SGR ya Kenya inabeba tonne 4,000 wakati ya Tanzania itakuwa nauwezowa tonne 10,000 za mzigo.

SGR ya Kenya inabeba tonne 4,000 wakati ya Tanzania itakuwa nauwezowa tonne 10,000 za mzigo.

Nimekaa nikangojea angalauwatu wawili au mmoja ajiulize maswali au ajaribu kuelewa maneno kadhaa kwa hizo screenshots zinamaanisha nini, lakini imebidi nikubali tu kwamba hapa JF watu hawapendi hata kujaribu kujadili kiutaalamu, watu wanapenda kushobokea tu bila ya kuelewa ni nini haswaa wanashobokea.....


Tuanze kitu cha kwanza unafaa muelewe, hapa wanaongelea treni wala sio reli.... hapo kwa kenya wanasema Trailing load of 4,000 tonnes on each train....
Je unajua maana ya trailing load???? Hii hapa maana yake.

---------
Trailing load refers to the maximum tonnage volume that can be hauled by a freight train and it depends on the propulsion strength of the locomotive being used. Indian Railways' freight trains currently carry a maximum trailing load of 3,900 tonnes. Indian Railways operates 10,500 locomotives to haul both passenger and freight trains at present.
----------

unaelewa maana ya trailing load???? kama hujaelewa hebu fikiria ki hivi, Kenya imejenga barabara nzuri, nzito na ya kudumu, lakini imenunua malori mengi yenye uwezo wa kadri.... Tanzania inapanga kujenya barabara ya kadri (Nitakueleza badae kwanini ni kadri) lakini inapanga kununua trela nzito zenye uwezo wa kubeba mzigo mzito... Sasa hebu nikuulize, ni barbara ya nani ndo itaharibika haraka na kuhitaji marekebisho kila mara?

Kwahivyo, kani ni ukweli walivyosema hao viongozi wenu... nashuku sasa umeelewa trailing load inamaanisha nini, kwahivyo kabla hata hatujaendelea, Geuza mada, Ondoa neno SGR na uweke treni/gari la moshi.... yani mada isome " Treni ya Kenya inabeba 4,000 wakati......" manake SGR ni technology ya reli ambayo ni kitu tofauti kabisa na uwezo wa treni!


-----
Ukiangalia India hapo, india ni nchi ya tano duniani kwa uchukuzi wa mizigo kupitia reli, treni nzito zaidi walionayo, inabeba 3,900 tonnes pekee.. hii ni kwasababu treni ikiwa pale badarini, haiwezi ikanjojea mizigo yote ya wiki ipakuliwe kwa mpigo... Mizigo kadhaa ikipakuliwa unafaa uichukue na kuipeleka.... Hii inamaanisha huko Tanzania kama mtakua na treni za kubeba 10,000 tonnes kwa mpigo mmoja, itabidi treni ingojee kama siku mbili na nusu ndo ijae mizigo ya kutosheleza, itasababisha mizigo kuxhelewa iwe hata hakuna tofauti na lori likianza kupeleka huo mzigo na lori!-----


Angalia hapa, mchina ambaye ndo anabebesha mizigo mingi zaidi duniani kupitia reli, hii ndo average trailing load yao kwa kila treni

Average freight train carrying capacity in China 2014
This statistic shows the average weight of freights carried by trains in China from 2006 to 2014. In 2007, a freight train in China carried in average a load of around 3,200 tons.
View attachment 534606



Infact, nimepitia tovuti nyingi sana kabla niandike haya na nimeona kwamba treni zinazobeba mizigo mingi kwa mpigo, 90% ni za kubeba iron ore na madini mengine mazito
Germany heaviest train -6000tonnes
France 5,410t



Nchi inayoshikilia rekodi ya dunia kwa treni yenye mzigo mzito kabisa duniani ni South Africa... ilivunja rekodi hio mwaka wa 1989!!!!
Hii hapa treni yenyewe iliokua mbele kabisa ikivuta mizigo
Sishen%20World%20Record%20Train%20-%20unknown%20newspaper%20-%20August%201989.png

treni yenyewe ilikua na urefu wa 7.2KM !(ya kenya ya sasa ni 880m), na ilivita mabehewa 660 yaliyobeba 91,000tonns!
South Africa's World Record Breaking Train! | The Heritage Portal




Kwahivyo hapo juu, yanayoongelewa ni umezo wa treni bali si uwezo wa reli... treni ni jambo dogo sana ukilinganisha na ujenzi wa reli yenyewe... Pesa zilizo tumika kwa kununua treni ni 5% ya pesa zote zilizotumika kwa ujenzi wa reli.... Kumbuka hata Kenya inampango wa kuweka stima kwa reli yake by 2020 na itabidi tununue treni zengine za kutumia stima, lakini reli yenyewe inatarajiwa kufanya kazi kwa miaka zaidi ya 100... kwahivyo uwezo wa reli ndo muhimu, na ikija kwa uwezo wa reli, SGR ya Tanzania mepitwa na mbali sana na SGR ya Kenya..

comparizon ya Kenya, Uganda, Ethiopia, Tanzania SGR, ilifanywa na Ministry of Transport UG
View attachment 534611


Angalia No 16 hapo Reli ya Tz itajengwa na umezo wakubeba maximum of 18 Million tonnes per year au ukitaka 18m/365days = 49,315 tonnes per day -Kwahivyo mkitaka, mnaeza nunua hata treni mbili tu za uwezo wa kubeba 20,000 tonnes each... ama ukipenda zaidi, muwe na treni moja tu yenye uwezo wa 50,000 tonnes ibebe mizigo yote kwa mpigo mmoja! lakini jambo la muhimu la kuangalia ni msipitishe zadi ya avg 49,315 tonnes kwa siku au 18Million kwa mwaka manake mkipitisha hapo, reli itakaribika kwa mda mfupi.....

Ukiangalia reli ya Kenya, design ya reli ni nzito, inaeza kubeba hadi maximum of 35Million tonnes kwa mwaka! au ukipenda 95,890 tonnes kwa siku, kwahivyo hata tukipenda tunaweza kununua reli ya urefu wa 7km na mabehewa 700 ya kubeba mizigo yote kwa mpigo mmoja..






Kwahivyo muache kelele nyingi bila vitendo,, mdomo mkubwa hata hamjaanza ujenzi, tulizeni boli kwanza... Wakuu wenu wameshaanza propaganda za kujilinganisha na reli ya Kenya, watanzania wenyewe hata hamjui kuchambua, mazombie kazi kushikilia chochote mnachoambiwa kana kwamba biblia/quran... Baada ya miaka 20 hivi wakati uchumi wenu utakua umekua hako ka reli kenu ka 18m tonnes/year katakua hakawezi kuwatosheleza mahitaji yenu tena, itabidi muengeze reli ya pili yenye uwezo sawa ndo mjitosheleze, wakati Kenya reli hio hio moja ya max 35m tonnes/year itakua bado iko na capacity ya kuongeza usafirishaji wa mizigo bila kuhitaji reli nyengine kujengwa
excellent
 
Ume tumia nguvu nyingi sana kuelewesha kitu simple sana. Hapa ukweli nikwamba reli ya Kenya imetengenezwa kuimili mzigo usiozidi tonne 4,000 na ya Tanzania mzigo usiozidi tonne 10,000. Namimi kwakukuelimisha kwa kutumia barabara. Nisawa sote tujenge Barabara lakini nyie mtengeneze light grade roads nasisi tutengeneze heavy grade roads. Ikiwa na maana mzigo unaopita kwenye heavy grade road huwezi pitisha kwenye light grade. Lazima pia ujue matuta ya reli utafautiana kwenye base. Base mliyotumia niyakuimili 4,000 tonnes lakini ya kwetu itaimili 10,000 tonnes. Pole sana kwakutumia nguvu nyingi sana kuandika utumbo
Nimekaa nikangojea angalauwatu wawili au mmoja ajiulize maswali au ajaribu kuelewa maneno kadhaa kwa hizo screenshots zinamaanisha nini, lakini imebidi nikubali tu kwamba hapa JF watu hawapendi hata kujaribu kujadili kiutaalamu, watu wanapenda kushobokea tu bila ya kuelewa ni nini haswaa wanashobokea.....


Tuanze kitu cha kwanza unafaa muelewe, hapa wanaongelea treni wala sio reli.... hapo kwa kenya wanasema Trailing load of 4,000 tonnes on each train....
Je unajua maana ya trailing load???? Hii hapa maana yake.

---------
Trailing load refers to the maximum tonnage volume that can be hauled by a freight train and it depends on the propulsion strength of the locomotive being used. Indian Railways' freight trains currently carry a maximum trailing load of 3,900 tonnes. Indian Railways operates 10,500 locomotives to haul both passenger and freight trains at present.
----------

unaelewa maana ya trailing load???? kama hujaelewa hebu fikiria ki hivi, Kenya imejenga barabara nzuri, nzito na ya kudumu, lakini imenunua malori mengi yenye uwezo wa kadri.... Tanzania inapanga kujenya barabara ya kadri (Nitakueleza badae kwanini ni kadri) lakini inapanga kununua trela nzito zenye uwezo wa kubeba mzigo mzito... Sasa hebu nikuulize, ni barbara ya nani ndo itaharibika haraka na kuhitaji marekebisho kila mara?

Kwahivyo, kani ni ukweli walivyosema hao viongozi wenu... nashuku sasa umeelewa trailing load inamaanisha nini, kwahivyo kabla hata hatujaendelea, Geuza mada, Ondoa neno SGR na uweke treni/gari la moshi.... yani mada isome " Treni ya Kenya inabeba 4,000 wakati......" manake SGR ni technology ya reli ambayo ni kitu tofauti kabisa na uwezo wa treni!


-----
Ukiangalia India hapo, india ni nchi ya tano duniani kwa uchukuzi wa mizigo kupitia reli, treni nzito zaidi walionayo, inabeba 3,900 tonnes pekee.. hii ni kwasababu treni ikiwa pale badarini, haiwezi ikanjojea mizigo yote ya wiki ipakuliwe kwa mpigo... Mizigo kadhaa ikipakuliwa unafaa uichukue na kuipeleka.... Hii inamaanisha huko Tanzania kama mtakua na treni za kubeba 10,000 tonnes kwa mpigo mmoja, itabidi treni ingojee kama siku mbili na nusu ndo ijae mizigo ya kutosheleza, itasababisha mizigo kuxhelewa iwe hata hakuna tofauti na lori likianza kupeleka huo mzigo na lori!-----


Angalia hapa, mchina ambaye ndo anabebesha mizigo mingi zaidi duniani kupitia reli, hii ndo average trailing load yao kwa kila treni

Average freight train carrying capacity in China 2014
This statistic shows the average weight of freights carried by trains in China from 2006 to 2014. In 2007, a freight train in China carried in average a load of around 3,200 tons.
View attachment 534606



Infact, nimepitia tovuti nyingi sana kabla niandike haya na nimeona kwamba treni zinazobeba mizigo mingi kwa mpigo, 90% ni za kubeba iron ore na madini mengine mazito
Germany heaviest train -6000tonnes
France 5,410t



Nchi inayoshikilia rekodi ya dunia kwa treni yenye mzigo mzito kabisa duniani ni South Africa... ilivunja rekodi hio mwaka wa 1989!!!!
Hii hapa treni yenyewe iliokua mbele kabisa ikivuta mizigo
Sishen%20World%20Record%20Train%20-%20unknown%20newspaper%20-%20August%201989.png

treni yenyewe ilikua na urefu wa 7.2KM !(ya kenya ya sasa ni 880m), na ilivita mabehewa 660 yaliyobeba 91,000tonns!
South Africa's World Record Breaking Train! | The Heritage Portal




Kwahivyo hapo juu, yanayoongelewa ni umezo wa treni bali si uwezo wa reli... treni ni jambo dogo sana ukilinganisha na ujenzi wa reli yenyewe... Pesa zilizo tumika kwa kununua treni ni 5% ya pesa zote zilizotumika kwa ujenzi wa reli.... Kumbuka hata Kenya inampango wa kuweka stima kwa reli yake by 2020 na itabidi tununue treni zengine za kutumia stima, lakini reli yenyewe inatarajiwa kufanya kazi kwa miaka zaidi ya 100... kwahivyo uwezo wa reli ndo muhimu, na ikija kwa uwezo wa reli, SGR ya Tanzania mepitwa na mbali sana na SGR ya Kenya..

comparizon ya Kenya, Uganda, Ethiopia, Tanzania SGR, ilifanywa na Ministry of Transport UG
View attachment 534611


Angalia No 16 hapo Reli ya Tz itajengwa na umezo wakubeba maximum of 18 Million tonnes per year au ukitaka 18m/365days = 49,315 tonnes per day -Kwahivyo mkitaka, mnaeza nunua hata treni mbili tu za uwezo wa kubeba 20,000 tonnes each... ama ukipenda zaidi, muwe na treni moja tu yenye uwezo wa 50,000 tonnes ibebe mizigo yote kwa mpigo mmoja! lakini jambo la muhimu la kuangalia ni msipitishe zadi ya avg 49,315 tonnes kwa siku au 18Million kwa mwaka manake mkipitisha hapo, reli itakaribika kwa mda mfupi.....

Ukiangalia reli ya Kenya, design ya reli ni nzito, inaeza kubeba hadi maximum of 35Million tonnes kwa mwaka! au ukipenda 95,890 tonnes kwa siku, kwahivyo hata tukipenda tunaweza kununua reli ya urefu wa 7km na mabehewa 700 ya kubeba mizigo yote kwa mpigo mmoja..






Kwahivyo muache kelele nyingi bila vitendo,, mdomo mkubwa hata hamjaanza ujenzi, tulizeni boli kwanza... Wakuu wenu wameshaanza propaganda za kujilinganisha na reli ya Kenya, watanzania wenyewe hata hamjui kuchambua, mazombie kazi kushikilia chochote mnachoambiwa kana kwamba biblia/quran... Baada ya miaka 20 hivi wakati uchumi wenu utakua umekua hako ka reli kenu ka 18m tonnes/year katakua hakawezi kuwatosheleza mahitaji yenu tena, itabidi muengeze reli ya pili yenye uwezo sawa ndo mjitosheleze, wakati Kenya reli hio hio moja ya max 35m tonnes/year itakua bado iko na capacity ya kuongeza usafirishaji wa mizigo bila kuhitaji reli nyengine kujengwa
 
Nitazidi kulinganisha. Nakuna taarifa nyingine naileta hapa muda simrefu. Mtanyooka mwaka hu na Uhuruto
alafu ukome upumbavu wako wa kulinganisha linganisha kila uchao...kama mwenzako alivosema hapo juu linganisha kitu ambacho kiko tayari kinafanya kazi sio mambo ya ndoto za abunwasi unatulinganishia hapa upumbavu...hivi nikuulize tani hizo zote za mizigo zitakua zinapelekwa wapi? Morogoro? tumia ubongo aisee...sio kujivuna vuna ovyo ovyo na hata reli yenyewe haiwezi ikapata mizigo ya kiasi hicho..isitoshe reli yenyewe haijajengwa hata kilomita 20....hata mkapeleka rwanda haiwezi ikapata mizigo tani hizo...ur chasing the wind my friend
 
Bora hata wao washaiona na kuanza kuitumia ya kwetu ipo kwny makaratasi mipicha picha tu


Acha kuongea huko same vichakani bila kujua nini kinachofanyika huku pugu ambako ndo mradi umeanzia,,njoo pugu na mlandiz uone maturuki walivyobize kuweka utaratibu wote wa campu za ujenzi was mradi cyo kuongea usichokijua,,,,ww andaa nauli ya kuwa unafanya utalii was kwenda mza na kurudi Sikh hiyo hiyo baada ya mradi kukamilika
 
Ume tumia nguvu nyingi sana kuelewesha kitu simple sana. Hapa ukweli nikwamba reli ya Kenya imetengenezwa kuimili mzigo usiozidi tonne 4,000 na ya Tanzania mzigo usiozidi tonne 10,000. Namimi kwakukuelimisha kwa kutumia barabara. Nisawa sote tujenge Barabara lakini nyie mtengeneze light grade roads nasisi tutengeneze heavy grade roads. Ikiwa na maana mzigo unaopita kwenye heavy grade road huwezi pitisha kwenye light grade. Lazima pia ujue matuta ya reli utafautiana kwenye base. Base mliyotumia niyakuimili 4,000 tonnes lakini ya kwetu itaimili 10,000 tonnes. Pole sana kwakutumia nguvu nyingi sana kuandika utumbo

Kuna mtu aliniamba eti wakenya wengi wamesoma kumbe elimu yenyewe ndo hii ya kutojua mambo,,,,,,Uhuru on making private money with Chinese, mtanyooka tuu na hiyo miradi ya SGR ya kichina ambayo mmepigwa mazuzu nyie
 
Acha kupotosha watu bwege wewe hata tuta halijawekwa unatutoa ufahamu etii umeanza wapi


We we ubishi wako siyo wa kujua kua reli ilishaanza ila unabisha ili upewe ukweli kama kweli umeanza maana shida yako in ajira sasa unabisha kwa hasira kwa kujua ulitaka ajira ukiwa mbali ukijua mradi ukianza basi unapojengwa unaonyeshwa live kama bunge,,,,toka hapo machakani Singida nenda pugu jamaa wanakata pori kwa ujenzi kuiacha pugu,,,,,huku dar wanakuja kumalizia tuuu,,endelea kubisha Bendera wewe
 
M mwenyewe nawashangaa hawa wanaowacheka wakenya wakati wenzao saivi wanaisikia inakata mbuga tu cc tunaonyeshwa picha tu cjui tutapanda kwe izo picha toka moro to dsm

SGR ya Kenya ya kutumia diesel ndo unataka kulinganisha na ya tz,,,,

Tofauti ya SGR ya Kenya na Tz ni hii hapa ndo ujue ya kenya bado ya kizamani,,


A: -Ya kenya ni km zisizozidi 500
- Ya Tz ni zaid ya km1200

B: - Ya Kenya itabeba 4000tonnes kwa wakat Fulani
- Ya tz itabeba 10000tonnes kwa nyakat fulani

C: - Ya kenya itatembea km80 kwa saa
- Ya tz itatembea km160 kwa saa

D: -Ya Kenya itatumia diesel na siyo umeme
- Ya Tz itatumia umeme

E: - Ya Kenya inatoka Mombasa to Nairobi tu,
- Ya tz itaunganisha nchi za uganda ,Burundi na Rwanda baada ya kufika Mwanza
 
We we ubishi wako siyo wa kujua kua reli ilishaanza ila unabisha ili upewe ukweli kama kweli umeanza maana shida yako in ajira sasa unabisha kwa hasira kwa kujua ulitaka ajira ukiwa mbali ukijua mradi ukianza basi unapojengwa unaonyeshwa live kama bunge,,,,toka hapo machakani Singida nenda pugu jamaa wanakata pori kwa ujenzi kuiacha pugu,,,,,huku dar wanakuja kumalizia tuuu,,endelea kubisha Bendera wewe
Unajikakamua sana ndezi wewe Hakuna Kitu kama hicho Mm naishi Pugu kawadanganye wanyaturu wenzako bwege kweli wewe
 
Unajikakamua sana ndezi wewe Hakuna Kitu kama hicho Mm naishi Pugu kawadanganye wanyaturu wenzako bwege kweli wewe


Kweli mbulura kumuelimisha Nazi saana baki hapohapo pugu unadoea supu za mbuzi ukisibir kazi huko wenzako wanaendelea na kazi
 
Unajikakamua sana ndezi wewe Hakuna Kitu kama hicho Mm naishi Pugu kawadanganye wanyaturu wenzako bwege kweli wewe
Wewe uishi pugu. Utakuwa uko mjiwambari sana. Kama simu yako INA application ya YouTube andika Rahco Millard ago iliujue kinachoendelea Pugu. Kwa statement yako watu wa Pugu wanakushangaa sana. Acha ushamba usichojua kaa kimia soma pita kimia kimia
 
Kweli mbulura kumuelimisha Nazi saana baki hapohapo pugu unadoea supu za mbuzi ukisibir kazi huko wenzako wanaendelea na kazi
Mnajua maana ya mradi kuanza mabwege nyie eti millard ayo hizo nyumba za kulala ndio reli mapunga nyie
 
Kunajamaa analeta mifano ya India bila kujua India inaongoza duniani kwa kuwa na treni za zamani. Tuliwapa shilika letu kipindi chanyuma wakashindwa. India
 
Wewe uishi pugu. Utakuwa uko mjiwambari sana. Kama simu yako INA application ya YouTube andika Rahco Millard ago iliujue kinachoendelea Pugu. Kwa statement yako watu wa Pugu wanakushangaa sana. Acha ushamba usichojua kaa kimia soma pita kimia kimia
Unitumie makalio punga wewe wekeni ya reli hapa kama ilivyo fly over
 
SGR ya Kenya ya kutumia diesel ndo unataka kulinganisha na ya tz,,,,

Tofauti ya SGR ya Kenya na Tz ni hii hapa ndo ujue ya kenya bado ya kizamani,,


A: -Ya kenya ni km zisizozidi 500
- Ya Tz ni zaid ya km1200

B: - Ya Kenya itabeba 4000tonnes kwa wakat Fulani
- Ya tz itabeba 10000tonnes kwa nyakat fulani

C: - Ya kenya itatembea km80 kwa saa
- Ya tz itatembea km160 kwa saa

D: -Ya Kenya itatumia diesel na siyo umeme
- Ya Tz itatumia umeme

E: - Ya Kenya inatoka Mombasa to Nairobi tu,
- Ya tz itaunganisha nchi za uganda ,Burundi na Rwanda baada ya kufika Mwanza
Kila kjtu ulochandika hapa ni upuzzy mtupu.
 
Kiswahili naona kinakupa tabu kuandika. Sasa kama huna application ya youtube utaangalizia wapi atatukiweka.
Unitumie makalio punga wewe wekeni ya reli hapa kama ilivyo fly over
 
Ume tumia nguvu nyingi sana kuelewesha kitu simple sana. Hapa ukweli nikwamba reli ya Kenya imetengenezwa kuimili mzigo usiozidi tonne 4,000 na ya Tanzania mzigo usiozidi tonne 10,000. Namimi kwakukuelimisha kwa kutumia barabara. Nisawa sote tujenge Barabara lakini nyie mtengeneze light grade roads nasisi tutengeneze heavy grade roads. Ikiwa na maana mzigo unaopita kwenye heavy grade road huwezi pitisha kwenye light grade. Lazima pia ujue matuta ya reli utafautiana kwenye base. Base mliyotumia niyakuimili 4,000 tonnes lakini ya kwetu itaimili 10,000 tonnes. Pole sana kwakutumia nguvu nyingi sana kuandika utumbo
Nimekueleza trailing load inamaanisha nini, bado unarudi kwa reli........
Iweje basi reli ya kenya inaweza kubeba hadi 35mln tonn kwa mwaka wakati ya Tz inafika 18Mln tonnes hapa lighter rail ni ghani jameni,

Tena isitoshe chuma kilichotumika kujenga reli ya kenya kina uzito wa 60 kg/m wakati kule turkey (ambao ndo wanawajengea reli yenu) wanatumua chuma cha uzito wa 49 kg/m... Hebu niambie tena ghani ndo light hapo na ghani ndo heavy ????

Kama bado hujashika maana ya trailing road, hebu nikuulize unajua kwanini lory ndefu lina matairi mengi?????
 
I don't need to read this article or research on anything but one thing I'm sure of, some bongolala misunderstood something.
 
I don't need to read this article or research on anything but one thing I'm sure of, some bongolala misunderstood something.
 
Back
Top Bottom