π€£π€£π€£ Aliwapiga chenga ya mwili. Mama ana akili kubwa. Habwabwaji hovyo kama yule jinamizi. Yeye ni mwendapole wa uhakika. Very strong woman. Our strongest President. Tanzania mpya. Vunjia mbali dikteta na masalia yake.Ukitaka mataga wafurahi we waambie maza na marehemu dikiteta magufuli ni kitu kimoja
Nafasi ya Polepole hata angepewa afande sele sawa tu, cha msingi slow slow ametoka maana mdomo wake ulikua unaharaShaka Hamidu Shaka, ameteuliwa kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), akichukua nafasi ya @hpolepole ambaye ni Mbunge wa kuteuliwa.
#NipasheHabari
Sasa kile kipindi cha Channel ten itakuwaje?Humphrey Polepole, vieite limefika kikomo, jifunze kuwa na adabu
Anacho fanya mama ni usafi wa ghala anatoa zagazaga zoote za jiwe na kuweka maahine mpyaKamanda we vipi? Mbona wewe hauko kama nyumbu wenzio!?
Sikuoni sana ukiimba mapambio ya CCM na Samia?
Unajitambua?
Na wewe upo kama yeye?[emoji39][emoji39][emoji39]yuko vizuri huyo sina shida naye
Mkuu inamaana unataka kumtatua rinda mwenzio??? [emoji41][emoji41]Na wewe upo kama yeye?[emoji39][emoji39][emoji39]
Polepole alifikia hatua ya kupigia simu hadharani usiku Watendaji wa Serikali kama vile yeye ndio Waziri Mkuu.Hwa jamaa walijiona kwamba wao ndio ccm yenyewe na ambao wanaweza kufanya jambo lolote wakt wowote bila bughdha ya mtu yoyote, toka popote pale.
Tena tunasongesha kwa hatari kabisa. Yaani utafikiri tumezaliwa upya Tanzania. Ndiyo hapo tinatofautisha Dikteta na Kiongozi.Bashiru njeeee
Polepole njeeeee
Kazi bado inasonga
YEHODAVA huyuUkitaka mataga wafurahi we waambie maza na marehemu dikiteta magufuli ni kitu kimoja
Kamanda we vipi? Mbona wewe hauko kama nyumbu wenzio!?
Sikuoni sana ukiimba mapambio ya CCM na Samia?
Unajitambua?
mwenda zake kama alijua haya yangetokeaChakubanga abaki na ubunge wake kuteuliwa na mwendazake unamtosha
Ndo imetoka hivyo, kwanza kilikua hakina faida yoyote zaidi ya kuchafua hali ya hewaSasa kile kipindi cha Channel ten itakuwaje?
katokea kinondonimama nnaona anadumisha muungano kwa vitendo
nitarajie katibu mkuu wa chama huenda akatokea zanzibar
Niliwahi kumjibu mtu nyumbu mama yako mod wakanipiga ban, ila wanaoita wengine nyumba wanapeta.
Hahahha... Samia, Samia, Samia nmekuita mara tatu kwanini unawaudhi machadema kwa kuteua wateule wa JPM?Sawa [emoji20]
Hahahha.. Ulitegemea ateue mwana chademaLichama la hovyo hilo.
Nyalandu ameachana naoTulisema kuwa huu ndiyo mwisho wa waramba miguu wa jiwe watu wakatubishia ona sasa kina Bashiru na Polepole wanatupiwa virago mchana kweupeeeeee
Hahahha... Leo lazima mlale na viatuAnachofanya mama Samia ni kupiga deki na kihakikisha kuwa hakuna masalia ya jiwe .