Shaka Hamdu Shaka mgeni rasmi " The Big Praise Concert " FPCT Kurasini

Shaka Hamdu Shaka mgeni rasmi " The Big Praise Concert " FPCT Kurasini

Sasa mambo ya Kabisa yanakuhusu nini?

Mbona MBowe kila siku yuko makanisani?

Kabisa×
Kanisa✓
Jifunze kuandika.

Halafu mwislamu anaenda kuongea Nini kwenye ibada ya kusifu na kuabudu ya wapentekoste?. Mbowe alionekana kanisani akitoa shukrani baada ya kesi yake kufutwa. Mbowe alikuwa kanusani kwake huyu shaka anaenda kupiga siasa kwenye kanisa. Kweli FPCT aliondoka nayo batenzi.
 
CCM inakila mwenye akili nchi hii, geneous wote wako CCM

Kweli magenious wa TRAB na TRAT. Magenious wamerudisha nchi kwenye uchumi wa Chini. Magenious mpaka Leo wanategemea mvua kupambana na uhaba wa maji na umeme?
 
Kabisa×
Kanisa✓
Jifunze kuandika.

Halafu mwislamu anaenda kuongea Nini kwenye ibada ya kusifu na kuabudu ya wapentekoste?. Mbowe alionekana kanisani akitoa shukrani baada ya kesi yake kufutwa. Mbowe alikuwa kanusani kwake huyu shaka anaenda kupiga siasa kwenye kanisa. Kweli FPCT aliondoka nayo batenzi.
Mambo ya Udini ni ufilisi tu wa akili, Nchi hii haina dini
 
Kweli magenious wa TRAB na TRAT. Magenious wamerudisha nchi kwenye uchumi wa Chini. Magenious mpaka Leo wanategemea mvua kupambana na uhaba wa maji na umeme?
Umeme wa maji ndio Umeme cheaper duniani lazima TUTAFUTE nafuu ya maisha kwa watu wetu
 
CHADEMA wapigaji sana jamani nyie khaaaa

Nimekuuliza nipe matumizi ya mwezi kwa CHADEMA, umeshindwa.

CAG kasema hakuna upigaji ila wewe mpita njia unasema upigaji endelea kujifurahisha.
 
CCM wamepiga ngapi?.
Escrow
Meremeta
Kagoda
EPA
Richmond
NIDA
RADAR ya uingereza.
Wanaoiba ni watu tu tena wengi wao wanakadi cha CDM ila CCM kwakuwa ni Chama tawala ndio wanaangushiwa hilo Zigo Ila CCM Kama CCM ni Chama Safi Sana
 
Wanaoiba ni watu tu tena wengi wao wanakadi cha CDM ila CCM kwakuwa ni Chama tawala ndio wanaangushiwa hilo Zigo Ila CCM Kama CCM ni Chama Safi Sana

Ndio mlichobakiza kila baya kwenu mnatafuta jina la CHADEMA. Endeleeni tu kuiota CHADEMA kila siku baadala ya kupambana na mfumuko wa Bei.
 
Back
Top Bottom