Shaka Hamdu Shaka mgeni rasmi " The Big Praise Concert " FPCT Kurasini

Shaka Hamdu Shaka mgeni rasmi " The Big Praise Concert " FPCT Kurasini

Wakati CCM inatatua na kusapoti makundi Mbalimbali wale wenzangu hata Ofisi imewashinda Miaka 30 Leo,

Hongera sana Mwenezi Chama kinakutegemea sana kukivusha,
Inshu sio kujenga ofisi..?swali la msingi ni je wana ofisi?jibu ni ndio wana jengo la ofisi liko mtaa wa ufipa.

#MaendeleoHayanaChama
 
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka kuwa mgeni rasmi kwenye tamasha la " The Big Prise CONCERT " FPCT KURASINI kesho tarehe 20|11|2022 kuanzia saa 8 mchana,

Shaka ataambana na baadhi ya viongozi wa Chama na Serikali katika kuunga mkono jitahada za makundi mbalimbali katika kujiletea maendeleo yao endelevu,


===


View attachment 2421447
Nairobi?
 
CDM kama Mkt wenu tu Kafeli F6 ,Katbu Mkuu ni F6 mnataka kujadili nini na Chama tawala vyenye kila mtu?
Et mnyika form 6 hahaha pole , yule ni kipanga vidato vyote na ana first class GPA yake , hata yule dhalimu pamoja na ukatili wake ila hakuacha kujua ukipanga wa mnyika na ameutamka mara kadhaa jukwaani
 
Et mnyika form 6 hahaha pole , yule ni kipanga vidato vyote na ana first class GPA yake , hata yule dhalimu pamoja na ukatili wake ila hakuacha kujua ukipanga wa mnyika na ameutamka mara kadhaa jukwaani
Kasoma chuo gani Mnyika?
 
Et mnyika form 6 hahaha pole , yule ni kipanga vidato vyote na ana first class GPA yake , hata yule dhalimu pamoja na ukatili wake ila hakuacha kujua ukipanga wa mnyika na ameutamka mara kadhaa jukwaani
Kasoma chuo gani Mnyika
 
Back
Top Bottom