Shahada ya heshima kwa Rais Samia sio sawa

Shahada ya heshima kwa Rais Samia sio sawa

Inashangaza mno kuona rais Samia akitunukiwa shahada ya heshima ya udaktari wa uchumi na chuo kikuu cha Dar es Salaam ilhali nchi ndio kwanza imeghubikwa na hali ngumu ya uchumi kila upande.

Hakuna umeme
Hakuna maji
Mbolea haipatikani
Hakuna ajira
Tozo zimezidi
Deni la taifa linaongezeka
Kasi ya ukuaji wa uchumi imeshuka
Hali ya maisha imezidi kuwa ngumu

Je huo udaktari wa heshima ni ajili ya dhahama hizi?!

Kama anapenda na yeye aitwe “doctor “ kwanini wasingemgawia udaktari wa Kiswahili tu?
Hayo uliyoyataja Kuna Nchi yeyote hapa Duniani imeyamaliza?

Mengine ni husuda na wivu vinakusumbua,kazi kubwa ya Rais Samia Ni hii hapa 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221126-155956.png
    Screenshot_20221126-155956.png
    164.7 KB · Views: 2
Leo nimekubali kuwa JK hana aibu na anajua watanzania hawamuelewi na hawajui alichokifanya Chuo Kikuu cha Dar es sallam leo.
 
Unaambiwa hadi mikopo ya wanafunzi wa vyuo ni tia maji tia maji ; hawajapewa hadi leo !
 
Yote ni ubatili tu ndiyo maana nafsi zao haziridhiki.
 
Nchi haina umeme, maji na maisha magumu halafu anatokeo kilaza mmoja anampa mtu shahada ya uzamivu kwa misingi ipi???

Elimu imefanywa kuwa cheap kwasababu ya upuuzi wa wanasiasa!
 
Inashangaza mno kuona rais Samia akitunukiwa shahada ya heshima ya udaktari wa uchumi na chuo kikuu cha Dar es Salaam ilhali nchi ndio kwanza imeghubikwa na hali ngumu ya uchumi kila upande.

Hakuna umeme
Hakuna maji
Mbolea haipatikani
Hakuna ajira
Tozo zimezidi
Deni la taifa linaongezeka
Kasi ya ukuaji wa uchumi imeshuka
Hali ya maisha imezidi kuwa ngumu

Je huo udaktari wa heshima ni ajili ya dhahama hizi?!

Kama anapenda na yeye aitwe “doctor “ kwanini wasingemgawia udaktari wa Kiswahili tu?
Na Mwenyewe amekiri kuwa hakuistahili kutokana na sababu mbalimbali ( japo ya Uwezo mdogo Kitaaluma hakuisema ) ila Kufurahia kuipata baada ya Kusifiwa katika Wasifu wake Ukumbini.

itvtz
"Suala la kupewa tuzo hii nimelipokea kwa unyenyekevu mkubwa lakini nilijiuliza maswali kadhaa, sababu huko nyuma nilijaribu kuitafuta shahada hii lakini muda haukunipa nafasi, na nikajitazama sikuona kwamba nina sifa za kupewa shahada hii, lakini baada ya kusikiliza kwa makini maelezo marefu juu ya wasifu wangu, nimepata mwanga wa sababu zilizosukuma Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kunitunuku shahada hii" Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania - Mhe.Dkt.@samia_suluhu_hassan

Kazi ipo hakyanani.
 
Inashangaza mno kuona rais Samia akitunukiwa shahada ya heshima ya udaktari wa uchumi na chuo kikuu cha Dar es Salaam ilhali nchi ndio kwanza imeghubikwa na hali ngumu ya uchumi kila upande.

Hakuna umeme
Hakuna maji
Mbolea haipatikani
Hakuna ajira
Tozo zimezidi
Deni la taifa linaongezeka
Kasi ya ukuaji wa uchumi imeshuka
Hali ya maisha imezidi kuwa ngumu

Je huo udaktari wa heshima ni ajili ya dhahama hizi?!

Kama anapenda na yeye aitwe “doctor “ kwanini wasingemgawia udaktari wa Kiswahili tu?
Mbele ya CCM uchumi huwa haushuki wao kila siku ni mafanikio wakati nchi za ulaya kuna nyakati uchumi hushuka, hawa jamaa wamejaa uongouongo tu.
 
Inashangaza mno kuona rais Samia akitunukiwa shahada ya heshima ya udaktari wa uchumi na chuo kikuu cha Dar es Salaam ilhali nchi ndio kwanza imeghubikwa na hali ngumu ya uchumi kila upande.

Hakuna umeme
Hakuna maji
Mbolea haipatikani
Hakuna ajira
Tozo zimezidi
Deni la taifa linaongezeka
Kasi ya ukuaji wa uchumi imeshuka
Hali ya maisha imezidi kuwa ngumu

Je huo udaktari wa heshima ni ajili ya dhahama hizi?!

Kama anapenda na yeye aitwe “doctor “ kwanini wasingemgawia udaktari wa Kiswahili tu?
Kama anapenda na yeye aitwe “doctor “ kwanini wasingemgawia udaktari wa Kiswahili tu?[emoji3064][emoji848][emoji2827]
 
JK amempa ili kujaribu kumtia nguvu dhidi ya dr. Bashiru.
 
Back
Top Bottom