Rodwell mTZ
JF-Expert Member
- Nov 16, 2012
- 1,455
- 1,621
Walifanya kazi kwa moyo kuliko wenye vyeti halali.Tuna hangaika kuwalipa waliotulaghai na kulipwa wasivyostahili na kuwaacha wanaokujengea nchi bila kauli dhabit ya kiasi cha nyongeza.
Kenyata kaweka wazi bila chenga.Kwa hiyo miaka ijayo wakibainika wenye vyeti feki watumie busara hii kulipwa?
Kwa darasa la saba ni sawa sababu waliajiliwa kwa elimu hiyo shida ni hao vyeti feki.
Lakini huwezi foji taaluma. huwezi kuwa police bila kufanya kozi ya police, huwezi kuwa Mwalimu bila kusomea ualimu, huwezi kuwa dereva bila ujuzi,nk.
Tofautisha cheti na ufuzu au ujuzi.
Vyeti havifanyi Kazi bali brain,thus wenzetu wazungu au wachina awatazami Sana vyeti bali utendaji.
Mbona majeshini awakufukuzwa kama ishu ni vyeti,
C
Katiba ya CDM inakera sana haina ukomo wa madaraka ya m/kiti, na Hakuna mwanachama anayeweza kuhoji ukomo wa madaraka..na ukigusa tu hamaga chama.Katiba ya ccm ya 1977 ni ya kipuuzi sana. Yaani inampa mtu mmoja mamlaka makubwa mpaka inakera.
Hakika Katiba Mpya haikwepeki.
Kwa bahati mbaya nchi inatawaliwa kwa kutumia Katiba ya ccm ya mwaka 1977, na siyo Katiba ya Chadema.Katiba ya CDM inakera sana haina ukomo wa madaraka ya m/kiti, na Hakuna mwanachama anayeweza kuhoji ukomo wa madaraka..na ukigusa tu hamaga chama.
Kwa hili nasimama na SamiaYani mtu ana vyeti fake analipwa wakati kuna vijana kibao hawana kazi na wanavyeti halali, sisi watu weusi kwakweli tuna laana flani hapa duniani si bure. 60 yrs of independence bado tupo hapa na siasa uchwara.
Nani kakwapua umayemjua?Sio KILA kitu ni logic,mbona mafisadi wamekwapua pesa na still wapo kazini wakiendelea na Kazi kwann wasiwe jela.
CAG reportNani kakwapua umayemjua?
Hivi hawa watu walifukuzwa na Chadema au?! Yaani Ccm huwa mna jikuna na kujitekenya wenyewe.
Baada ya kusikiliza hii sasa Pitia hizi nondo kwa makini,Viva Tanzania,
View attachment 2209052
View attachment 2209053
View attachment 2209054
View attachment 2209055
View attachment 2209056
View attachment 2209057
View attachment 2209058
View attachment 2209059
View attachment 2209060
View attachment 2209062
View attachment 2209063
POINT TO NOTE,
1. Hawa watu wanawatoto wanaowategemea sijui hao watoto wanahali gani hata leo!!?
2. Hawa watu wanawazazi wanaowategemea sijui wazazi wao kama leo wako hai au walikufa kwa Presha!!?
3. Hawa watu waliumizwa sana sijui leo wanahali gani,Ni Mungu pekee ndio anajua,
Asante Mama Samia, Asante sana Mama, Hakika wewe ni Mama,
Jabali,
HATA CAG NI WA CCMCAG report
HATA CAG NI WA CCMCAG report
Yani mtu ana vyeti fake analipwa wakati kuna vijana kibao hawana kazi na wanavyeti halali, sisi watu weusi kwakweli tuna laana flani hapa duniani si bure. 60 yrs of independence bado tupo hapa na siasa uchwara.
Uko sahihi,Taarifa haijasema wanaajirwa au wanarudishwa kazini. Bali wanalipwa Terminal Benefits ambazo walikwisha stahili hadi walipoachishwa kazi.
Wewe huelewi vizuri
Kazi nzuri sana bwana Shaka,
Baada ya kusikiliza hii sasa Pitia hizi nondo kwa makini,Viva Tanzania,
View attachment 2209052
View attachment 2209053
View attachment 2209054
View attachment 2209055
View attachment 2209056
View attachment 2209057
View attachment 2209058
View attachment 2209059
View attachment 2209060
View attachment 2209062
View attachment 2209063
POINT TO NOTE,
1. Hawa watu wanawatoto wanaowategemea sijui hao watoto wanahali gani hata leo!!?
2. Hawa watu wanawazazi wanaowategemea sijui wazazi wao kama leo wako hai au walikufa kwa Presha!!?
3. Hawa watu waliumizwa sana sijui leo wanahali gani,Ni Mungu pekee ndio anajua,
Asante Mama Samia, Asante sana Mama, Hakika wewe ni Mama,
Jabali,
Nafikiri uzi huu ungeishia hapa tu.Maza we wape tu, mwendazake aliwanyonga kuna watz tulipiga kelele hatari, but wewe umeshow love kwa hawa wahanga lkn kuna mitz inalalamika so Kaa ukielewa ngozi nyeusi hatunaga jema, we chapa kazi.
Nashangaa na mie hapa. Khaaah.Yani mtu ana vyeti fake analipwa wakati kuna vijana kibao hawana kazi na wanavyeti halali, sisi watu weusi kwakweli tuna laana flani hapa duniani si bure. 60 yrs of independence bado tupo hapa na siasa uchwara.
Hata Mkapa alifanya Ridandansi na kuwalipa na wengi wao waliendelea na maisha yao.
Baada ya kusikiliza hii sasa Pitia hizi nondo kwa makini,Viva Tanzania,
View attachment 2209052
View attachment 2209053
View attachment 2209054
View attachment 2209055
View attachment 2209056
View attachment 2209057
View attachment 2209058
View attachment 2209059
View attachment 2209060
View attachment 2209062
View attachment 2209063
POINT TO NOTE,
1. Hawa watu wanawatoto wanaowategemea sijui hao watoto wanahali gani hata leo!!?
2. Hawa watu wanawazazi wanaowategemea sijui wazazi wao kama leo wako hai au walikufa kwa Presha!!?
3. Hawa watu waliumizwa sana sijui leo wanahali gani,Ni Mungu pekee ndio anajua,
Asante Mama Samia, Asante sana Mama, Hakika wewe ni Mama,
Jabali,
Kwani hawakulipwa mshahara Kwa udanganyifu wao?Ni haki walipwe kwakuwa walikuwa wamefanyakazi.
Hoja ni hii,nani aliwaajiri watu wenye vyeti feki?
Ni utawala wa ACT wazalendo?
Sasa hapo haki yake ni ipi zaidi ya kufukuzwa Kwa udanganyifu.Nakupa mfano wewe unaliyejitangazia laana sababu ya weusi wako.
Kuna mtu aliajiriwa kama dereva kwa cheti cha darasa la saba halali na akatumikia kwa miaka mingi tu katika mazingira magumu.
Baadae, kwa imani kuwa akileta cheti feki cha form 4, labda kipato chake kitaongezeka kidogo. Kama kiliongezeka, basi kidogo sana na maisha ya mtu huyu yakawa duni vile vile. Maana kwenye utumishi wa umma , mtumishi siku zote analipwa pungufu kwa kile alichokifanyia kazi. Aliyemuibia mwenzake hapo utajua wewe.
Anyway, Siku ya uhakiki, cheti chake feki kilicho kwenye faili lake, kinamfuta kabisa kazi jumla jumla na kuondoka mtupu na matusi juu. Familia yake inaishia kuteseka .
Nasema hivi, hukumu wewe moyoni mwako unavyoona inafaa ila waache wale wanamuogopa kweli Mungu na sio kwa maigizo wafanye yenye Haki. Glory be to God.