuna aliyebishia hilo,
But ni vigumu sana kumdanganya jirani yako.
Jirani ndiye anaekujua nje ndani.
 
Tanzania bado iko nyuma sana....Kenya is competing with S.Africa, Egypt and Nigeria achana na hawa washamba who cannot even speak one sentence in English.
Very good mindset, very surprising reasoning..
Speaking English means what ??
 
Wachana na huo Barabosa is a big idiot.....Tanzania bado iko nyuma sana....we are competing with S.Africa, Egypt and Nigeria achana na hawa washamba who cannot even speak one sentence in English.
Nyie wapuuzi amuwezi kuongea Kiswahili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…