Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,988
Ukitaka mataga wafurahi we waambie maza na marehemu Magufuli ni kitu kimoja
Mama safisha mpaka chini ya kapeti. Vunjavunja vipuri vyote vya Udikteta. Tunakupenda saana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Aliwapiga chenga ya mwili. Mama ana akili kubwa. Habwabwaji hovyo kama yule jinamizi. Yeye ni mwendapole wa uhakika. Very strong woman. Our strongest President. Tanzania mpya. Vunjia mbali dikteta na masalia yake.
Anacho fanya mama ni usafi wa ghala anatoa zagazaga zoote za jiwe na kuweka maahine mpya
Kwani Bashite anasemaje juu ya kifo cha babake??Sasa ndiyo wanelewa kuwa kamwe usimtegemee mwanadamu mwenzako kama mbadala wa Mungu.
Mimi siyo mwehu eti nikajiunge ccmKawaida.. hata akija mwingine atawafukuza wake....
Karibu ccm tumuunge mkono mama
Ndiyo anaujua ule msemo usemao HAKUNA AIJUAYE KESHO YAKE.Kwani Bashite anasemaje juu ya kifo cha babake??
Mimi siyo mwehu eti nikajiunge ccm
Kwani PSYCHIATRIC doctor anadharaulika kisa kuwatibu vichaa na wehu kama nyinyi?Lakini mnamuunga mkono mama kiongozi wa wehu... sasa hapo uzima wenu wa akili tuna udauti[emoji16][emoji16]
Watani njooni ccm kumenoga...
Mama anawapiga kwa mafumbo na taarabu...
Hakuna reggae za kisukuma... Sisawa jamani....
Turudini kwa chama kilichotulea hadi wazungu walipoleta vyama vingi..
RIP Jembe
Kwani PSYCHIATRIC doctor anadharaulika kisa kuwatibu vichaa na wehu kama nyinyi?
MATAGA mtaimba nyimbo zote. Huyo ndiyo Rais wa Tanzania. Ni kiongozi siyo DiktetaUpinzani wajigeuza wapiga vigelegele wa mama.....
RIP Jembe
MATAGA mtaimba nyimbo zote. Huyo ndiyo Rais wa Tanzania. Ni kiongozi siyo Dikteta
kama amabavyo umeaminishwa jpm alisababisha ukose ugali,ndivyo watakuja kukwambia samia ni rais wa hovyo kuwahi kuwepo.Katika wote sitatamani jiwe arudi. Hilo jiwe lingewekwa tu aliko kimwili kwa sasa. Anyway Siasa TANZANIA zimekuwa haziaminiki na kutoeleweka. Muhimu pata ugali na familia yako, boresha maisha yako ya sasa na uzeeni. Sitakaa nimuamini mwanasiasa. Hivi unakumbuka tulivyoaminishwa Ufisadi umekwisha? REPORT ya CAG 2019/2020 ndiyo ilinipa hasira mno. Ulimi na jicho la mwanasiasa yoyote yule usiamini. Hata kicheko chake kiogope.
jana nilikuitisha kipato cha mbunge kwa mwezi,ukachochora.Atakuwa anajisikia aibu sana na katika watu ambao kamwe hawataisahau CORONA basi mmojaw wapo ni Polepole na Bashiru
Anachofanya mama Samia ni kupiga deki na kihakikisha kuwa hakuna masalia ya jiwe.
hata covid wanatumia v8 bujibuji,wacha kupumzika kazi bado.Humphrey Polepole, vieite limefika kikomo, jifunze kuwa na adabu
Mataga bado yapo usingizini hayajui kinachoendeleaMATAGA mtaimba nyimbo zote. Huyo ndiyo Rais wa Tanzania. Ni kiongozi siyo Dikteta