Wabunge wa hivyo ndiyo huongoza kwa kugonga meza Bungeni kwa kusema ndiyooo ndiyo kila jambo hata la kipumbavu, hao hao ndiyo hupisha Sheria mbovu mbovu mikataba ya hovyo hovyo kwa wingi wao Bungeni.Wanafuraha kwa kupata wabunge wa viti maalum 20 walio tangaazwa Jana mmoja akiwemo yule aliye mvua lisu ubunge
Muda mwengine hua hatashetani anakuonea huruma kwa mateso anayokufanyiaSerikali ya watu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania ipo kwa ajili yetu sote.
Cha kushangaza wakitenda haki na kufanya maamuzi kadri ya sheria na kadri ya matamanio ya Lissu na watu wake serikali inaonekana kumuogopa; na wakitenda haki kadri ya sheria inavyotaka lakini isipowapendeza Lissu na watu wake serikali inaonekana imewaonea
Uonevu upo kwa wingi hata kesi zenyewe ni za kubambikiwa tayari ni uonevu zaidiSerikali ya watu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania ipo kwa ajili yetu sote.
Cha kushangaza wakitenda haki na kufanya maamuzi kadri ya sheria na kadri ya matamanio ya Lissu na watu wake serikali inaonekana kumuogopa; na wakitenda haki kadri ya sheria inavyotaka lakini isipowapendeza Lissu na watu wake serikali inaonekana imewaonea
Atakuwa alikubeba weweKwan kwenye kurejesha form akibeba chuma Kias achoke kiasi hiko ashindwe kufika Mahakamani!
Haitakiwi apewe kiki sasa hivi aanzw kusingizia kuwa kashindwa kwa sababu alikuwa jelaSalaam Wanajamvi,
TUNDU Lissu ameshindwa kuhudhuria kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu katika kesi ya uchochezi namba 236 ya mwaka 2017 na ile namba 123 ya mwaka 2017 kutokana kuchelewa kukamilisha taratibu za urejesheji fomu ya utuzi wa kugombea urais wa Tanzania..
Njama za hovyo dhidi ya Tundu lisu bado zipo nyingi mno kumbuka wapo watu huko CCM ni wanufaika wa figisu figisu fitna Majungu na ushetani wote dhidi ya chadema kwa ujumla, akina polepole Le mutuz, cyprian Musiba wananenepa tokea kwenye fungu la pesa nyingi zilizotoka kwa ajili ya kutokomeza chadema, bila mbinu za kuihujumu kuidhoofisha chadema akina cyprian Musiba hawapati pesa za CCM, kwa sasa chadema ni mtaji wa kujipatia pesa toka CCM kwa njia haramu.Hakuna mtu wa kumgusa Lisu kipindi hiki.
Wanasubiri akiliwa kichwa kwenye sanduku la kura asilalamike kuonewa
Yaonekana unaroho mbaya kama ocd wa Moro goroHaitakiwi apewe kiki sasa hivi aanzw kusingizia kuwa kashindwa kwa sababu alikuwa jela
HATA KAMA NI WEWE LAZIMA USOME MCHEZO ULIVYO KWA SASA, YA MBELE ANAYOHAFAHAMU NI MUNGU TU TUWE WAPOLEManeno ya kisiasa hayo. Safari hii wamekuwa wapole sana hawa wanasheria wa serikali.
Wacha apete nae ajisikie atakavyoshindwa ili siku ingine akitaka kugombea awe na nidhamu na heshima kwa watanzania.Huyu hawezi kuongoza nchi.. kama ni muoga hata wa kwenda mahakamani..
Muda ufike akamatwe.. ushahidi upo kwamba hata hizo siku 14 hakukaa ndani.
Na mimi tena nimo kwenye hawa watu ndugu yangu?? Sijawahi miliki hata manati..achilia mbali hivyo vya moto.Nani kawaambia mumpige risasi? Msingempiga risasi hizo kesi zenu ukwaju si zingekuwa zimeisha? Kuweni wapole tu, atakuja kwenye kesi zenu baada ya Uchaguzi Keisha, japo mnakereka vumilieni tu kama yeye alivyovumilia maumivu ya risasi, kunyimwa gharama za matibabu na serikali, kufukuzwa Ubunge, watu kuzuiwa wasimuombee nk. Kerekeni tu iblis wakubwa nyie!
Aliongea hivi kuchochea Serikali wawahudumie kanisa Katoliki kwa kusuasua au wanyimwe kabisa huduma zingine zilizopo kisheria sababu serikali isionekane inalipendelea Kanisa Katoliki.Vibali vya kazi work permit vinatolewa kwa wameshenari wa kikatoliki tu huku madhehebu mengine yakielezwa kupanga foleni uhamiaji .
HAWAJUI KWAMBA LISSU MAHAKAMANI NDO OFISI YAKE.Kwahiyo umesahau kama lisu mshakamani ndio makazi kwake
Daud Bashite sasa kakaa kijiweni amebuni mradi mpya kushirikiana na cyprian Musiba ili uwe mradi wa kujipendekeza kwa mtukufu apewe uteuzi, mradi wenyewe ni kumhujumu Tundu lisu awe zezeta awe kama Lowasa mwaka 2015 ashindwe kuongea majukwaani mdomo uwe zege , mradi upo tayari na Bashite anajiandaa kupeleka bajeti apewe pesa kwa sasa chadema ni mtaji wa kujipatia pesa toka CCM.Nani kawaambia mumpige risasi? Msingempiga risasi hizo kesi zenu ukwaju si zingekuwa zimeisha? Kuweni wapole tu, atakuja kwenye kesi zenu baada ya Uchaguzi Keisha, japo mnakereka vumilieni tu kama yeye alivyovumilia maumivu ya risasi, kunyimwa gharama za matibabu na serikali, kufukuzwa Ubunge, watu kuzuiwa wasimuombee nk. Kerekeni tu iblis wakubwa nyie!
Huyo tunamsubili mwisho wa uchaguzi, ndo atajua namna ya kuheshimu sheria.Yaonekana unaroho mbaya kama ocd wa Moro goro
Haijalishi.. anakimbia mahakama.. na visingizio uchwara.. alikaa ndani siku 14?.. amejitakia mwenyewe..
Magufuli 2020 [emoji817]
Msaliti ni yule anayechukua pesa za viwanda kaenda kujenga chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge na hakuna Ndege inatua mpaka siku akiwa anaenda kijijini chato kuangalia mbuga ambayo wanyama wengi wanaingia vijijini wanaliwa na wakazi jirani na hiyo mbuga ya kutengeneza pasipo utafiti wa kutosha, hata kununua ndege mitumba kwa cash akala cha juu 10% ni usaliti na udokozi wa pesa za walipa kodi.Aliongea hivi kuchochea Serikali wawahudumie kanisa Katoliki kwa kusuasua au wanyimwe kabisa huduma zingine zilizopo kisheria sababu serikali isionekane inalipendelea Kanisa Katoliki.
Maajabu aliporudi kwao Singida alienda kufanya misa ya shukrani kanisani , inawezekana ni kanisa katoliki hilo hilo ambalo baadhi ya hivyo vibali vinatolewa kwa ajili ya kuhudumia maskini jimboni na kijijini kwake Ikungi.
Msaliti hana shukrani kwa taifa lake wala kanisa lake.
A blessing in a disguise?Kumbe NEC walimchelwesha Mh Lissu kumtengezea mazingira mazuri kwa mahakamani? Nimeanza kuamini kuwa mushachoshwa na kufanywa vikaragosi. Taabani roho zenu. Mukimuendekeza mkuu wa Kaya mutapata erectile disynfunction kwa msongo wa mawazo!
Bado haujaacha kuvuta Bangi? hata Akili za kufulia chupi haujazibakiza? Jana Tundu lisu katoka saa ngapi kule NECCCM?Tundu lissu amefanya kusudi ili afutiwe dhamana
Hakuna Kiki Wala kukatwa mgombea,tunataka ushindi usio na kelele
Msaliti ni yule (CCM) alioongeza Makato bodi ya MIKOPO kwa 15% kwa watumishi wa UMMAAliongea hivi kuchochea Serikali wawahudumie kanisa Katoliki kwa kusuasua au wanyimwe kabisa huduma zingine zilizopo kisheria sababu serikali isionekane inalipendelea Kanisa Katoliki.
Maajabu aliporudi kwao Singida alienda kufanya misa ya shukrani kanisani , inawezekana ni kanisa katoliki hilo hilo ambalo baadhi ya hivyo vibali vinatolewa kwa ajili ya kuhudumia maskini jimboni na kijijini kwake Ikungi.
Msaliti hana shukrani kwa taifa lake wala kanisa lake.