Shaka: Kinana ni Chuo kikuu cha siasa kinachotembea, mtakaochaguliwa au kuteuliwa jifunzeni kwake

Shaka: Kinana ni Chuo kikuu cha siasa kinachotembea, mtakaochaguliwa au kuteuliwa jifunzeni kwake

Mwizi, jambazi, msaliti. Kila jambo lina expires. Huu ujinga wenu utafika mwisho la safari hii mtakoma, mnadhani hii nchi ni yakuchezewa chezewa. Sasa mnaachea mjianike
Daaah, nani huyo?
 
Haya thibitisha

Nipatie vyeti vyako vyenye muhuri wa AFISA WA VIAPO nione kama kweli una HADHI na UWEZO wa KITAALUMA wa kupokea na kuchakata USHAHIDI.

KINANA NI JIZI LA WANYAPORI!

Haya, nipatie vyeti tuendelee.
 
Lete vyeti vyako vyenye muhuri wa AFISA WA VIAPO nione kama kweli una HADHI na UWEZO wa KITAALUMA wa kupokea na kuchakata USHAHIDI.

KINANA NI JIZI LA WANYAPORI!

Do you have the intellectual capacity to handle and digest the evidence if supplied to you?

Show me certified transcripts.
Unaweza kuleta vyako kusupport hicho ulichosema?
 
Unaweza kuleta vyako kusupport hicho ulichosema?
Sihitaji vyeti.

Ninachohitaji ni kusema tu kwamba KINANA NI JIZI LA WANYAMAPORI.

Unataka ushahidi? Nipatie vyeti vyako vya kitaluma nione kama unaweza kuchakata hizo taarifa.

Usije ukawa oya oya tu mwenye kiherehere cha kushabakia majizi bila kuelewa haswa ajenda zao.
 
Shaka ameongea ukweli tupu. Kinana ni jabali kwenye siasa.
Siasa ni kipaji cha kuzaliwa hujifunzi kwa mtu.mzee kinana hicho ni kipaji chake hivyo hakiigiki wala hakifunziki. wewe tumia chako utaweza tuu.
 
Nguvu ya Kinana inaisaidia nini ccm mbona wao kazi yao ni kuhujumu tu kila uchaguzi ukifanyika.

Kinana ana tuhuma za kuhujumu uchumi kwa kusafirisha wanyama kinyemela nje ya nchi na endapo angekuwa ni kada wa Chadema angefia jela. Kinana hana lolote ni mafisadi tu sawa na wengine waliojaa huko ccm.
Tena papa
 
Eti mtiifu na mwadilifu sana. Huyu ana skendo zifuatazo ambazo hazimuweki kwenye hizo sifa labda umsifie kinafiki;
1. Inasemekana akiwa mbunge jimbo la arusha alihodhi mashine za kufulia zilizotolewa kama msaada kwa hospital ya mount meru. Baadae alifungua dry cleaner kubwa na ipo hadi sasa.

2. Peter Msigwa aliwahi kumtuhumu kama muumini wa wasafirishaji pembe za ndovu na kuna wakati kuna meli ilikamatwa china na pembe za ndovu na alipobanwa akakiri kuwa kweli anahusika na ile kampuni.

3. Aliwahi kusikika akimsema na kumsimanga bwana Magu baada ya kuonekana kuwabana kwenye mambo yao.

4. Lakini inasemekana pia ni mmoja wa watu waliojibinafsishia channel ten na mali zingine za ccm.
Hujui kitu wewe Channel Ten ilikuwa na akina Patel
 
Back
Top Bottom