Shakira bado hajasema, na atasema, yaani mpaka aseme

Shakira bado hajasema, na atasema, yaani mpaka aseme

Sasa kama alikua anampa kwa masharti alitaka mwenzake afanyeje zaidi yakutafuta mechi za nje?
 
Mwanamke ukiwa nae tu unaona kawaida sasa hao wanakutana na watu high class muda wote washazoea
 
Back
Top Bottom