CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 5,621
- 5,029
- Thread starter
-
- #41
Daaah, nani huyo?Mwizi, jambazi, msaliti. Kila jambo lina expires. Huu ujinga wenu utafika mwisho la safari hii mtakoma, mnadhani hii nchi ni yakuchezewa chezewa. Sasa mnaachea mjianike
MGODI WA PEMBE ZA NDOVU.Kinana ni mgodi unaotembea
HILO JIZI LA WANYAMAPORI LINA UGWIJI GANI TOFAUTI NA UPORAJI WA NYARA ZA NCHI?Kinana ni mwanasiasa wa kuigwa, mtendaji na ana akili sana!
Ukichaaa ndio huu,HILO JIZI LA WANYAPORI LINA UGWIJI GANI TOFAUTI NA UPORAJI WA NYARA ZA NCHI?
Haya thibitisha
Unaweza kuleta vyako kusupport hicho ulichosema?Lete vyeti vyako vyenye muhuri wa AFISA WA VIAPO nione kama kweli una HADHI na UWEZO wa KITAALUMA wa kupokea na kuchakata USHAHIDI.
KINANA NI JIZI LA WANYAPORI!
Do you have the intellectual capacity to handle and digest the evidence if supplied to you?
Show me certified transcripts.
Sihitaji vyeti.Unaweza kuleta vyako kusupport hicho ulichosema?
Siasa ni kipaji cha kuzaliwa hujifunzi kwa mtu.mzee kinana hicho ni kipaji chake hivyo hakiigiki wala hakifunziki. wewe tumia chako utaweza tuu.Shaka ameongea ukweli tupu. Kinana ni jabali kwenye siasa.
Tena papaNguvu ya Kinana inaisaidia nini ccm mbona wao kazi yao ni kuhujumu tu kila uchaguzi ukifanyika.
Kinana ana tuhuma za kuhujumu uchumi kwa kusafirisha wanyama kinyemela nje ya nchi na endapo angekuwa ni kada wa Chadema angefia jela. Kinana hana lolote ni mafisadi tu sawa na wengine waliojaa huko ccm.
Hujui kitu wewe Channel Ten ilikuwa na akina PatelEti mtiifu na mwadilifu sana. Huyu ana skendo zifuatazo ambazo hazimuweki kwenye hizo sifa labda umsifie kinafiki;
1. Inasemekana akiwa mbunge jimbo la arusha alihodhi mashine za kufulia zilizotolewa kama msaada kwa hospital ya mount meru. Baadae alifungua dry cleaner kubwa na ipo hadi sasa.
2. Peter Msigwa aliwahi kumtuhumu kama muumini wa wasafirishaji pembe za ndovu na kuna wakati kuna meli ilikamatwa china na pembe za ndovu na alipobanwa akakiri kuwa kweli anahusika na ile kampuni.
3. Aliwahi kusikika akimsema na kumsimanga bwana Magu baada ya kuonekana kuwabana kwenye mambo yao.
4. Lakini inasemekana pia ni mmoja wa watu waliojibinafsishia channel ten na mali zingine za ccm.