Kweli kabisa CCM na CDM ni mbingu na ardhi, wasaliti wa CCM wakikamatwa wanapewa kesi za ML au uhujumu uchumi, kina Mdee wangekuwa CCM saa hizi wangekuwa wananyea ndoo segerea ila kwa Chadema katiba inafuatwa wako huru, that’s the big difference between the two parties.Haujaisha na hautoisha ila Usaliti sisiemu na usaliti chadema ni vitu viwili tofauti. Hivi ni vyama viwili mbingu na ardhi, sisiemu ndio washika mpini wa kila kifaa cha kukatia.
Wakati ule Polepole alivyowaita wapinzani ni corona ili bonge la ishu ila sasa wenyewe kwa wenyewe wapinzani wanaitana covid 19(corona) halafu kawaida tu.Hili uliloandika hapa limesababishwa na masalia wa ule upuuzi uliofanywa na wale Covid-19.
Naamini kuna viongozi wa chama walikuwa wanaujua ule mchezo, ambapo kile kikao cha jana hakikuwatafuta kiwajue ni wakina nani na washughulikiwe, matokeo yake hao viongozi wahuni ndio waliokuja na hilo wazo la kuandika barua ya kuomba msamaha.
Chadema wawe makini kwenye hili, kama wale Covid jana waligoma kuitikia wito wa kwenda kuhojiwa, wameonesha wana viburi, sasa dawa yao ndio ile kuwafukuza, hakuna tena kuwakumbuka, wacha maisha yaendelee.
Tunasubiri tamko la dugai, Dpp, mwanasheri mkuu, NEC, TISs,CCM imehangaika na CDM kuliko inavyohangaikia mambo na maduala ya chama Chao wenyewe .... hawajui chama makini ni mioyo ya wafuasi na wananchi wake ....
Katika maisha yakeMungu ambariki sana Mbowe.
Wewe mbona ccm wenu mumewahi wafutia uanchama halafu mkawarudsha kwani CDM ni dhambi wakiruhusu watu kutubu?Damage control + risk management ndo alichofanya Mbowe. Ngoja vumbi litulie then mtaona gia vinavyobadiliswa angani ukiona hukumu imetoka kukawa na option ya kulipa fine kwa mtu mwenye uwezo wa kifedha jua kuwa huyo mtu hatokwenda jela mtakuwa nae mtaani soon
Kama wasaliti wanapewa option ya kuandika barua ya kuomba msamaha hapo Mbowe kafunga mlango then kafungua dirisha alafu kwa mazuzu wataona covid 19 wamekomolewa lakini wamefunguliwa mlango wa emergency door warudi ndani hawa tayari kisheria ni wabunge hakuna hatua yeyote ya Chadema wanaweza kutengua ubunge wao coz wameshakula kiapo sehemu pekee ni kuwafutia uanachama sasa kama kuna option ya kuandika barua ya kuomba msamaha tena warudishiwe uanachama kuna nini tena???
Nimewaambia makamanda wenzangu kuwa tunachezeshwa kwata na ninyi (ccm) na sisi tunaingia kichwa kichwa..Hawa wadada siyowajinga wamepigania Chama na wanamchango mkubwa na watadai haki yao. Ninachokiona kwao iwe kwa msaada wa CCM au Mahakama watakuwepo Bungeni mpaka 2025. CDM yangu inapenda sana kushabikia mambo ya Kijinga na utotoWanaenda fungua kesi mahakama itazuia kufutwa kwao sababu kesi inasikilizwa na kesi itaenda mpaka 2025 na baada ya hapo wataenda sisiemu, loser ni chadema! Mdee, bulaya, matiko wana influence kubwa sana kwa kina mama, ambao ndio wapigaji kura wakubwa..
kumbe hata hukumwelewa vizuri, katiba ya chadema inasema"Mwanachama yeyote ambae hataridhika na maamuzi ya kuvuliwa uanachama wake ana haki ya kupinga maamuzi hayo" mbowe alinukuu kama ulifatilia alivyokuwa anaongea hakutoa mdomoni kwake.Damage control + risk management ndo alichofanya Mbowe. Ngoja vumbi litulie then mtaona gia vinavyobadiliswa angani ukiona hukumu imetoka kukawa na option ya kulipa fine kwa mtu mwenye uwezo wa kifedha jua kuwa huyo mtu hatokwenda jela mtakuwa nae mtaani soon
Kama wasaliti wanapewa option ya kuandika barua ya kuomba msamaha hapo Mbowe kafunga mlango then kafungua dirisha alafu kwa mazuzu wataona covid 19 wamekomolewa lakini wamefunguliwa mlango wa emergency door warudi ndani hawa tayari kisheria ni wabunge hakuna hatua yeyote ya Chadema wanaweza kutengua ubunge wao coz wameshakula kiapo sehemu pekee ni kuwafutia uanachama sasa kama kuna option ya kuandika barua ya kuomba msamaha tena warudishiwe uanachama kuna nini tena???
Siku hizi tunaapishia gereji.Jana Imenifanya Nianze Kufikiria Kujiunga Na CHADEMA, Maamuzi Aliyoyafanya Mbowe Ni Ya Kiume. Barua Walizoandika Kina MDEE ni Ushahidi Tosha Kwamba MWENYEKITI WA TUME TA TAIFA YA UCHAGUZI alitudanganya Watanzania
Kama Kweli Akina Mdee Waliteuliwa Na Chama Chao Isingekuwa Tabu Kufika Mbele Ya Kamati Kuu Na Kujieleza.
Halafu Sikufikiria Hivi Ni Kweli Pale Walipo Apishiwa Sio Bungeni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unaota wakina mama wa CCM pengine CCM ilisha kufa kama una akili timamu utakuwa una lielewa hilo bila nguvu ya polisi na vyombo vya usalama CCM ilisha ozaWanaenda fungua kesi mahakama itazuia kufutwa kwao sababu kesi inasikilizwa na kesi itaenda mpaka 2025 na baada ya hapo wataenda sisiemu, loser ni chadema! Mdee, bulaya, matiko wana influence kubwa sana kwa kina mama, ambao ndio wapigaji kura wakubwa..
Sasa Kawe ilikuwaje? Wanakaa wanaume tupu?Wanaenda fungua kesi mahakama itazuia kufutwa kwao sababu kesi inasikilizwa na kesi itaenda mpaka 2025 na baada ya hapo wataenda sisiemu, loser ni chadema! Mdee, bulaya, matiko wana influence kubwa sana kwa kina mama, ambao ndio wapigaji kura wakubwa..
Ngoja miamba iungurume utajua ukweli huyo Simba Cha mtoto kumbuka picha ndiyo kwanza limeanzaAmeunguruma Simba, Nchi imetetemeka
Manyang'au yamevimba, Aibu imewashika
Yalijiona miamba, Ile isiyovunjika
Hongera sana Mbowe, Wewe ni mtu makini
Hawa watu waonevu, Ni watu waso na soni
Matendo yao uovu, Na ghiliba za shetani
Mipango yao mibovu, Kaivunja Freemani
Hongera sana Mbowe, Wewe ni mtu makini
Nchi imekuwa dampo, La uchafu wa wahuni!
Mambo wayafanya simpo, Kiburi cha Firauni
Wamejifanya madompo, hawamuogopi nani!
Hongera sana Mbowe, Wewe ni mtu makini
Aibu yetu au yao?, Huu ni msala wao!
Wasaliti wana chao?, Chao ni ujinga wao!
Wameuza utu wao, Kwa uchu tamaa zao!
Hongera sana Mbowe, Wewe ni mtu makini
Wananchi tunaona, Wananchi tunajua!
Hadaa tumeziona, Inda tunaitambua!
Mambo yao konakona, Akili zao vibua
Hongera sana Mbowe, wewe ni mtu makini!
Wewe umeona wapi, Dhulma ishinde haki?
Kwenye mwanga saa ngapi, Giza likatamalaki?
Maono yao mafupi, Kama yale mafataki.
Hongera sana Mbowe, Wewe ni mtu makini
Hima sasa wananchi, Kamanda kaweka sawa
Hila zote kazipanchi, mambo sasa sawasawa
Hadaa kapiga tochi, wamebaki kupagawa
Hongera sana Mbowe, Wewe ni mtu makini!
Hili ndio muhimu, kipande kilichobaki anamalizia Lisu kwa Mabeberu.Waende tu wabaki kuwa wanachama wa mahakama, ila Chadema imeshafanikiwa kuwajulisha wananchi na jumuia za kimataifa kuwa haitambui uchafuzi uliofanywa october 28
Umakini wake uko wapi? Kutoa matamko na kufanya maandamano , Chama hakina hata jengo la Ofisi kilichojenga huku kwa miaka mingi wakipata ruzuku na ndiyo maana jamaa hataki kutoka kwenye nafasi ya M/kiti ,yeye na genge lake wanakula na kutumia vibaya watu hawahoji Leo unasema Chama makini acha uhuni wewe bilashaka nawe Ni unanufaika na uhuni wa Mbowe na genge lake.Chadema ni Chama Cha kitapeli kimejaa wajanjaCCM imehangaika na CDM kuliko inavyohangaikia mambo na maduala ya chama Chao wenyewe .... hawajui chama makini ni mioyo ya wafuasi na wananchi wake ....
Naona umekomaa na Art pf war, hayo ni mawazo ya mtu binafsi muandishi.Bahati mbaya sana wakati watu wengi wa kishangilia ushindi wa Mbowe hili sakata la Halima Mdee na wenzake sijaona hata Mwanachadema mmoja ambaye ametoa uchambuzi wa maumivu kwa Chama tunayo pitia na yatakayo fuata baada ya uamuzi huu.
Kumbuka hii ni Phase III "the art of war in political contest".
Sasa hivi wametuacha na sehemu ya tatu.
' katika kipigo hicho hakikisha unawaachia makovu makubwa ambayo wakitaka kuyatibu haraka makovu hayo yatawauwa - kwa sababu mara zote yatarudi na kuendelea kuwa vidonda vibichi'.
Phase IV : Savage attach which leads to death of dishonour with the end results to eliminating organically, all influencing factors and contacts.
Na hii ina section 4 ndogo ndogo.
Sisi wengine tunajitahidi kuangalia scripts na vyombo vinavyo chezwa.
Akili ni nywele ila wewe unatumia vinyweleo.Wanaenda fungua kesi mahakama itazuia kufutwa kwao sababu kesi inasikilizwa na kesi itaenda mpaka 2025 na baada ya hapo wataenda sisiemu, loser ni chadema! Mdee, bulaya, matiko wana influence kubwa sana kwa kina mama, ambao ndio wapigaji kura wakubwa..