Shaka: Rais Samia kuwalipa waliofukuzwa kwa vyeti feki ni ishara ya huruma, upole na upendo kwa Watanzania

Shaka: Rais Samia kuwalipa waliofukuzwa kwa vyeti feki ni ishara ya huruma, upole na upendo kwa Watanzania

Vyeti feki !! Daah. Sawa. chuo mwalimu Akitoa maksi za wanafunzi chuo kinabadirisha alama na kuwapa za juu kuonyesha wamepata alama nzuri.Hawa nao ni sawa na vyeti feki .we have long journey to go!!
 
Ivi ulishawahi kufikilia ni watu wangapi waliostahili kupata izo nafasi walinyimwa haki zao wakiwa na vyeti Halali kabisa....Asa kma mtu aligushi cheti Cha uwalimu alikua anafundisha nin watoto shuleni...na huyu nae alipwe??

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Tena hawa walikuwa wanatoa rushwa ili watengenezewe vyeti feki na alama feki!! Walipwe tu hamna namna
 


Baada ya kusikiliza hii sasa Pitia hizi nondo kwa makini,Viva Tanzania,

View attachment 2209052
View attachment 2209053
View attachment 2209054
View attachment 2209055
View attachment 2209056
View attachment 2209057
View attachment 2209058
View attachment 2209059
View attachment 2209060
View attachment 2209062
View attachment 2209063


POINT TO NOTE,

1. Hawa watu wanawatoto wanaowategemea sijui hao watoto wanahali gani hata leo!!?

2. Hawa watu wanawazazi wanaowategemea sijui wazazi wao kama leo wako hai au walikufa kwa Presha!!?

3. Hawa watu waliumizwa sana sijui leo wanahali gani,Ni Mungu pekee ndio anajua,

Asante Mama Samia, Asante sana Mama, Hakika wewe ni Mama,

Jabali,

Asante mama Samia ,Asante sana Mama ,Hakika wewe ni Mama🙏
 
Vipi Phd feki za wakubwa na vyeti vya akina Bashite?! Ungesoma tu mstari wangu wa mwisho ulitosha kila kitu.
Hao wote wanalifharimu sana Taifa.
Watu wengi wanalipwa Kwa vyeti feki vyenye PhD zisizo kidhi na hakuna tija yoyote kwao.

Mfano hii nchi Ina madini Mengi sana lakini Kuna maprofesa na wasomi waliokaa maofisini wanasubiri Vijana wa Darasa la Saba wagundue sehemu yenye madini ndipo nao wajitokeze na mafailli yako kuishauri serikali iweke Kodi kabla hata madini hayauzwa . Wao wanakimbilia kujimilikisha vitalu vya madini.
Wasomi wasipofanya research zenye tija Kwa Taifa.
 
Miaka yote mlipaji hakujua kama hao ni feki?
Mlipwaji hana makosa.
Mlipaji ndiye aliyetengeneza mazingira ya ufeki na ndiye anapaswa kufunguliwa mashitaka
Hapana kila jambo lina wakati wake . Miaka ya nyuma wizi wa Mithani ulikua mkubwa sana. Na wengi ndio zao la wezi waliopo kwenye ofisi za umma Kwa Sasa.
Leo hii mtu akikukuta na mtihani kabla litakua ni jambo la ajabu sana. Miaka ya nyuma Kuna watoto wa vigogo walikua hawahangaiki kusoma mana ilikua ni lzima wapate mitihani kabla ya tarehe ya mtihani.

Lakini pia coloured Printer zilipoingia watu walitengeneza mpaka noti feki na vyeti feki Vika jaa mitaani.
Hata mafaili na mfumo wa Sasa wa kumbukumbu za ajira ni Kwa njia ya kielektroniki hivyo huwezi kuweka majina mawili mawili yenye sifa zinazofanana na cheti ni kimoja. Teknolojia ndiyo inayopingana na udanganyifu.

Miaka ya nyuma hata Bima zilikua zinaweza kukatwa baada ya ajali ya lakini Kwa sana haiwezekani Tena . Teknolojia inakataa udanganyifu.

Suala la kuweka kumbukumbu sahihi kwenye mifumo ya ajira ni suala la kidunia. Tunakokwenda hata uhalifu utapunga mana hata ukigusa mahali Alana za vidole zitakutambua.

Mwajiri aliletewa vyeti feki laki Kwa kudanganywa. Lakini mwajiri amegundua hivyo nilazima amwajibishe mhalifu kwani hasara ni kubwa .
 
Hao wenye vyeti halisi mbona still tija ni sifuri
BADO HAIWE SABABU YA KUHALALISHA VYETI FEKI.
TUMBUA TUMBUA NDIYO ILIYOREUDISHA HESHIMA MAKAZINI.
WENYE VYETI FEKI WALIKUA NI WASUMBUFU SANA NA WALIKUA NA DHARAU SEE SANA. KILA KITU KWAO KILIKUA NI DILI TU KAMA WALIVYOINGIA KWA DILI DILI.
 
BADO HAIWE SABABU YA KUHALALISHA VYETI FEKI.
TUMBUA TUMBUA NDIYO ILIYOREUDISHA HESHIMA MAKAZINI.
WENYE VYETI FEKI WALIKUA NI WASUMBUFU SANA NA WALIKUA NA DHARAU SEE SANA. KILA KITU KWAO KILIKUA NI DILI TU KAMA WALIVYOINGIA KWA DILI DILI.
Mbona wapo nje ya nchi na pia private sector na wanafanya Kazi vizuri tu.
Ukuona madereva vyeti walivyokuwa wanasababisha Sana ajali baada ya madereva halisi kuondolewa
 
CCM hawana jipya zaidi ya kupongeza, Magufuli alipowafukuza walipongeza, mama ametangaza kuwalipa haki zao wanapongeza.
 


Baada ya kusikiliza hii sasa Pitia hizi nondo kwa makini,Viva Tanzania,

View attachment 2209052
View attachment 2209053
View attachment 2209054
View attachment 2209055
View attachment 2209056
View attachment 2209057
View attachment 2209058
View attachment 2209059
View attachment 2209060
View attachment 2209062
View attachment 2209063


POINT TO NOTE,

1. Hawa watu wanawatoto wanaowategemea sijui hao watoto wanahali gani hata leo!!?

2. Hawa watu wanawazazi wanaowategemea sijui wazazi wao kama leo wako hai au walikufa kwa Presha!!?

3. Hawa watu waliumizwa sana sijui leo wanahali gani,Ni Mungu pekee ndio anajua,

Asante Mama Samia, Asante sana Mama, Hakika wewe ni Mama,

Jabali,

Chama cha hovyo huzalisha viongozi wa hovyo.
 
Kwamba watu wanatetea vyeti feki? Hii nchi inashida Sanaa kwakweli.

Labda tuamue kwamba hatutaajiri kwa vyeti tutaajirj kwa namna nyingine, kama wahusika wa vyeti feki walijua wanavyeti feki na wamekosea sidhani kama kuna chakufanya.

Waliokua na vyeti feki au sio vyao waliambiwa waache kazi ndani ya saa 24 na wakaacha sasa hawakufukuzwa kazi Bali walizikimbia kazi kwa kujua ni kinyume na Sheria.

Kuna waliokua na vyeti feki, waliokua wanatumia cheti kimoja zaidi ya mtu mmoja au watu wawili na waliokua hawana sifa stahiki.

Serikali iangalie namna yakufanya kuwasaidia ila isiseme kuwalipa itakua ni nchi isiyofuata Sheria inafuata hisia za watu na viongozi.

"Tanzania inakila kitu ila Haina watu sahihi"
 


Baada ya kusikiliza hii sasa Pitia hizi nondo kwa makini,Viva Tanzania,

View attachment 2209052
View attachment 2209053
View attachment 2209054
View attachment 2209055
View attachment 2209056
View attachment 2209057
View attachment 2209058
View attachment 2209059
View attachment 2209060
View attachment 2209062
View attachment 2209063


POINT TO NOTE,

1. Hawa watu wanawatoto wanaowategemea sijui hao watoto wanahali gani hata leo!!?

2. Hawa watu wanawazazi wanaowategemea sijui wazazi wao kama leo wako hai au walikufa kwa Presha!!?

3. Hawa watu waliumizwa sana sijui leo wanahali gani,Ni Mungu pekee ndio anajua,

Asante Mama Samia, Asante sana Mama, Hakika wewe ni Mama,

Jabali,

Rais Samia ni Rais mwenye huruma sana na haijapata kutokea hapa Tanzania,
 
Mbona wapo nje ya nchi na pia private sector na wanafanya Kazi vizuri tu.
Ukuona madereva vyeti walivyokuwa wanasababisha Sana ajali baada ya madereva halisi kuondolewa
Sekta binafsi ni tofauti na ajira za umma wa watanzania
Huwezi kudanganya umma wakati wapo wengi waaminifu na wenye sifa ya kuajiririwa Serikalini.
 
Vyeti feki !! Daah. Sawa. chuo mwalimu Akitoa maksi za wanafunzi chuo kinabadirisha alama na kuwapa za juu kuonyesha wamepata alama nzuri.Hawa nao ni sawa na vyeti feki .we have long journey to go!!
Kweli kabisa vyeti feki viko vingi vyuoni kwa kupewa maksi feki na wakiajiriwa wanaonekana ndio wenye vyeti og kumbe fake to the maximūm.
 
Kweli kabisa vyeti feki viko vingi vyuoni kwa kupewa maksi feki na wakiajiriwa wanaonekana ndio wenye vyeti og kumbe fake to the maximūm.
Hili nimelielewa mno, kenna Rais Samia ni Mama na Rais, tuendelee kumwombea
 
Back
Top Bottom