Shaka Hamdu Shaka mgeni rasmi " The Big Praise Concert " FPCT Kurasini

Shaka Hamdu Shaka mgeni rasmi " The Big Praise Concert " FPCT Kurasini

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka kuwa mgeni rasmi kwenye tamasha la " The Big Prise CONCERT " FPCT KURASINI kesho tarehe 20|11|2022 kuanzia saa 8 mchana,

Shaka ataambana na baadhi ya viongozi wa Chama na Serikali katika kuunga mkono jitahada za makundi mbalimbali katika kujiletea maendeleo yao endelevu,


===


View attachment 2421447

FPCT wanapoelekea ni kubaya. Wameanza kuita wanasiasa kanisani kwao. Kwanini wasimkaribishe hata Askofu wao wa Jimbo?
 
Wakati CCM inatatua na kusapoti makundi Mbalimbali wale wenzangu hata Ofisi imewashinda Miaka 30 Leo,

Hongera sana Mwenezi Chama kinakutegemea sana kukivusha,

Hapo ni kanisani FPCT ni tamasha la kusifu na kuabudu.
 
Wakati CCM inatatua na kusapoti makundi Mbalimbali wale wenzangu hata Ofisi imewashinda Miaka 30 Leo,

Hongera sana Mwenezi Chama kinakutegemea sana kukivusha,

Nyie mnaosukuma ndege na mtumbwi muwekwe wapi?
 
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka kuwa mgeni rasmi kwenye tamasha la " The Big Prise CONCERT " FPCT KURASINI kesho tarehe 20|11|2022 kuanzia saa 8 mchana,

Shaka ataambana na baadhi ya viongozi wa Chama na Serikali katika kuunga mkono jitahada za makundi mbalimbali katika kujiletea maendeleo yao endelevu,


===


View attachment 2421447
Yaani wakristo kuna wakati ni vilaza.
Tangu lini mwislam akuslike mkristo kwenye ibada zao?
Huyu atasema nini kuhusu Kristo?.

Prise au praise?
 
Jibu kwanza hizo 25bl kweli mmeshindwa kujenga Ofisi hata ya 3bl kweli,

25 bilioni unaijua au unaisikia unadhania ni mchanga unaokotwa. Ukiulizwa kwa mwezi CHADEMA wanapokea Ruzuku shilingi ngapi na matumizi yao ni shilingi ngapi utajibu?.
 
Ila sio wa kiwango cha CDM

CDM hakuna ndio maana Magufuli alikuwa anawaazima kuja CCM na kuwapa uwaziri. Maana CCM wengi vilaza. Mpaka bashiru kawa katibu Mkuu wakati ni mpinzani halisi.
 
CDM hakuna ndio maana Magufuli alikuwa anawaazima kuja CCM na kuwapa uwaziri. Maana CCM wengi vilaza. Mpaka bashiru kawa katibu Mkuu wakati ni mpinzani halisi.
CCM inakila mwenye akili nchi hii, geneous wote wako CCM
 
Yaani wakristo kuna wakati ni vilaza.
Tangu lini mwislam akuslike mkristo kwenye ibada zao?
Huyu atasema nini kuhusu Kristo?.

Prise au praise?

Nashangaa Sana . Wamekosea Sana.
 
Wakati CCM inatatua na kusapoti makundi Mbalimbali wale wenzangu hata Ofisi imewashinda Miaka 30 Leo,

Hongera sana Mwenezi Chama kinakutegemea sana kukivusha,
Wana CCM wanaamini Bitozo ni msagaji na ndio maana amewapa nafasi sana mabwabwa kama Shaka ambaye wanasema ana bwana wake kabisa huko Pemba
 
Back
Top Bottom