Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
PhD imekuwa fashion siku hizi kila mtu atapewa tu vuteni subra
Yuko muuza chips mmoja Nampa nae
Yuko muuza chips mmoja Nampa nae
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amewavusha wapi wakati petroli na dizeli zipo juu kuwahi kutokea?! Tozo tozo tozo! Umeme, maji mgao mkubwa kuwahi kuwepo! Hakuna wakati wasomi wanarandaranda mitaani bila ajira kama wakati huu. Wajinga wa Tanzania muwe na akili walau mara moja kwa mwaka!Huna hoja.
Raisi Samia ametuvusha katika kipindi kigumu Cha kudorora kwa uchumi duniani kutokana na changamoto za korona na vita ya Ukraine.
Raisi Samia ni raisi hodari. Anastahili zaidi ya udaktari wa falsafa.