Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
This time for Africa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tamaduni zao haziruhusu.Shida ya wazungu hawataki kuchangia mume.
😂Huwezi jua labda chini kuna bwawa la kidatu
kumbe wazungu nao wanatamaduni.?tamaduni zao haziruhusu.
😂
Kwa hilo sifaham ila yeye mwenyewe anajiweza sana, mali anazo za kutosha. Nadhani pia wanawake wa America ya kusini wana tofauti kubwa sana na wa mabara mengine.Hajaanza kumpukutisha jamaa mali!
Au pique mali aliziandikia mama yake kama achraf?
Sawa mkuu tukutane vs mamelodiMimi ni Yanga damdam sina cha kusema.
Huamini? Kuna ke stejini ni hatari ila on bed hakuna kitu.Mmmh weeeh
Upareni kuna nini huko?Colombia ingekuwa kibongo bongo huwa naiona kama Upareni kule
Sababu ya mali?sababu minarudi palepale maji kufata mkondo.
Bill Gate katalakiana na mkewe sababu kuu ni ileile maji kufata mkondo wala akuna kingine
Daaah 😂😂😂😂😂😂Huamini? Kuna ke stejini ni hatari ila on bed hakuna kitu.
Wakawaka, video ya huu wimbo ndio iliwakutanisha na safari yao ya mahusiano ilianzia hapo.This time for Africa...
Ooooh daah mfatiliaji sana kumbe..Wakawaka, video ya huu wimbo ndio iliwakutanisha na safari yao ya mahusiano ilianzia hapo.
😂 kwani hao wa stejini wanaishi dunia gani? Kama pique aliweza kwa shakira jua hakuna kinachoshindikana.Daaah 😂😂😂😂😂😂
Half american wee hao wa stegini umewajulia wapi mpaka una leta comparison hapa 😂😂😂😂
Yupo hakosekani, na kwenye baadhi ya nyimbo ametajwa na shakira. Shakira alizama mzima mzima 😅Ooooh daah mfatiliaji sana kumbe..
Hivi kwenye video yupo huyu mwamba
Wanazo, ndio mnaita western culture sijui.kumbe wazungu nao wanatamaduni.?
Maana mimi naona kila mtu anaishi awezavyo na ajisikiavyo.
Khaàa oyaaa weeeh so poa kumbe😂 kwani hao wa stejini wanaishi dunia gani? Kama pique aliweza kwa shakira jua hakuna kinachoshindikana.
Ukipata bahati kama hiyo wewe sizani kama utafanya huo ujinga wa jamaa kuwa don't care...Yupo hakosekani, na kwenye baadhi ya nyimbo ametajwa na shakira. Shakira alizama mzima mzima 😅
Sina unoma wowote mi ni church boy haya mengine ni maneno tu yasikutishe.Khaàa oyaaa weeeh so poa kumbe
😂😂😂😂😂😂😂
Basi wee sio poa mkuu 🙌😂🙌😂🙌
Wee uliyebakisha ni wale wana riadha tu 😂😂😂😂😂
Tupate na mrejesho
kuchepuka risation.Sababu ya mali?
anatapa tapaBaada ya kutengana au talaka women always want to act the victim