Shaka Hamdu Shaka mgeni rasmi " The Big Praise Concert " FPCT Kurasini

Wakristo sio vilaza ila wanauishi upendo wakuwa na amani na watu wote.

#MaendeleoHayanaChama
Tatizo hujanielewa.
Upendo wa kumpa mimbari asiyeamini?
Upendo wa kutaka mchango wa asiye amini?.

Upendo wa kikristo ni huu;
1. Kuhubiri habari njema kwa wasio amini
2. Kuponya wagonjwa
3. Kuwahurumia wenye mateso

Unafikiri lengo la Shaka kualikwa ni mojawapo kati ya niliyoyataja?. Hapana

Unafikiri Shaka amehudhuria kwasababu anaupenda Ukristo? Hapana.

1. Shaka amealikwa akatoe changizo...tamaa ya pesa kanisani imezidi.

2. Shaka ameenda kwa interest za kisiasa.

Katika hili Shaka ni mshindi na Wakristi waliomwalika ni ma looser square.

Huwezi elewa
 
Huyo Mungu unayemtumikia anasisitiza Kubaguana,
 
Huyo Mungu unayemtumikia anasisitiza Kubaguana,
Nyie ndio wale wafanyabiashara hekaluni ambao mlilambwa viboko na Yesu hadi mkajilowanisha mikojo.

Acheni siasa kanisani.

Shaka angehudhuria praise and worship kama wahudhuriaji tu na sio mgeni rasmi hapo sahihi.

Biblia inauliza...kuna urafiki gani kati ya mwanga na giza?
 
Ndio maana nimeavhana na kwenda kanisani na kuachana na Ukrsto, nilikuwa Msabato
 
Huyo Mungu unayemtumikia anasisitiza Kubaguana,

Tuwe na limits kwenye mambo ya kiroho. Nakumbuka miaka ya nyuma kanisa moja lilimualika Rais kiwkete kwenye kusimikwa kwa Askofu wao. Kikwete alipokuwa anahutubia akawwambia waache kuuza madawa ya kulevya. Waliona aibu Sana.
 
Mungu wetu ni Mungu wa Upendo,
 
Wakati CCM inatatua na kusapoti makundi Mbalimbali wale wenzangu hata Ofisi imewashinda Miaka 30 Leo,

Hongera sana Mwenezi Chama kinakutegemea sana kukivusha,
Nikweli mpaka sasa hakuna kugawiana umeme wala maji kigumu Chama chetu
 
Safi Sana Shaka hakuna mambo ya Udini hapa Tanzania
 
Nzuri Sana hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…