Shakira bado hajasema, na atasema, yaani mpaka aseme

Shakira bado hajasema, na atasema, yaani mpaka aseme

Sababu ya mali?
kuchepuka risation.

Mzee Bill Gate akienda kula msosi wa mchana anakamata manzi hukohuko anapiga kimoja anarudi ofisini,wife akaweka mtego likasanuka ndoa ikafa.

G.Pique nae bi Shakira akisafiri na watoto braza anaingiza manzi anapiga mzigo,bi Shakira akashtuka kikasanuka ndoa ikafa.
 
Back
Top Bottom