Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Hivi ukiwa mwanachama wa Chama Cha Mazezeta unakuwa nani?Kama Hujaeleweka nyamaza Nsg
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ukiwa mwanachama wa Chama Cha Mazezeta unakuwa nani?Kama Hujaeleweka nyamaza Nsg
Inshu sio kujenga ofisi..?swali la msingi ni je wana ofisi?jibu ni ndio wana jengo la ofisi liko mtaa wa ufipa.Wakati CCM inatatua na kusapoti makundi Mbalimbali wale wenzangu hata Ofisi imewashinda Miaka 30 Leo,
Hongera sana Mwenezi Chama kinakutegemea sana kukivusha,
Ccm watakimbia..wengi ni vilaza.Ninaomba kuwe na mdahalo LIVE kati ya vijana wa CCM na CDM ili tuone vijana wanaojitambua na wale wenye upeo duni wa kufikiri. mdahalo huu uwe ktk TV 2 kubwa; ITV na AZAM
Wanapanga kwa miaka 30 na kata 2015-2020 walikusanya zaidi ya bil 25 why wasijenge?Inshu sio kujenga ofisi..?swali la msingi ni je wana ofisi?jibu ni ndio wana jengo la ofisi liko mtaa wa ufipa.
#MaendeleoHayanaChama
CCM inakimbia matusi sio hojaCcm watakimbia..wengi ni vilaza.
#MaendeleoHayanaChama
Wewe ni mgese Sana, acha ufala!Wakati CCM inatatua na kusapoti makundi Mbalimbali wale wenzangu hata Ofisi imewashinda Miaka 30 Leo,
Hongera sana Mwenezi Chama kinakutegemea sana kukivusha,
Ungejibu hoja badala ya haya matuc sasa,Wewe ni mgese Sana, acha ufala!
Chama tawala ni majizi matupu! Shenzi type!CDM kama Mkt wenu tu Kafeli F6 ,Katbu Mkuu ni F6 mnataka kujadili nini na Chama tawala vyenye kila mtu?
Jibu kwanza hizo 25bl kweli mmeshindwa kujenga Ofisi hata ya 3bl kweli,Chama tawala ni majizi matupu! Shenzi type!
Ccm ni laana kwa nchi hii!Ccm watakimbia..wengi ni vilaza.
#MaendeleoHayanaChama
Nairobi?Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka kuwa mgeni rasmi kwenye tamasha la " The Big Prise CONCERT " FPCT KURASINI kesho tarehe 20|11|2022 kuanzia saa 8 mchana,
Shaka ataambana na baadhi ya viongozi wa Chama na Serikali katika kuunga mkono jitahada za makundi mbalimbali katika kujiletea maendeleo yao endelevu,
===
View attachment 2421447
25b nani alitoa? Maza wako? Acha uzwazwa wewe!Jibu kwanza hizo 25bl kweli mmeshindwa kujenga Ofisi hata ya 3bl kweli,
Ruzuku TZS 300ml X 60miezi= 18bl ziko wapi hizi pesa?25b nani alitoa? Maza wako? Acha uzwazwa wewe!
Et mnyika form 6 hahaha pole , yule ni kipanga vidato vyote na ana first class GPA yake , hata yule dhalimu pamoja na ukatili wake ila hakuacha kujua ukipanga wa mnyika na ameutamka mara kadhaa jukwaaniCDM kama Mkt wenu tu Kafeli F6 ,Katbu Mkuu ni F6 mnataka kujadili nini na Chama tawala vyenye kila mtu?
CCM kumejaa watu wajinga snEt mnyika form 6 hahaha pole , yule ni kipanga vidato vyote na ana first class GPA yake , hata yule dhalimu pamoja na ukatili wake ila hakuacha kujua ukipanga wa mnyika na ameutamka mara kadhaa jukwaani
Kasoma chuo gani Mnyika?Et mnyika form 6 hahaha pole , yule ni kipanga vidato vyote na ana first class GPA yake , hata yule dhalimu pamoja na ukatili wake ila hakuacha kujua ukipanga wa mnyika na ameutamka mara kadhaa jukwaani
Kasoma chuo gani MnyikaEt mnyika form 6 hahaha pole , yule ni kipanga vidato vyote na ana first class GPA yake , hata yule dhalimu pamoja na ukatili wake ila hakuacha kujua ukipanga wa mnyika na ameutamka mara kadhaa jukwaani
Ila sio wa kiwango cha CDMCCM kumejaa watu wajinga sn