cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Kwahiyo umesahau kama lisu mshakamani ndio makazi kwake
Haijalishi.. anakimbia mahakama.. na visingizio uchwara.. alikaa ndani siku 14?.. amejitakia mwenyewe..
Magufuli 2020 💯
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo umesahau kama lisu mshakamani ndio makazi kwake
Mjomba inaonekana roho yako ni mbaya kumshinda ocd wa morogoroHuyu hawezi kuongoza nchi.. kama ni muoga hata wa kwenda mahakamani..
Muda ufike akamatwe.. ushahidi upo kwamba hata hizo siku 14 hakukaa ndani...
na kweli!Kasahau kwa furaha walio ipata ktk wabunge 20 waviti maalum walio tangaazwa jana
Maneno yanaoweza kuamsha chuki ni yapi hapo?"Kwahiyo hicho kinachoitwa uchaguzi wa marudio uharamia mtupu, haramu, haramu ...kinachoitwa uchaguzi wa marudio ni haramu tupu nyie ni Waislam sana naomba niseme uharamu wa uchaguzi wa marudio wa mwaka jana hautofautiani na kula Nguruwe kwa wala nguruwe hawa nilikuwa nazungumzia yaliyokuja baada ya wala nguruwe hawa kufanya uharamia wao...laana tullah"
watawekaje order ya kumkamata wakati Wakili Amsterdam alishamlima Jaji mkuu barua ya onyo.Hakuna order ya kumkamata? maana Lion hatabiriki!
Wewe hauko vizuri kichwani nakushauri kpimweKwan kwenye kurejesha form akibeba chuma Kias achoke kiasi hiko ashindwe kufika Mahakamani!
Wakati huo yule beberu anayemuogopa sana John (Robert Amsterdam) atakuwa wapi?Tutamkamata tundu lisu siku moja kabla ya uchaguzi mkuu
Anahoro mbaya huyo kama ocd wa morogoroWewe hauko vizuri kichwani nakushauri kpimwe
Mataga hadi mtataga mwaka huu.Huyu hawezi kuongoza nchi.. kama ni muoga hata wa kwenda mahakamani..
Muda ufike akamatwe.. ushahidi upo kwamba hata hizo siku 14 hakukaa ndani...
Kwan kwenye kurejesha form akibeba chuma Kias achoke kiasi hiko ashindwe kufika Mahakamani!
Wanafuraha kwa kupata wabunge wa viti maalum 20 walio tangaazwa Jana mmoja akiwemo yule aliye mvua lisu ubungeMbona kama vile mahakama imepigwa ganzi wanashindwaje kutoa amri ya kumkamata au ndio kuogopa mabeberu
Mungu kapiga spana ushetani wakeHakuna order ya kumkamata? maana Lion hatabiriki!
Ikifika tarehe 23 Sep. TL akiwa kwenye campaign ataumwa ili 24 asihudhurie kwenye case. Tar. 25 atakuwa amepona na atakuwa anadunda kwenye majukwaa ya campaign tena. Sheria hizi!!