Shairi: Aikael Mbowe, Freeman Mwamba wa Tanzania

Shairi: Aikael Mbowe, Freeman Mwamba wa Tanzania

Wanaenda fungua kesi mahakama itazuia kufutwa kwao sababu kesi inasikilizwa na kesi itaenda mpaka 2025 na baada ya hapo wataenda sisiemu, loser ni chadema! Mdee, bulaya, matiko wana influence kubwa sana kwa kina mama, ambao ndio wapigaji kura wakubwa..
Mbona sio hao tu watakaokula Pesa ya hazina bure wapo wengi tu. Huu ndio ufisadi wa karne Mpya. Vitakuja vyama 15 vikiongozwa na shibuda vitatoa mashairi yao ya uzalendo koko watachotewa hela hazina watatulia.
Upepo ukichachamaa. Watachukuliwa wasanii watazunguushwa kwenye miradi hazina itagharamia ziara kwa mafungu yaliopo wizara ya habari.
Wakiendelea kuona upepo hausomeki ziara ya wanahabari kutembelea hifadhi gharama wizara ya utalii.
Watumishi wa umma wanadai Madeni ya tangu mwaka 2015/2016 mpaka sasa, malimbikizo mpaka sasa. Huu nao ni ufisadi Mpya.
Kwa kuwa hakuna sheria yoyote inayofanya kazi nasi tumeruhusu kwa kuanua kuwapuuza wavunjasheria kwa mustakabari wa amani ya nchi yetu wataendelea kuingia bungeni bila kuwa wabunge wa chama chochote na wala bila kutengua kanuni kwa muda kuwaruhusu kuingia bungeni
CCM oyeeee!!! Vioongozi wote wa chama na serikali oye!
 
Kapitia akiwa mbunge, so ubunge ndo ulimfanya avumilie, kukosa ubunge miezi 2 tu kasanda, akina mnyika hawakuwa hata na haja ya kugombea, lissu tangu 2017 kapokwa ubunge na hajasanda yaani wa kutumainia chadema wapo wengi mno!
Sasa ubunge ndio ulikuwa unamfanya avumilie kivp? mbona kuna waliyoacha ubunge na kwenda kuunga juhudi?
 
uasi ni dhambi isiyosameheka full stop.
Bado lazima tusikie na upande wa pili wa akina Mdee,maana mtu kama Mdee hawezikuwa kuaminishwa tu kwamba alikurupuka tu et kwa tamaa zake. Isije ikawa wanatoana kafara ili kufukia mambo.
 
Bado lazima tusikie na upande wa pili wa akina Mdee,maana mtu kama Mdee hawezikuwa kuaminishwa tu kwamba alikurupuka tu et kwa tamaa zake. Isije ikawa wanatoana kafara ili kufukia mambo.
nafasi ya kusikilizwa wamepewa kwa barua na kwa public notice ila wakatoroka kikao.

Hao waasi ni wabunge wa gereji full stop.
 
Sasa ubunge ndio ulikuwa unamfanya avumilie kivp? mbona kuna waliyoacha ubunge na kwenda kuunga juhudi?
We jamaa sijui kipi huelewi, hebu nitajie mbunge mmoja wa upinzani aliyeacha ubunge na kuunga juhudi, then akaenda uraiani bila kuwa mbunge? Yaani Leo wewe uambiwe acha ubunge cdm njoo ccm unga juhudi, uchafuzi urudiwe halafu kwa vyovyote vile nakushindisha nafasi yako uliyokuwa nayo na dau la ziada nakuongeza, hapo maslahi yako ya ubunge yanakuwa yameadhirika vipi mkuu?
 
Ameunguruma Simba, Nchi imetetemeka
Manyang'au yamevimba, Aibu imewashika
Yalijiona miamba, Ile isiyovunjika
Hongera sana Mbowe, Wewe ni mtu makini

Hawa watu waonevu, Ni watu waso na soni
Matendo yao uovu, Na ghiliba za shetani
Mipango yao mibovu, Kaivunja Freemani
Hongera sana Mbowe, Wewe ni mtu makini

Nchi imekuwa dampo, La uchafu wa wahuni!
Mambo wayafanya simpo, Kiburi cha Firauni
Wamejifanya madompo, hawamuogopi nani!
Hongera sana Mbowe, Wewe ni mtu makini

Aibu yetu au yao?, Huu ni msala wao!
Wasaliti wana chao?, Chao ni ujinga wao!
Wameuza utu wao, Kwa uchu tamaa zao!
Hongera sana Mbowe, Wewe ni mtu makini

Wananchi tunaona, Wananchi tunajua!
Hadaa tumeziona, Inda tunaitambua!
Mambo yao konakona, Akili zao vibua
Hongera sana Mbowe, wewe ni mtu makini!

Wewe umeona wapi, Dhulma ishinde haki?
Kwenye mwanga saa ngapi, Giza likatamalaki?
Maono yao mafupi, Kama yale mafataki.
Hongera sana Mbowe, Wewe ni mtu makini

Hima sasa wananchi, Kamanda kaweka sawa
Hila zote kazipanchi, mambo sasa sawasawa
Hadaa kapiga tochi, wamebaki kupagawa
Hongera sana Mbowe, Wewe ni mtu makini!
Naomba kuongeza beti 2 tu:

Hakika Wewe makini, Mwamba wetu Chadema,
Umewahoji Wahuni, Maswali yenye hekima,
Orodha kawapa nani, Mahera anakoroma,
Hongera sana Mbowe, Wewe ni mtu makini.

Hawa Covidi kumi tisa, mbali sana timulia,
Ni virusi wana visa, tamaa waikimbilia,
Hatuwataki kwa sasa, Chama watatuulia,
Hongera sana Mbowe, wewe ni mtu makini.
 
Wakina mama wapi? Unadhani wangekuwa na hiyo influence wakina mama wasingeandamana kuwaunga mkono? Badala yake wameandamana na kutoa matamko ya kushinikiza wafukuzwe.

Ni kweli uwezekano mkubwa ni kuwa wataendelea kuwa wabunge. Bila shaka watajitahidi kuonyesha kuwa hawajabadilika kwa kuikemea sana serikali na kuzungumzia adha waliyopata mikononi mwake. Watasikilizwa, watapigiwa makofi na wabunge wenzao halafu watapuuzwa.

Mwaka 2025 watahamia CCM lakini uwezekano mkubwa ni kuwa wengi wao hawatapata kitu. Kumbuka wako zaidi ya Halima na wakina Esther. Changamoto kwa wakina Halima ni kuhakikisha 19 wanabaki 19 maana unaweza kukuta wengine waliaminishwa kuwa Mbowe yuko nao.

Amandla...

Hii nji imeshapoteza mwelekeo kwasababu ya uhuni na unyang'au wa MAGUFULI na CCM yake!!!
Kuna ukweli kuwa hawa Covid-19 wanaweza endelea kuwa Wabunge kwa nguvu ya Mahakama kwa vile MAGUFULI ndiye Jaji wa Mahakama, Bunge na IGP.
Inaumiza sana kuliko maelezo! Hata hivo hapana marefu yasiyo na ncha!!!!
 
Ameunguruma Simba, Nchi imetetemeka
Manyang'au yamevimba, Aibu imewashika
Yalijiona miamba, Ile isiyovunjika
Hongera sana Mbowe, Wewe ni mtu makini

Hawa watu waonevu, Ni watu waso na soni
Matendo yao uovu, Na ghiliba za shetani
Mipango yao mibovu, Kaivunja Freemani
Hongera sana Mbowe, Wewe ni mtu makini

Nchi imekuwa dampo, La uchafu wa wahuni!
Mambo wayafanya simpo, Kiburi cha Firauni
Wamejifanya madompo, hawamuogopi nani!
Hongera sana Mbowe, Wewe ni mtu makini

Aibu yetu au yao?, Huu ni msala wao!
Wasaliti wana chao?, Chao ni ujinga wao!
Wameuza utu wao, Kwa uchu tamaa zao!
Hongera sana Mbowe, Wewe ni mtu makini

Wananchi tunaona, Wananchi tunajua!
Hadaa tumeziona, Inda tunaitambua!
Mambo yao konakona, Akili zao vibua
Hongera sana Mbowe, wewe ni mtu makini!

Wewe umeona wapi, Dhulma ishinde haki?
Kwenye mwanga saa ngapi, Giza likatamalaki?
Maono yao mafupi, Kama yale mafataki.
Hongera sana Mbowe, Wewe ni mtu makini

Hima sasa wananchi, Kamanda kaweka sawa
Hila zote kazipanchi, mambo sasa sawasawa
Hadaa kapiga tochi, wamebaki kupagawa
Hongera sana Mbowe, Wewe ni mtu makini!
SHAIRI LINASADIFU NA HALI HALISI
 
Wanaenda fungua kesi mahakama itazuia kufutwa kwao sababu kesi inasikilizwa na kesi itaenda mpaka 2025 na baada ya hapo wataenda sisiemu, loser ni chadema! Mdee, bulaya, matiko wana influence kubwa sana kwa kina mama, ambao ndio wapigaji kura wakubwa..
Yote mema.
 
Ameunguruma Simba, Nchi imetetemeka
Manyang'au yamevimba, Aibu imewashika
Yalijiona miamba, Ile isiyovunjika
Hongera sana Mbowe, Wewe ni mtu makini

Hawa watu waonevu, Ni watu waso na soni
Matendo yao uovu, Na ghiliba za shetani
Mipango yao mibovu, Kaivunja Freemani
Hongera sana Mbowe, Wewe ni mtu makini

Nchi imekuwa dampo, La uchafu wa wahuni!
Mambo wayafanya simpo, Kiburi cha Firauni
Wamejifanya madompo, hawamuogopi nani!
Hongera sana Mbowe, Wewe ni mtu makini

Aibu yetu au yao?, Huu ni msala wao!
Wasaliti wana chao?, Chao ni ujinga wao!
Wameuza utu wao, Kwa uchu tamaa zao!
Hongera sana Mbowe, Wewe ni mtu makini

Wananchi tunaona, Wananchi tunajua!
Hadaa tumeziona, Inda tunaitambua!
Mambo yao konakona, Akili zao vibua
Hongera sana Mbowe, wewe ni mtu makini!

Wewe umeona wapi, Dhulma ishinde haki?
Kwenye mwanga saa ngapi, Giza likatamalaki?
Maono yao mafupi, Kama yale mafataki.
Hongera sana Mbowe, Wewe ni mtu makini

Hima sasa wananchi, Kamanda kaweka sawa
Hila zote kazipanchi, mambo sasa sawasawa
Hadaa kapiga tochi, wamebaki kupagawa
Hongera sana Mbowe, Wewe ni mtu makini!
Baada ya kusikiliza kile kilichoitwa maamuzi ya kikao cha kamati kuu haya ndiyo nimejionea.

1.Wamevuliwa uanachama wa Chadema kwa sababu hawajatokea kuhojiwa na kamati kuu na siyo sababu ya ubunge wa viti maalum.!

2. Wameambiwa wanaweza kuandika barua ya kuomba radhi ili warejeshewe uanachama wao.!

3. Ndani ya siku 30 wanaweza kukata rufaa kwa kupinga hukumu ya kamati kuu kwenye baraza kuu la chadema.!

4. Chadema iliwaandikia barua mara mbili kuwabembeleza wafike kuhojiwa na kamati kuu pia kamati kuu ililazimika kubadili eneo la kuwahoji kutoka makao makuu ya chadema hadi kwenye hoteli ya kitalii ili kulinda usalama wao.!

Mtu ambaye ni msaliti unaweza kumbembeleza kwa kumwandikia barua mbili na hadi kuingia gharama za kukodi hoteli ili kumuhoji?

Ni vipi msaliti aruhusiwe kuandika barua ya kuomba radhi tu na atarudishiwa uanachama wake?

Mbona Zito Kabwe na Kitila Mkumbo wakati wanafukuzwa hawakupewa nafasi ya kuomba radhi na kurudishiwa uanachama wao?

Hapa kuna sinema inachezwa na ndani ya siku 30 tutaona matokeo yake, kama mtu alikuwa tayari kutengeneza igizo la kuangushwa na konyagi na kisha kusingizia wasiojulikana, hapa kuna mengi yanakuja.
 
Jana Imenifanya Nianze Kufikiria Kujiunga Na CHADEMA, Maamuzi Aliyoyafanya Mbowe Ni Ya Kiume. Barua Walizoandika Kina MDEE ni Ushahidi Tosha Kwamba MWENYEKITI WA TUME TA TAIFA YA UCHAGUZI alitudanganya Watanzania

Kama Kweli Akina Mdee Waliteuliwa Na Chama Chao Isingekuwa Tabu Kufika Mbele Ya Kamati Kuu Na Kujieleza.

Halafu Sikufikiria Hivi Ni Kweli Pale Walipo Apishiwa Sio Bungeni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Waliapishiwa gereji mkuu, hapakuwa na siwa, hapakuwa na mtu wa kuweka mic vizuri ilibidi halima ndo afanye hiyo kazi, kwa ujumla ilikuwa ni najisi
 
Naona umekomaa na Art pf war, hayo ni mawazo ya mtu binafsi muandishi.

Sasa kasome reality kwenye Bulshevick, go google.
Hahaha nimesoma na kurudia zaidi ya nara 3 katika political economy, na philosophy around alternative economis.
 
In honour of prof. Freeman Mbowe genius and rock of Tanzania opposition politics i pray if God bless i will give the name to my baby after this genius
 
Jana Imenifanya Nianze Kufikiria Kujiunga Na CHADEMA, Maamuzi Aliyoyafanya Mbowe Ni Ya Kiume. Barua Walizoandika Kina MDEE ni Ushahidi Tosha Kwamba MWENYEKITI WA TUME TA TAIFA YA UCHAGUZI alitudanganya Watanzania

Kama Kweli Akina Mdee Waliteuliwa Na Chama Chao Isingekuwa Tabu Kufika Mbele Ya Kamati Kuu Na Kujieleza.

Halafu Sikufikiria Hivi Ni Kweli Pale Walipo Apishiwa Sio Bungeni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata mimi msimamo wao huu umenivutia sana. Nimewaza sana nikachukuwe kadi ya chadema baada ya kuachana na mambo ya siasa tangu mwaka 2000. Kwa hali wanayopitia wapinzani wa tza, msimamo wa mtu na chama ni muhimu sana kuonyesha nani ni chama gani cha ukweli na/au mwanasiasa kweli na nani malaya wa siasa kama hao akina mdee!
 
Shairi la kipuuzi, mimi hapa ninasema
Lafanana na ushuzi, pale mtu akihema
Hapo watajaa nzi, wengi sana kusimama
Mbowe hana cha maana, hadi apewe pongezi
 
Nini kitafuata baada ya hapa?safari ya 2020 mpaka 2025 itakuwaje kwa chadema.
Ni mwanzo wa chadema au ni mwisho wa chadema
 
Shairi la kipuuzi, mimi hapa ninasema
Lafanana na ushuzi, pale mtu akihema
Hapo watajaa nzi, wengi sana kusimama
Mbowe hana cha maana, hadi apewe pongezi

La kipuuzi la kwako, uliyejaa husuda,
Mawazo yako matako, mashuzi unakounda,
Au ni huko iliko, biashara yako dada?
Mbowe hakika kiboko, kiwewe hadi bidada!

Cc: Team 666
 
Back
Top Bottom