Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Sawa wamekusikia.Anzeni na katiba za vyama vyenu Kwanzaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa wamekusikia.Anzeni na katiba za vyama vyenu Kwanzaa
Katiba ya vyama Haina impact kubwa kwa taifa na kwa wananchi kwa ujumla wake.Impact Ni ndani ya vyama vyao TU.Ndo maana Kule CUF wakati Ile Lipumba anavurugana na Maalim safe mpaka wakagawana meza na viti vya Ofisi,Hakuna sehemu au nchi iliyumba kwa changamoto Hiyo.Anzeni na katiba za vyama vyenu Kwanzaa
Wakipata weye unaumia nini?Acha mahovyohovyo yako.Changamoto anatafuta huruma, yani wale washauri wake wamemwambia kuwa wale wape wale ndo njia nzuri ya kuwafunga midomo, wadondoshee nyama lenye fupa kubwa waangaike nalo we huku kula stake tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya kusikiliza hii sasa Pitia hizi nondo kwa makini,Viva Tanzania,
View attachment 2209052
View attachment 2209053
View attachment 2209054
View attachment 2209055
View attachment 2209056
View attachment 2209057
View attachment 2209058
View attachment 2209059
View attachment 2209060
View attachment 2209062
View attachment 2209063
POINT TO NOTE,
1. Hawa watu wanawatoto wanaowategemea sijui hao watoto wanahali gani hata leo!!?
2. Hawa watu wanawazazi wanaowategemea sijui wazazi wao kama leo wako hai au walikufa kwa Presha!!?
3. Hawa watu waliumizwa sana sijui leo wanahali gani,Ni Mungu pekee ndio anajua,
Asante Mama Samia, Asante sana Mama, Hakika wewe ni Mama,
Jabali,
Mkuu usivuke mipaka tafadhali. Bado tunakuhitaji uraiani......
Vyeti vyake naye vihakikiwe....
Kinachofanya Kazi ni akili na sio vyeti,mbona majeshini awakuondolewa na Kazi zinaenda kama kawaidaHuruma isibague uhalifu. Hivi imefanyika Tathmini faida na hasara ya kutumia wafanyakazi hao huku wakiwa na vyeti fake kabla ya kufikia uamuzi huu?
Nadhani Kuna haja ya baadhi ya watu waelezwe kuacha kutumia nia njema na huruma ya Mama vibaya
Nakupa mfano wewe unaliyejitangazia laana sababu ya weusi wako.Yani mtu ana vyeti fake analipwa wakati kuna vijana kibao hawana kazi na wanavyeti halali, sisi watu weusi kwakweli tuna laana flani hapa duniani si bure. 60 yrs of independence bado tupo hapa na siasa uchwara.
Tena walipongeza kwelikweliWakati wa magu nyie nyie mlimsifu kwa kuwaondoa vyeti feki!
Polisi huwezi fanya kazi bila kuwa na vyeti halali vya chuo.cha polisi Moshi au cha Jeshi kama Monduli nkKinachofanya Kazi ni akili na sio vyeti,mbona majeshini awakuondolewa na Kazi zinaenda kama kawaida
Mlaghai anaambiwa alipwe asilimia tano za pesa alizolaghai!!! Hii kitu haiko sawa hata kwa logic ya kawaidaHaki ya kuiba vyeti na kulaghai mamlaka za nchi?
Lakini huwezi foji taaluma. huwezi kuwa police bila kufanya kozi ya police, huwezi kuwa Mwalimu bila kusomea ualimu, huwezi kuwa dereva bila ujuzi,nk.Polisi huwezi fanya kazi bila kuwa na vyeti halali vya chuo.cha polisi Moshi au cha Jeshi kama Monduli nk
Vyeti vilivyofojiwa vingi vya uraiani
Hebu fikiria unakuwa na mwanasheria mwenye vyeti Feki ofisini hadi digrii Feki hajawahi kanyaga hata chuo.Huyo akienda kusaini mkataba wa Serikali ukiwa wa hovyo unajua uliigharimu nchi kiasi gani?
Fikiria future ya mtoto aliyefundishwa na mwalimu mwenye cheti Feki cha walimu akafeli vibaya na future yake ikaisha barabarani
Fikiria future za watu waliokuwa na vyeti halali kabisa waliokuwa ajira kisa hao vyeti Feki walibana nafasi zao.Fikiria maisha magumu waliyoishi wao na familia zao kwa kukosa ajira wakati ajira zao ulikuwepo zikachukulia na hiyo mitoto ya shetani iliyofoji vyeti
Nafikiri kilio cha wenye vyeti halali walicholia kukosa kazi kwa kuzibiwa na hao vyeti Feki Mungu alikisikia.Walilia na Mungu.
Kuwalipa wahalifu waliobana nafasi za wenye vyeti halali wakose ajira si jambo la kufurahia kwenye inayotaka kujenga uadilifu kwenye sekta ya umma .Hilo jambo litakiwa libaki hivuo ili.kujenga Jamii yenye uadilifu mkubwa kwenye ya umma
Sio KILA kitu ni logic,mbona mafisadi wamekwapua pesa na still wapo kazini wakiendelea na Kazi kwann wasiwe jela.Mlaghai anaambiwa alipwe asilimia tano za pesa alizolaghai!!! Hii kitu haiko sawa hata kwa logic ya kawaida