Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
We si VVIP unaunga bando Kwa Tigopesa App🤣🤣🤣🤣🤣
Kumbe kuna thread za vocha na huniambii!! Kumbe hunipendi🙆🙆🙆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We si VVIP unaunga bando Kwa Tigopesa App🤣🤣🤣🤣🤣
Kumbe kuna thread za vocha na huniambii!! Kumbe hunipendi🙆🙆🙆
Hakuna shabiki anaehamaga timu. Timu ni in born. Ukiona mshabiki wa hivyo basi hajui maana ya ushabiki.Kwa mnaotazama na kusikiliza EA radio na EATV muda huu, Huyu aliyekuwa shabiki kindakindaki wa simba ametangaza rasmi kuhamia Yanga.
Karibu sana kwenye kambi ya ushindi, Karibu kwenye kambi ya makombe! Karibu kwa MABINGWA! Kila mtu huzaliwa mwananchi ni ujeuri tu na kukengeuka huwapeleka kwingine😄
Ni suala la muda Mo dewji naye ataunga mkono juhudi.
View attachment 3070590View attachment 3070591
Karibu sana, ukihitaji jezi yao nishtue!Ngoja nami nihamie mashujaa.
Weeeeh! Hebu niambie hizo nyuzi ziko wapi nikachukue vocha.We si VVIP unaunga bando Kwa Tigopesa App
Nipe ya yanga kwanza, nikiendelea kutafakari🤣Karibu sana, ukihitaji jezi yao nishtue!
DaahInawezekanaje kuhama timu?🤔 Nilijaribu kuhama Yanga niende Singida kwa Guede nikashindwa
Huyu sio shabiki ni tanga tanga, kwa hio Yanga ikifanya vibaya napo atahama?Kwa mnaotazama na kusikiliza EA radio na EATV muda huu, Huyu aliyekuwa shabiki kindakindaki wa simba ametangaza rasmi kuhamia Yanga.
Karibu sana kwenye kambi ya ushindi, Karibu kwenye kambi ya makombe! Karibu kwa MABINGWA! Kila mtu huzaliwa mwananchi ni ujeuri tu na kukengeuka huwapeleka kwingine😄
Ni suala la muda Mo dewji naye ataunga mkono juhudi.
View attachment 3070590View attachment 3070591
Ukitokea wapi?Ngoja nami nihamie mashujaa.
Dogo hujambo?😁Weeeeh! Hebu niambie hizo nyuzi ziko wapi nikachukue vocha.
Yanga🤣Ukitokea wapi?
Jambo ninalo, nataka vocha🤣Dogo hujambo?😁
Kuja home sa hiiJambo ninalo, nataka vocha🤣
Yaani kumbe kuna nyuzi za vocha na hamsemi🙆🙆🙆Kuja home sa hii