Shaka Hamdu Shaka mgeni rasmi " The Big Praise Concert " FPCT Kurasini

Shaka Hamdu Shaka mgeni rasmi " The Big Praise Concert " FPCT Kurasini

mfumuko wa bei ni chini ya 4% which is good,

Mfumuko wa Bei wa Taifa kwa mwaka ulioishia mwezi Oktoba, 2022 umeongezeka hadi asilimia 4.9 kutoka asilimia 4.8 kwa mwaka ulioishia mwezi Septemba, 2022. Hii inamaanisha kuwa, kasi ya mabadiliko ya bei za bidhaa na huduma kwa mwaka ulioishia mwezi Oktoba, 2022 imeongezeka ikilinganishwa na kasi iliyokuwepo kwa mwaka ulioishia mwezi Septemba, 2022. Fahirisi za Bei zimeongezeka kutoka 103.61 mwezi Oktoba, 2021 hadi 108.73 mwezi Oktoba, 2022.
 
Inflation ratio,
Mfumuko wa Bei wa Taifa kwa mwaka ulioishia mwezi Oktoba, 2022 umeongezeka hadi asilimia 4.9 kutoka asilimia 4.8 kwa mwaka ulioishia mwezi Septemba, 2022. Hii inamaanisha kuwa, kasi ya mabadiliko ya bei za bidhaa na huduma kwa mwaka ulioishia mwezi Oktoba, 2022 imeongezeka ikilinganishwa na kasi iliyokuwepo kwa mwaka ulioishia mwezi Septemba, 2022. Fahirisi za Bei zimeongezeka kutoka 103.61 mwezi Oktoba, 2021 hadi 108.73 mwezi Oktoba, 2022.
 
Jibu kwanza hizo 25bl kweli mmeshindwa kujenga Ofisi hata ya 3bl kweli,
Kwanza Ile ofisi hatujapanga majengo yalishanunuliwa na Mnyika alipoingia akanunua jengo jingine mkabala na ofis kuongeza space.

Then ofisi zimejengwa almost Kanda zote na juzi tu hapa wametoa takwimu ya ofisi za mikoani zilizojengwa kwa kushirikiana na makao makuu. Na akaeleza mchakato wa kujenga makao makuu utafanyika wakimaliza ofisi za mkoani.

Ni vizuri tuache upotoshaji hizo issue za kupanga zimeshakanushwa tokea 2012 na Tumaini Makene na Dr Slaa kwa ID zao verified kabisa.
 
Mfumuko wa Bei wa Taifa kwa mwaka ulioishia mwezi Oktoba, 2022 umeongezeka hadi asilimia 4.9 kutoka asilimia 4.8 kwa mwaka ulioishia mwezi Septemba, 2022. Hii inamaanisha kuwa, kasi ya mabadiliko ya bei za bidhaa na huduma kwa mwaka ulioishia mwezi Oktoba, 2022 imeongezeka ikilinganishwa na kasi iliyokuwepo kwa mwaka ulioishia mwezi Septemba, 2022. Fahirisi za Bei zimeongezeka kutoka 103.61 mwezi Oktoba, 2021 hadi 108.73 mwezi Oktoba, 2022.
Mfumuko wa bei umeshuka, your not well informed
 
Kwanza Ile ofisi hatujapanga majengo yalishanunuliwa na Mnyika alipoingia akanunua jengo jingine mkabala na ofis kuongeza space.

Then ofisi zimejengwa almost Kanda zote na juzi tu hapa wametoa takwimu ya ofisi za mikoani zilizojengwa kwa kushirikiana na makao makuu. Na akaeleza mchakato wa kujenga makao makuu utafanyika wakimaliza ofisi za mkoani.

Ni vizuri tuache upotoshaji hizo issue za kupanga zimeshakanushwa tokea 2012 na Tumaini Makene na Dr Slaa kwa ID zao verified kabisa.
Unafahamu lile jengo na BAWACHA Sungura alishawanyang'anya?
 
Ndio hakumaliza
Sio hakumaliza walimfukuza sababu ya issue za mgomo ila alikua yupo 3rd year sasa utasemaje huyo ni form 6?

Ni sawa na PhD candidate ambaye hajamaliza thesis huwezi kusema ni sawa na mtu ambaye ana masters. Elimu ya Degree anayo alichonyimwa ni kile cheti tu
 
Sio hakumaliza walimfukuza sababu ya issue za mgomo ila alikua yupo 3rd year sasa utasemaje huyo ni form 6?

Ni sawa na PhD candidate ambaye hajamaliza thesis huwezi kusema ni sawa na mtu ambaye ana masters. Elimu ya Degree anayo alichonyimwa ni kile cheti tu
Shule ni Cheti mkuu
 
Mfumuko wa bei umeshuka, your not well informed

Wewe ndio hauko informed. Hiyo ni taarifa currently ya NBS National Bureau of Statistics. Chombo Cha serikali ya CCM sijui wewe unabisha Nini?.
 
Yaani wakristo kuna wakati ni vilaza.
Tangu lini mwislam akuslike mkristo kwenye ibada zao?
Huyu atasema nini kuhusu Kristo?.

Prise au praise?
Wakristo sio vilaza ila wanauishi upendo wakuwa na amani na watu wote.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hao waandaji kweli hawana akili,halafu wakisimama madhabahuni wanajifanya kukemea ushoga. Pambaf
 
Unafahamu lile jengo na BAWACHA Sungura alishawanyang'anya?
Acheni propaganda zisizo na maana, huyo Sungura ambaye aliingizwa Chadema na Mbowe akiwa Hana political base na kupewa ubunge ndio aje kugeuka mdhamini wa chama? Embu kuweni serious kidogo.
 
Back
Top Bottom