SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Ataenda ACTTutamfukuza Ila aje kwenu CHADEMA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ataenda ACTTutamfukuza Ila aje kwenu CHADEMA
Uko sahihi kabisa, Mungu habaguiWakristo sio vilaza ila wanauishi upendo wakuwa na amani na watu wote.
#MaendeleoHayanaChama
Hili linafanyika mashuleni ndio maana Majaliwa aliweza
Nenda kaulize kama hufahamu, au Mpigie yeye mwenyeweAcheni propaganda zisizo na maana, huyo Sungura ambaye aliingizwa Chadema na Mbowe akiwa Hana political base na kupewa ubunge ndio aje kugeuka mdhamini wa chama? Embu kuweni serious kidogo.
Nenda kaulize kama hufahamu, au Mpigie yeye mwenyewe
Hilo lilikuwa ni Tatizo la hali ya hewa tu, Mbona Juzi Mwamposa katua pale vizuri tuAcha ubishi, suala la Majaliwa ni Mungu tu alisaidia. Fanyeni mabadiliko, maana juzi Kuna ndege ya ATCL imeshindwa kutua ikarudi zake Dar. Halafu unatetea ujinga. Fanyeni kazi punguzeni sifa za kijinga Kama alivyosema Badhiru. Watanzania 19 wamefariki mita chache kutoka kwenye uwanja wa ndege.
Acha utani, hivi unajua mtu akisoma masters akashindwa dissertation anapewa option ya kupewa Cheti Cha postgraduate diploma?? In fact Kuna vyuo undergrad inapewa associate degree kama hukumaliza units zote.Shule ni Cheti mkuu
Zako unazipata wapi?Wewe taarifa zako za kuokoteza.
Nisawa na kujua kuendesha gari bila leseniAcha utani, hivi unajua mtu akisoma masters akashindwa dissertation anapewa option ya kupewa Cheti Cha postgraduate diploma?? In fact Kuna vyuo undergrad inapewa associate degree kama hukumaliza units zote.
Meaning elimu ni content kama alinyimwa cheti haimfanyi kutokuwa msomi wa degree.
Wewe ndio umeleta uongo inatakiwa uprove she was a nobody kwenye siasa in fact alikua anamdate Meya wa Chadema kigoma Ili aendelee kuwa relevant kwenye siasa!! Eti ndio awe mdhamini wa chama!! Get seriousNenda kaulize kama hufahamu, au Mpigie yeye mwenyewe
Hilo lilikuwa ni Tatizo la hali ya hewa tu, Mbona Juzi Mwamposa katua pale vizuri tu
itakuwa Sawa piaAtaenda ACT
Tunajenga uwanja Mpya na pesa ipo tayari,Shughulikieni tatizo la Bukoba acheni ubishi.
Nisawa na kujua kuendesha gari bila leseni
Tunajenga uwanja Mpya na pesa ipo tayari,
Tamasha na Sifa,ni Kitu gani hicho ?
haina shida, Ila njoo CCM Tufanye kazi Wewe unayo akili nzuriHilo ndio jibu sio kujitetea. Kubali makosa tafuta suluhisho.
Nenda angalia TAARIFA ya BoT
haina shida, Ila njoo CCM Tufanye kazi Wewe unayo akili nzuri